Ukicheza na Israel unacheza na moto: Viongozi wote wa juu wa Hezbollah wametunguliwa

Ukicheza na Israel unacheza na moto: Viongozi wote wa juu wa Hezbollah wametunguliwa

Iran inapenda sana kutumia mgambo vikaragosi mamluki, yenyewe Iran mwoga haiendi moja kwa moja vitani, kazj yake kufadhili, kupiga propaganda na kuzua vita nchi za jirani na mbali pia.

Taifa hili la Iran ndiyo nchi inayochukiwa sana na nchi za kiarabu za Mashariki ya Kati pia Afrika ya Kaskazini kwa kufadhili chokochoko katika maeneo hayo ya dunia.
Wairan watapunzika siku watakapoiondoa Islamic Government na kusimika Secular Government na Amani itarejea katika Mashariki ya Kati.
 
Mavi yao Israel ni kelele nyingi sababu ya US, Europe na badhi ya nchi za kiarabu ndio zinamsaidia.

Hio ya kumuwa Nasurlah ni ndoto wacha waote.
Unakili kuwa hao wanaomsaidia wana nguvu kubwa kuliko maadui zao kama Russia,Iran?

Huwezi msaidia mtu aside na nguvu na hata akili.

Hivi leo hii Tanzania tunaweza mpiga mRUSSIA kwa msaada wa hao wanaomsaidia MISERABLE?
 
Inasemekana amekufa yeye familia yake na wale machawa wake ambao huwa wanakaa nae pembeni huku wamevalia Vilemba vikubwa.
 
Unakili kuwa hao wanaomsaidia wana nguvu kubwa kuliko maadui zao kama Russia,Iran?

Huwezi msaidia mtu aside na nguvu na hata akili.

Hivi leo hii Tanzania tunaweza mpiga mRUSSIA kwa msaada wa hao wanaomsaidia MISERABLE?
Hiyo ni point muhimu ambayo kobazi hawataki kuiwaza. Huwezi msaidia lofa. Netanyau aliwaambia congress kwamba we depend each other.. 🤣
 
We shoga unadhani Israel ana nini zaidi ya kupewa silaha na US afu mnamsifia [emoji1] Silaha anazo tumia zote ni anapewa na America na Europe afu bado mnamsifia, ni sawa sawa na muomba pesa apewe pesa za kuomba omba afu mkamsifie eti kajenga nyumba [emoji1]

Akili za 1=3 ni kinyesi tu
Una hasira mno [emoji2]
Nenda kwenye msiba
 
Hezbollah wametuangusha sana, pamoja na mikwara yao yote wamechakazwa nje ndani kwenye mfumo mzima wa uongozi, anaehema ni moja tu kati ya 11 waliomalizwa akiwamo kiongozi mkuu, huo msako anaopigiwa anaweza kujimaliza mwenyewe kwa msongo wa mawazo.

View attachment 3109370

NI KAMA MTU ANACHEZA GAME VILE.
 
We shoga unadhani Israel ana nini zaidi ya kupewa silaha na US afu mnamsifia 😄 Silaha anazo tumia zote ni anapewa na America na Europe afu bado mnamsifia, ni sawa sawa na muomba pesa apewe pesa za kuomba omba afu mkamsifie eti kajenga nyumba 😄

Akili za 1=3 ni kinyesi tu
Punguza hasira mkuu

Basi hao jamaa ijapokuwa unawapinga kuwa hawana lolote, basi watambue katika shabaha tu basi
 
We shoga unadhani Israel ana nini zaidi ya kupewa silaha na US afu mnamsifia 😄 Silaha anazo tumia zote ni anapewa na America na Europe afu bado mnamsifia, ni sawa sawa na muomba pesa apewe pesa za kuomba omba afu mkamsifie eti kajenga nyumba 😄

Akili za 1=3 ni kinyesi tu
Kwenye mfumo wa fedha na siasa za US kuna wayahudi wengi. Nakukumbusha US secretary of state Antony Blinken ni myahudi
 
We shoga unadhani Israel ana nini zaidi ya kupewa silaha na US afu mnamsifia 😄 Silaha anazo tumia zote ni anapewa na America na Europe afu bado mnamsifia, ni sawa sawa na muomba pesa apewe pesa za kuomba omba afu mkamsifie eti kajenga nyumba 😄

Akili za 1=3 ni kinyesi tu

Hezbolah anapewa na nani....?
 
Back
Top Bottom