Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
Mkuu wenyewe halisi wa arusha sio wa kilimanjaro. Kuna wameru, na wamasai. Hawa ni wengi kuliko hata wachaga wenyewe.Nimeishi Arusha mkuu na jamii ya kule Arusha waliojaa wengi ndio hao wa kutoka Kilimanjaro.
Kwa hiyo naamini tabia wanazozionyesha Arusha ndio hizo hizo za kutoka kwao Kilimanjaro.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeishi Arusha mkuu na jamii ya kule Arusha waliojaa wengi ndio hao wa kutoka Kilimanjaro.
Kwa hiyo naamini tabia wanazozionyesha Arusha ndio hizo hizo za kutoka kwao Kilimanjaro.
Sent using Jamii Forums mobile app
Fedha na akili inahusikaje hapo toa hoja za msingi au ukiona imekugusa Basi badilika
We jamaa sometimes unaniboa sana na sifa zako za kipuuziUkishindwa kupiga hela kwenye mkoa wa Kagera utakuwa mvivu hata Rais anajua
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaongea kwa hisia na siyo uhalisia.. CrapHata Mimi nilikuwa kwenye viwanda vya maeneo hayo na hivyo viwanda ulivyovitaja Kuna utofauti kidogo kwa sababu utawala wa juu ni wa wahindi lakini laiti utawala wa juu ungekuwa ni wa wachaga usingewakuta hao wasingida hapo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kubisha bila hoja sio dawa ya tatizo dawa ni kubadilika.Unaongea kwa hisia na siyo uhalisia.. Crap
Waongopee ambao hawapajui!! Hujiulizi ni kwanini ni mkoa wenye wasomi wengi lakini kwenye mikoa ambayo inaongoza kwa watu wake kuwa nankipato kidogo ni miongoni!! Mkoa unazidiwa mzunguko wa biashara na mji kama katoro!!! Mtukula ndio ulikuwa kidogo una changamsha mji wa bk, ila toka jiwe aweke kodi za ajabu ajabu, napo pamekufaUkishindwa kupiga hela kwenye mkoa wa Kagera utakuwa mvivu hata Rais anajua
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeongea pumba mikoa yote iliyoko mipakani ni lahisi sana kutoboa nilikuwa Bukoba watu wanapiga ela sana kupitia mpaka wa mtukula
Itifaki imezingatiwa
Hebu nikae kimyaWe jamaa sometimes unaniboa sana na sifa zako za kipuuzi
Kagera ni kugumu sana baada ya biashara ya kahawa kudorora
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwambie huyo kenge alishawahi Ona mchaga housegirl au houseboy??Hivi wee unajua wachaga au unawasikia? Yaani umfuge mchaga kwa siku 30 kwenye likiwanda lako alafu umpe elfu 50?huyo sio mchaga
Wachaga ni wafanyabiashara sio wa kupelekeshwa hovyo na wahindi viwandani ni bora aende dar mwanza au popote kua machinga kuliko kufanya hiyo biashara
Alafu hao wanafanya hizo kazi kwenye hivyo viwanda hawana muamko wa elimu kwenye Jamii zao, mchaga mpaka asome shule zote kwanza ndio maana ni wengi kwenye vyuo.
Njoo kwenye companies za utalii ndio utakutana na wachaga huko kwenye ajira za viwandani tumewaachia nyie
Kwani nyie mbulula mmekariri kwamba wote wanaofanya kazi viwandani wana maisha duni? inategemea upo kwenye position gani na hicho kiwanda kinazalisha Nini?Nenda kaulize kwenye viwanda vya bia na spirit wanalipwaje Kama hujaiona wewe ni mtumwa tu wa kubeba mizigo ya wazungu.
Nakazia[emoji122]Acha uongo bwana kwa taarifa yako mkoa wa kagera ki uchumi hali ni mbaya kuliko maelezo, toka zao la kahawa, lianze kuendeshwa kisiasa, na migomba mingi kupata ugonjwa wa mnyauko ni balaa, mimi nimekulia huko, mzunguko wa pesa ni mgumu sana, hapo mtukula, kyaka bado hali ya kibiashara sio kabisa.
No umekosea mkuu,mbona wageni Kama wachina,wahindi wanakuja na wanatoboa?Kwa wastani Tanzania nzima ni ngumu kutoboa sema wengi hatujui ugumu wa nchi hii ukilinganisha na majirani zetu isipokuwa kenya pekee
Njoo nikuajir kwenye kiwanda changu kenge wwKwani nyie mbulula mmekariri kwamba wote wanaofanya kazi viwandani wana maisha duni? inategemea upo kwenye position gani na hicho kiwanda kinazalisha Nini?Nenda kaulize kwenye viwanda vya bia na spirit wanalipwaje Kama hujaiona wewe ni mtumwa tu wa kubeba mizigo ya wazungu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi naajiriwa kimataifa wewe una uwezo gani wa kuniajiri pimbi Kama wewe?Njoo nikuajir kwenye kiwanda changu kenge ww
Mkiambiwa mjiajiri hamtaki sasa Ngoja tuwanyooshe
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivoo?...mbona naambiwa hela nje nje?Mleta mada naona huijui Shinyanga vizuri wewe..mkoa kama una laana,mi nilipakimbja aisee,pagumu balaa