Naton Jr
JF-Expert Member
- Oct 5, 2016
- 7,867
- 19,250
Mmmh nani anatime na mtu kila mtu yuko na yake, alafu haya mambo ya roho mbaya ni mambo ya kimamamama sana, chugga wa kukuonea roho mbaya labda mmekutana wote manew comers mmetoka huko kwenu na vitabia vyenu vya uswahilini lakini wale wenyeji wa chugga ni kama marastafarians hawana time na mambo ya mtu wao ni peace all time ili mradi tu usimletee marinjirinji