Ukienda kwa shehe akikupa vikaratasi kama hivi uwe unavibeba ama kuviweka chumbani vichane na usirudi tena kwake, ni uchawi mtupu

Ukienda kwa shehe akikupa vikaratasi kama hivi uwe unavibeba ama kuviweka chumbani vichane na usirudi tena kwake, ni uchawi mtupu

( وَلَقَدْ أُوحِيَ إِلَيْكَ وَإِلَى الَّذِينَ مِن قَبْلِكَ لَئِنْ أَشْرَكْتَ لَيَحْبَطَنَّ عَمَلُكَ وَلَتَكُونَنَّ مِنَ الْخَاسِرِينَ )

الزمر (65) Az-Zumar
 
Yan wewe kweli mpumbavu na hyo sunni yako washamba wa tupu....
Allah anasema magonjwa yote yanatoka kwake na tiba zinatoka kwenye kitabu chake...
Sasa kw taarfa yako,hiyo tarasimu ya kwanza hapo juu..manuizo yake ni kusomea BARAHATIHI 11...Halafu unaleta aya nusu unadhn cc wajnga?
MPe huyo... takbiiiiiiiiiiiir....
 
Ujinga ukizidi ndo unakua kma ww
Acha bangi ww

Embu twambie wapi tumeambiwa tutumie iyo talasimu ulosema embu niletee hadithi au aya ata moja inoruhusu kutumia matalasimu

Hlf usipende kupinga pinga vitu usivokua na Elimu navyo


Halafu pengine wewe hujui ila unatumia mfumo wa majuaji na uchek bob wako ili kujifunza...

Kuna tarasimu unaandika suratul fat`ha na unapona... wewe endelea kusema ni shirki na hyo sunni yenu yakukata suruali
 
Kama ni bangi hata baba ako anavuta...

Halafu pengine wewe hujui ila unatumia mfumo wa majuaji na uchek bob wako ili kujifunza...

Kuna tarasimu unaandika suratul fat`ha na unapona... wewe endelea kusema ni shirki na hyo sunni yenu yakukata suruali
Sasa baba angu kaingiaje hpa we mjinga?
 
Kama ni bangi hata baba ako anavuta...

Halafu pengine wewe hujui ila unatumia mfumo wa majuaji na uchek bob wako ili kujifunza...

Kuna tarasimu unaandika suratul fat`ha na unapona... wewe endelea kusema ni shirki na hyo sunni yenu yakukata suruali
Hiyo ni shirki tu ata msemaje

Nyie wa bid'aa mna tabu sanaa hamna Elimu hlf ujuaji mwingii na masheikh wenu wa mchongo
 
Mkuu ndo mana sisi waislamu wa Sunni(Salafi) tunawapiga vita sana masheikh hawa mchongo

Kma ulivosema ni kweli hapo ni uchawi tu huo hamna kitu kingine na Mungu katika kitu ambacho hakipendi ni shirki


( وَلَقَدْ أُوحِيَ إِلَيْكَ وَإِلَى الَّذِينَ مِن قَبْلِكَ لَئِنْ أَشْرَكْتَ لَيَحْبَطَنَّ عَمَلُكَ وَلَتَكُونَنَّ مِنَ الْخَاسِرِينَ )

الزمر (65) Az-Zumar

Na kwa yakini yamefunuliwa kwako na kwa walio kuwa kabla yako: Bila ya shaka ukimshirikisha Mwenyezi Mungu a'mali zako zitaanguka, na lazima utakuwa miongoni mwa wenye kukhasiri.



Kuna watu wanauchukia Uislamu kisa hawa masheikh wa mchongo humu pia wamo wanajifanya kutafsiri ndoto sijui nn ni uongo mtupu
Tofautisha uchawi na ushirikina,ushirikina no kuitakidi kitu kingine isicho
Mkuu ndo mana sisi waislamu wa Sunni(Salafi) tunawapiga vita sana masheikh hawa mchongo

Kma ulivosema ni kweli hapo ni uchawi tu huo hamna kitu kingine na Mungu katika kitu ambacho hakipendi ni shirki


( وَلَقَدْ أُوحِيَ إِلَيْكَ وَإِلَى الَّذِينَ مِن قَبْلِكَ لَئِنْ أَشْرَكْتَ لَيَحْبَطَنَّ عَمَلُكَ وَلَتَكُونَنَّ مِنَ الْخَاسِرِينَ )

الزمر (65) Az-Zumar

Na kwa yakini yamefunuliwa kwako na kwa walio kuwa kabla yako: Bila ya shaka ukimshirikisha Mwenyezi Mungu a'mali zako zitaanguka, na lazima utakuwa miongoni mwa wenye kukhasiri.



Kuna watu wanauchukia Uislamu kisa hawa masheikh wa mchongo humu pia wamo wanajifanya kutafsiri ndoto sijui nn ni uongo mtupu
Uchawi na ushirikina ni city viwili tofauti,na nani kakwambia use sunni/salafi!?..mtume alikua sunni/salafi!?
 
Hiyo ni shirki tu ata msemaje

Nyie wa bid'aa mna tabu sanaa hamna Elimu hlf ujuaji mwingii na masheikh wenu wa mchongo
Shirki ni kuabudu/kukipa kitu sofa za allah,huo unaosema ni shirki ni uchawi,ambao allah kakataza so tu kufanya bali hata kujifunza
 
Kuzisoma dini zetu hatutaki tukipata mistari miwili kwenye biblia au Aya mbili kwenye kuruani basi nawe umeshakuwa mjuzi kwenye dini, tusomeni dini zetu tuwache ujuwaji wewe kama una misimamo Yako kaa nayo mwenyewe usitake Kila mtu akufuate wewe kwanza sote hizi dini tumezipata kutoka Kwa wazazi wetu.
 
Tofautisha uchawi na ushirikina,ushirikina no kuitakidi kitu kingine isicho

Uchawi na ushirikina ni city viwili tofauti,na nani kakwambia use sunni/salafi!?..mtume alikua sunni/salafi!?
Mpka hpa upo mbali sana na Elimu

Hta nikwambie vipi hutoweza kunielewa

Kwaio muombe Allah akupe ufahamu wa kuijua haki
 
Back
Top Bottom