Tman900
JF-Expert Member
- May 30, 2017
- 589
- 1,897
Tarehe 16.7.2024. Nilliibiwa simu ktk eneo langu la kazi. nikaenda polisi kutoa Taarifa wakanipa RB baada ya hapo nikaambiwa ni subili mpelelezi, kufika kwa mpelelezi, ananiambia kutrack simu kuna gjharama. Gharama ya kutrack simu ni shilingi 100,000/=. Thamani ya simu yangu iliobiwa ni shilingi 260,000/=
Nimeenda kituoni kama mara 4 hivi, sipati msaada wowote zaidi ya polisi kutaka Pesa. Mwanzo nilikua na Imani kubwa sana kwa Polisi, ila niliposikia kuhusu malipo ya kutrack simu,niliwaza kupoteza pia pesa maana polisi sio mtu wa kumuamini,anaweza kula pesa yangu na kazi isifanyike.
Nikaa pata wazo lingine kua niende kituo kingine cha polisi wanisaidie swala langu, uko walitaka 80,000/= ila niwalipe cash, na mi nikawapa ombi langu kazi ifanyike ndo niwape malipo yao. wao nao polisi wanasema kuna Ada ya kutrack simu, bila ada ya kiingilio kazi haiwezi kufanyika.
Kuanzia mda huo nilikata tamaa nikaona hii Huduma ya Kutrack simu inawezekana hawa Askari wetu hawaiwezi ndomana wanakua na longo longo, ni jambo ambalo liko nje ya uwezo wao.
Nimeenda kituoni kama mara 4 hivi, sipati msaada wowote zaidi ya polisi kutaka Pesa. Mwanzo nilikua na Imani kubwa sana kwa Polisi, ila niliposikia kuhusu malipo ya kutrack simu,niliwaza kupoteza pia pesa maana polisi sio mtu wa kumuamini,anaweza kula pesa yangu na kazi isifanyike.
Nikaa pata wazo lingine kua niende kituo kingine cha polisi wanisaidie swala langu, uko walitaka 80,000/= ila niwalipe cash, na mi nikawapa ombi langu kazi ifanyike ndo niwape malipo yao. wao nao polisi wanasema kuna Ada ya kutrack simu, bila ada ya kiingilio kazi haiwezi kufanyika.
Kuanzia mda huo nilikata tamaa nikaona hii Huduma ya Kutrack simu inawezekana hawa Askari wetu hawaiwezi ndomana wanakua na longo longo, ni jambo ambalo liko nje ya uwezo wao.