Ukienda ugenini Kuna vitoto vinapenda sana sifa

Ukienda ugenini Kuna vitoto vinapenda sana sifa

UKILAZIMIKA kwenda ugenini ni kuingia usiku kutoka alfajiri(uwe na timing nzuri sio watu wamelela unaleta vidole vyako kama mafungu ya tangawizi),
Hata kama huna cha kufanya(na kama huna umeenda kufanyaje)?, bora uzuge nje sio kukaa ndani na wakati stori hamna,

NB ni rahisi sana kuona mtoto wa mwenzako ndio hana adabu.
Inaonekana malezi yako kwa mtoto ni ya kumdekeza,mtoto alielelewa kimaadili anaonekana kabisa
 
Nimekuja mkoani kumtembelea bradha Kuna mzigo aliniagiza nimletee.

Hapa kwa bro kuna mtoto wao wa kiume ana umri kama miaka minne au tano hivi. Asee hiki kitoto Ni kitundu sijapata ona. Mbaya zaidi babaake na mama yake wanamlea Kama yai,full kudeka deka hovyo.

Sasa ni heri wangekuwa wanamlea hovyo akawa anawasumbua wenyewe ingekuwa hakuna shida,ila akiwa na wenzie ni kakorofi kanawapiga wenzie.

Nimejilipua zangu fulana kutoka kwa vunja bei,ameshaitanua shingo kwa kunivuta vuta,imekuwa Kama nanyonyesha Sasa. Mara aninyang'anye simu,mara aniparamie usoni Kama mbwa,alafu ana vikucha vikali.

Basi naishia kujichekesha chekesha tu mbele ya mama yake,maisha ya ugenini yana unafiki Sana. Wazazi wake Wala hawastuki,wanaona poa tu mtoto wao anavyoact Kama kingedere. Mamaake ananiambia "shemeji Kama junia anakusumbua mchape" Namchapaje mtoto wa watu ugenini? Kwa nini asimkataze kusumbua wageni na kukachapa kakiendelea kuleta ubishi.

Sasa mamaake akaenda dukani akaniacha na junia tunavutana vutana. Happy ndiyo nikambadikilia nikamwonyesha sura ya ukauzu na kumtoa shingoni maana ilikuwa Kama ananidai kwa jinsi alivyokuwa ananikaba. Nikakashika mikono na kukaminya tuvidole vyake Kama naminya karanga,huku namwambi acha utundu kwa wageni mtoto. Kakaanza kulia kanaelekea dukani kwa mamaake.

Maisha ya ugenini magumu Sana. Nilipanga kukaa siku mbili ila moja tu inatosha kwa kweli.

Wazazi wengine hivi mnaleaje watoto kipuuzi Kama hivi?
Katoto ni ka-attention seeker mpo katika maongezi sebuleni, kenyewe kanapita pita na kuvuta watu nguo ili mradi tu kaonekane kapo live. Mkikapotezea kataangusha hata glass!!


Tatizo linaanzia hapa:

"Nimejilipua zangu fulana kutoka kwa vunja bei,ameshaitanua shingo kwa kunivuta vuta,imekuwa Kama nanyonyesha Sasa. Mara aninyang'anye simu,mara aniparamie usoni Kama mbwa,alafu ana vikucha vikali"
 
Halafu huyo mtoto wala sio mtukutu ila yupo excited kumuona Anko wake ndio maana anampandia pandia kwa furaha ila kwa kua watu mmejazwa roho mbaya na ukatili hata furaha ya watoto mnaigeuza chuki,

Hii gender ya Kiume ingeteketea tu [emoji849]
Mtoto anatakiwa akiona mgeni awe na adabu
FB_IMG_1680934551649.jpg
 
Nimekuja mkoani kumtembelea bradha Kuna mzigo aliniagiza nimletee.

Hapa kwa bro kuna mtoto wao wa kiume ana umri kama miaka minne au tano hivi. Asee hiki kitoto Ni kitundu sijapata ona. Mbaya zaidi babaake na mama yake wanamlea Kama yai,full kudeka deka hovyo.

Sasa ni heri wangekuwa wanamlea hovyo akawa anawasumbua wenyewe ingekuwa hakuna shida,ila akiwa na wenzie ni kakorofi kanawapiga wenzie.

Nimejilipua zangu fulana kutoka kwa vunja bei,ameshaitanua shingo kwa kunivuta vuta,imekuwa Kama nanyonyesha Sasa. Mara aninyang'anye simu,mara aniparamie usoni Kama mbwa,alafu ana vikucha vikali.

Basi naishia kujichekesha chekesha tu mbele ya mama yake,maisha ya ugenini yana unafiki Sana. Wazazi wake Wala hawastuki,wanaona poa tu mtoto wao anavyoact Kama kingedere. Mamaake ananiambia "shemeji Kama junia anakusumbua mchape" Namchapaje mtoto wa watu ugenini? Kwa nini asimkataze kusumbua wageni na kukachapa kakiendelea kuleta ubishi.

Sasa mamaake akaenda dukani akaniacha na junia tunavutana vutana. Happy ndiyo nikambadikilia nikamwonyesha sura ya ukauzu na kumtoa shingoni maana ilikuwa Kama ananidai kwa jinsi alivyokuwa ananikaba. Nikakashika mikono na kukaminya tuvidole vyake Kama naminya karanga,huku namwambi acha utundu kwa wageni mtoto. Kakaanza kulia kanaelekea dukani kwa mamaake.

Maisha ya ugenini magumu Sana. Nilipanga kukaa siku mbili ila moja tu inatosha kwa kweli.

Wazazi wengine hivi mnaleaje watoto kipuuzi Kama hivi?
Katoto ni ka-attention seeker mpo katika maongezi sebuleni, kenyewe kanapita pita na kuvuta watu nguo ili mradi tu kaonekane kapo live. Mkikapotezea kataangusha hata glass!!
Mara aninyang'anye simu,mara aniparamie usoni Kama mbwa,alafu ana vikucha vikali. [emoji23]
 
Nimekuja mkoani kumtembelea bradha Kuna mzigo aliniagiza nimletee.

Hapa kwa bro kuna mtoto wao wa kiume ana umri kama miaka minne au tano hivi. Asee hiki kitoto Ni kitundu sijapata ona. Mbaya zaidi babaake na mama yake wanamlea Kama yai,full kudeka deka hovyo.

Sasa ni heri wangekuwa wanamlea hovyo akawa anawasumbua wenyewe ingekuwa hakuna shida,ila akiwa na wenzie ni kakorofi kanawapiga wenzie.

Nimejilipua zangu fulana kutoka kwa vunja bei,ameshaitanua shingo kwa kunivuta vuta,imekuwa Kama nanyonyesha Sasa. Mara aninyang'anye simu,mara aniparamie usoni Kama mbwa,alafu ana vikucha vikali.

Basi naishia kujichekesha chekesha tu mbele ya mama yake,maisha ya ugenini yana unafiki Sana. Wazazi wake Wala hawastuki,wanaona poa tu mtoto wao anavyoact Kama kingedere. Mamaake ananiambia "shemeji Kama junia anakusumbua mchape" Namchapaje mtoto wa watu ugenini? Kwa nini asimkataze kusumbua wageni na kukachapa kakiendelea kuleta ubishi.

Sasa mamaake akaenda dukani akaniacha na junia tunavutana vutana. Happy ndiyo nikambadikilia nikamwonyesha sura ya ukauzu na kumtoa shingoni maana ilikuwa Kama ananidai kwa jinsi alivyokuwa ananikaba. Nikakashika mikono na kukaminya tuvidole vyake Kama naminya karanga,huku namwambi acha utundu kwa wageni mtoto. Kakaanza kulia kanaelekea dukani kwa mamaake.

Maisha ya ugenini magumu Sana. Nilipanga kukaa siku mbili ila moja tu inatosha kwa kweli.

Wazazi wengine hivi mnaleaje watoto kipuuzi Kama hivi?
Katoto ni ka-attention seeker mpo katika maongezi sebuleni, kenyewe kanapita pita na kuvuta watu nguo ili mradi tu kaonekane kapo live. Mkikapotezea kataangusha hata glass!!
Bora wewe anakukaba shingo mie yule ddogo bwana sii alikuwa ananipiga ngumi za pumbuz😂😂😂😂
 
Halafu huyo mtoto wala sio mtukutu ila yupo excited kumuona Anko wake ndio maana anampandia pandia kwa furaha ila kwa kua watu mmejazwa roho mbaya na ukatili hata furaha ya watoto mnaigeuza chuki,

Hii gender ya Kiume ingeteketea tu [emoji849]
Umeongea upuuzi ujue[emoji23][emoji23][emoji23]sasa gender ya kiume ipotee kwasababu ya watoto na hao watoto kama ni wakiume..

Acha makasiriko mtoto lazima aonywe ajue mipaka yake...kama anafanya tabia mbaya kumbe anaweza kufanya na tabia nzuri ila wazazi wake ndo wamemlea kindezi..

nyie ndo mnalea watoto kama yai akifanya kosa unasingizia bado mdogo...mwisho wa siku kinakuwa kikubwa ndo mnatuletea vipanya road, na viwezi mtaani...muda mzuri wa kumtengeneza mtu aweje baadae ni akiwa mtoto.

samaki mkunje angali mbichi.
 
Kuna dogo aliwahi kunisumbua kinyama nimekaa kwenye kochi ye akaanza kupanda kwenye mabega yangu akashika dirisha akaanza kurukaruka juu ya mabega
Nimeanza kunywa chai wakati nakula mkate akasukuma mkono nikajipaka blueband usoni
Mamaake akaanza kujichekesha na mimi nikajichekesha kiaina ila moyon nilikua nina hasira kinoma

Nimepigiwa simu nikaitoa mfukon wakat naipokea akaipiga ikaruka juu ikaangukia kwenye jagi la maji, mamaake akamgombeza kidogo dogo akaanza kulia hata hajaguswa mama akaanza tena kumbembeleza huku anammwambia mtoto wake nani mbaya? Uncle? Haya tema mate tumpige dogo akatema mate maza akafanya kama vile ananipiga ndo dogo akanyamaza

ilibidi niondoke tu maana ilibaki kidogo nimtandike vibao mama na mtoto wake
 
Watoto wa siku hizi wajinga wajinga zamani ..

Mgeni akija ukamuomba hela ni fimbo ...

Mgeni akiwa sebleni anakula ukajipitisha ni fimbo ..

Mgeni akija usipo mwamkia ni fimbo ..

Mgeni akiwa amekaa unampandapanda mgongoni makofi ...

Ukilia unapigwa unyamaze ,ukinyamaza unapigwa ili ilie ....

YaNi ilikuwa ni fimbo na makofi ya mgongoni kama yote ,hakuna kukaa kama zobaaa...

Watoto wa siku hizi Sasa [emoji23][emoji23][emoji23]
Haya ndio yalikua malezi mgeni akija akinunuliwa soda mtoto haisogelei
FB_IMG_1680934551649.jpg
 
Back
Top Bottom