Makuzamkumbo
JF-Expert Member
- Mar 8, 2023
- 501
- 519
Lea wa kwako uwezavyo Mimi wa kwangu nidhamu ni lazima halafu tusipangiane namna ya kulea watotoUkiwa katili huwezi kutofautisha aina za ukatili hata ulichoandika tu hapo ni ukatili.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lea wa kwako uwezavyo Mimi wa kwangu nidhamu ni lazima halafu tusipangiane namna ya kulea watotoUkiwa katili huwezi kutofautisha aina za ukatili hata ulichoandika tu hapo ni ukatili.
Huwa naongea kwa upole sana hata wanangu wananielewa ila kwa kumaanisha kiasi kwamba sirudii mara mbili! Ni jicho moja tu mtu anaacha ujinga!!!Hahaha aise nmecheka mpaka watu wamenishangaa hapa bar.
Kilichonifurahisha ni hiyo Ntakuvunja,Tone utakayotumia na utakavyoishupaza sura dah.
Mtoto anakudhalilishaje bwana Maweed hebu acha kunichekesha, lakini hapo bado hatupaswi kulaumu mtoto bali ni wazazi wa mtotoLeo umenifanya nijisikie vibaya kweli,yaan unatetea tunavyodhalilika mbele ya watoto et ni ukatili..kuna mahali unapotoka mkuu
Ushike mtoto wa wato makalio mkuu uko serious Kweli ,mshike wakoFanya hivi wakati unakabeba beba kamata tako moja halafu ufanye kama unaliviringa kwenda kulia....
Kakifanya ng`a na wewe unafanya ng'a,watajua mnacheza ila lazma wakakape panado maana katalalamika siku nzima..
Wewe ndio mpumbafu unayetaka kuhalalisha mtoto afanyiwe ukatili, na alokwambia nina phd nani kama sio kihedemswede chakoAcha upumbafu Nani alikuwa hyo PhD mnk sijui unachangiaje hoja msomi wa phd
Hawa watoto ukiwachekea chekea utakuza vitu vya ajabu sana! Mimi ni rafiki mzuri sana wa watoto na naelewana nao sana… ila mode zangu wanazijua.. huyo junia mpaka naondoka angekua kapunguza au ameacha kabisa hizo tabia😊Hahaha aise nmecheka mpaka watu wamenishangaa hapa bar.
Kilichonifurahisha ni hiyo Ntakuvunja,Tone utakayotumia na utakavyoishupaza sura dah.
Hkn kitu hapa wee Ni kiazi kitamu tuWewe ndio mpumbafu unayetaka kuhalalisha mtoto afanyiwe ukatili, na alokwambia nina phd nani kama sio kihedemswede chako
Alokupangia malezi ya mtoto wako nani mbona kama umechanganyikiwa? Sisi tunachangia mada iliyopo mezani wewe unaleta fangasi zakoLea wa kwako uwezavyo Mimi wa kwangu nidhamu ni lazima halafu tusipangiane namna ya kulea watoto
Sweet Potato [emoji3059]Hkn kitu hapa wee Ni kiazi kitamu tu
Acha ujinga dad unaongea San pumbaaMtoto mdogo ana kucha gani za kuku umiza wewe wakati mkiwa na watu wazima wenzenu mnaparurana makucha na kung'atana kama mazombi wenyewe mnaita Love Bites wala hamlalamiki
Duuuh! AiseeePiga kifinyo kimoja kikali kimya kimya
Mtoto akiingiza mikono mfukoni mwangu si amenifedhehesha...halafu ukumbuke ni mgeni kwanza ndo nafikaMtoto anakudhalilishaje bwana Maweed hebu acha kunichekesha, lakini hapo bado hatupaswi kulaumu mtoto bali ni wazazi wa mtoto
Hayo matoto siku hizi mengi yana zaliwa na autism,yaani usonjo yanakuwa na utundu hatarishi kabisa na wazazi wengi hawajuiNimekuja mkoani kumtembelea bradha Kuna mzigo aliniagiza nimletee.
Hapa kwa bro kuna mtoto wao wa kiume ana umri kama miaka minne au tano hivi. Asee hiki kitoto Ni kitundu sijapata ona. Mbaya zaidi babaake na mama yake wanamlea Kama yai,full kudeka deka hovyo.
Sasa ni heri wangekuwa wanamlea hovyo akawa anawasumbua wenyewe ingekuwa hakuna shida,ila akiwa na wenzie ni kakorofi kanawapiga wenzie.
Nimejilipua zangu fulana kutoka kwa vunja bei,ameshaitanua shingo kwa kunivuta vuta,imekuwa Kama nanyonyesha Sasa. Mara aninyang'anye simu,mara aniparamie usoni Kama mbwa,alafu ana vikucha vikali.
Basi naishia kujichekesha chekesha tu mbele ya mama yake,maisha ya ugenini yana unafiki Sana. Wazazi wake Wala hawastuki,wanaona poa tu mtoto wao anavyoact Kama kingedere. Mamaake ananiambia "shemeji Kama junia anakusumbua mchape" Namchapaje mtoto wa watu ugenini? Kwa nini asimkataze kusumbua wageni na kukachapa kakiendelea kuleta ubishi.
Sasa mamaake akaenda dukani akaniacha na junia tunavutana vutana. Happy ndiyo nikambadikilia nikamwonyesha sura ya ukauzu na kumtoa shingoni maana ilikuwa Kama ananidai kwa jinsi alivyokuwa ananikaba. Nikakashika mikono na kukaminya tuvidole vyake Kama naminya karanga,huku namwambi acha utundu kwa wageni mtoto. Kakaanza kulia kanaelekea dukani kwa mamaake.
Maisha ya ugenini magumu Sana. Nilipanga kukaa siku mbili ila moja tu inatosha kwa kweli.
Wazazi wengine hivi mnaleaje watoto kipuuzi Kama hivi?
Katoto ni ka-attention seeker mpo katika maongezi sebuleni, kenyewe kanapita pita na kuvuta watu nguo ili mradi tu kaonekane kapo live. Mkikapotezea kataangusha hata glass!!