atlas copco
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 8,497
- 9,728
Inaonekana malezi yako kwa mtoto ni ya kumdekeza,mtoto alielelewa kimaadili anaonekana kabisaUKILAZIMIKA kwenda ugenini ni kuingia usiku kutoka alfajiri(uwe na timing nzuri sio watu wamelela unaleta vidole vyako kama mafungu ya tangawizi),
Hata kama huna cha kufanya(na kama huna umeenda kufanyaje)?, bora uzuge nje sio kukaa ndani na wakati stori hamna,
NB ni rahisi sana kuona mtoto wa mwenzako ndio hana adabu.
Nimekuja mkoani kumtembelea bradha Kuna mzigo aliniagiza nimletee.
Hapa kwa bro kuna mtoto wao wa kiume ana umri kama miaka minne au tano hivi. Asee hiki kitoto Ni kitundu sijapata ona. Mbaya zaidi babaake na mama yake wanamlea Kama yai,full kudeka deka hovyo.
Sasa ni heri wangekuwa wanamlea hovyo akawa anawasumbua wenyewe ingekuwa hakuna shida,ila akiwa na wenzie ni kakorofi kanawapiga wenzie.
Nimejilipua zangu fulana kutoka kwa vunja bei,ameshaitanua shingo kwa kunivuta vuta,imekuwa Kama nanyonyesha Sasa. Mara aninyang'anye simu,mara aniparamie usoni Kama mbwa,alafu ana vikucha vikali.
Basi naishia kujichekesha chekesha tu mbele ya mama yake,maisha ya ugenini yana unafiki Sana. Wazazi wake Wala hawastuki,wanaona poa tu mtoto wao anavyoact Kama kingedere. Mamaake ananiambia "shemeji Kama junia anakusumbua mchape" Namchapaje mtoto wa watu ugenini? Kwa nini asimkataze kusumbua wageni na kukachapa kakiendelea kuleta ubishi.
Sasa mamaake akaenda dukani akaniacha na junia tunavutana vutana. Happy ndiyo nikambadikilia nikamwonyesha sura ya ukauzu na kumtoa shingoni maana ilikuwa Kama ananidai kwa jinsi alivyokuwa ananikaba. Nikakashika mikono na kukaminya tuvidole vyake Kama naminya karanga,huku namwambi acha utundu kwa wageni mtoto. Kakaanza kulia kanaelekea dukani kwa mamaake.
Maisha ya ugenini magumu Sana. Nilipanga kukaa siku mbili ila moja tu inatosha kwa kweli.
Wazazi wengine hivi mnaleaje watoto kipuuzi Kama hivi?
Katoto ni ka-attention seeker mpo katika maongezi sebuleni, kenyewe kanapita pita na kuvuta watu nguo ili mradi tu kaonekane kapo live. Mkikapotezea kataangusha hata glass!!
Mtoto anatakiwa akiona mgeni awe na adabuHalafu huyo mtoto wala sio mtukutu ila yupo excited kumuona Anko wake ndio maana anampandia pandia kwa furaha ila kwa kua watu mmejazwa roho mbaya na ukatili hata furaha ya watoto mnaigeuza chuki,
Hii gender ya Kiume ingeteketea tu [emoji849]
Mara aninyang'anye simu,mara aniparamie usoni Kama mbwa,alafu ana vikucha vikali. [emoji23]Nimekuja mkoani kumtembelea bradha Kuna mzigo aliniagiza nimletee.
Hapa kwa bro kuna mtoto wao wa kiume ana umri kama miaka minne au tano hivi. Asee hiki kitoto Ni kitundu sijapata ona. Mbaya zaidi babaake na mama yake wanamlea Kama yai,full kudeka deka hovyo.
Sasa ni heri wangekuwa wanamlea hovyo akawa anawasumbua wenyewe ingekuwa hakuna shida,ila akiwa na wenzie ni kakorofi kanawapiga wenzie.
Nimejilipua zangu fulana kutoka kwa vunja bei,ameshaitanua shingo kwa kunivuta vuta,imekuwa Kama nanyonyesha Sasa. Mara aninyang'anye simu,mara aniparamie usoni Kama mbwa,alafu ana vikucha vikali.
Basi naishia kujichekesha chekesha tu mbele ya mama yake,maisha ya ugenini yana unafiki Sana. Wazazi wake Wala hawastuki,wanaona poa tu mtoto wao anavyoact Kama kingedere. Mamaake ananiambia "shemeji Kama junia anakusumbua mchape" Namchapaje mtoto wa watu ugenini? Kwa nini asimkataze kusumbua wageni na kukachapa kakiendelea kuleta ubishi.
Sasa mamaake akaenda dukani akaniacha na junia tunavutana vutana. Happy ndiyo nikambadikilia nikamwonyesha sura ya ukauzu na kumtoa shingoni maana ilikuwa Kama ananidai kwa jinsi alivyokuwa ananikaba. Nikakashika mikono na kukaminya tuvidole vyake Kama naminya karanga,huku namwambi acha utundu kwa wageni mtoto. Kakaanza kulia kanaelekea dukani kwa mamaake.
Maisha ya ugenini magumu Sana. Nilipanga kukaa siku mbili ila moja tu inatosha kwa kweli.
Wazazi wengine hivi mnaleaje watoto kipuuzi Kama hivi?
Katoto ni ka-attention seeker mpo katika maongezi sebuleni, kenyewe kanapita pita na kuvuta watu nguo ili mradi tu kaonekane kapo live. Mkikapotezea kataangusha hata glass!!
Anavunja halafu anakusingizia wewe na ukute mama yake nae ni zumbukuku anakukemea ili mtt aone mama yupo upande wakeDah,nimecheka Sana.
Junia siku zote anakuwaga mkorofi Sana, mayai amevunja mwenyewe alafu anashangaa.
Kumfunza mtoto nidhamu kwa kumuadhibu kumbe ni ukatili?,[emoji848] sikulijua hiliUkiwa katili huwezi kutofautisha aina za ukatili hata ulichoandika tu hapo ni ukatili.
Bora wewe anakukaba shingo mie yule ddogo bwana sii alikuwa ananipiga ngumi za pumbuz😂😂😂😂Nimekuja mkoani kumtembelea bradha Kuna mzigo aliniagiza nimletee.
Hapa kwa bro kuna mtoto wao wa kiume ana umri kama miaka minne au tano hivi. Asee hiki kitoto Ni kitundu sijapata ona. Mbaya zaidi babaake na mama yake wanamlea Kama yai,full kudeka deka hovyo.
Sasa ni heri wangekuwa wanamlea hovyo akawa anawasumbua wenyewe ingekuwa hakuna shida,ila akiwa na wenzie ni kakorofi kanawapiga wenzie.
Nimejilipua zangu fulana kutoka kwa vunja bei,ameshaitanua shingo kwa kunivuta vuta,imekuwa Kama nanyonyesha Sasa. Mara aninyang'anye simu,mara aniparamie usoni Kama mbwa,alafu ana vikucha vikali.
Basi naishia kujichekesha chekesha tu mbele ya mama yake,maisha ya ugenini yana unafiki Sana. Wazazi wake Wala hawastuki,wanaona poa tu mtoto wao anavyoact Kama kingedere. Mamaake ananiambia "shemeji Kama junia anakusumbua mchape" Namchapaje mtoto wa watu ugenini? Kwa nini asimkataze kusumbua wageni na kukachapa kakiendelea kuleta ubishi.
Sasa mamaake akaenda dukani akaniacha na junia tunavutana vutana. Happy ndiyo nikambadikilia nikamwonyesha sura ya ukauzu na kumtoa shingoni maana ilikuwa Kama ananidai kwa jinsi alivyokuwa ananikaba. Nikakashika mikono na kukaminya tuvidole vyake Kama naminya karanga,huku namwambi acha utundu kwa wageni mtoto. Kakaanza kulia kanaelekea dukani kwa mamaake.
Maisha ya ugenini magumu Sana. Nilipanga kukaa siku mbili ila moja tu inatosha kwa kweli.
Wazazi wengine hivi mnaleaje watoto kipuuzi Kama hivi?
Katoto ni ka-attention seeker mpo katika maongezi sebuleni, kenyewe kanapita pita na kuvuta watu nguo ili mradi tu kaonekane kapo live. Mkikapotezea kataangusha hata glass!!
Hayo ndio malezi sio unamchekeachekea mtotoHuwa naongea kwa upole sana hata wanangu wananielewa ila kwa kumaanisha kiasi kwamba sirudii mara mbili! Ni jicho moja tu mtu anaacha ujinga!!!
Mzee wangu ndio alikubaka au ulibakwa huko ukamzingizia mimba mzee...Muulize mzee wako.
Umeongea upuuzi ujue[emoji23][emoji23][emoji23]sasa gender ya kiume ipotee kwasababu ya watoto na hao watoto kama ni wakiume..Halafu huyo mtoto wala sio mtukutu ila yupo excited kumuona Anko wake ndio maana anampandia pandia kwa furaha ila kwa kua watu mmejazwa roho mbaya na ukatili hata furaha ya watoto mnaigeuza chuki,
Hii gender ya Kiume ingeteketea tu [emoji849]
Kuna vitoto bila kuchukua aksheni havijawahi kuelewa yaani utakikazia jicho lakin zikipita dkk 2 kamerudia.Sinaga bahati ya kusogelewa na kitoto Cha mtu eti kinibugudhi,,Mimi Ni mkoloni mamboleo yaani nikikuta jicho moja unakaa kwa kutulia sipendagi wazoea na vitoto
Wanaume - wingiLooh! Ukatili gani huo?
Akimtia ulemavu mtoto!?
Nyie wanaume mnashida gani lakini? Mbona mnakua makatili kila sehemu!
Haya ndio yalikua malezi mgeni akija akinunuliwa soda mtoto haisogeleiWatoto wa siku hizi wajinga wajinga zamani ..
Mgeni akija ukamuomba hela ni fimbo ...
Mgeni akiwa sebleni anakula ukajipitisha ni fimbo ..
Mgeni akija usipo mwamkia ni fimbo ..
Mgeni akiwa amekaa unampandapanda mgongoni makofi ...
Ukilia unapigwa unyamaze ,ukinyamaza unapigwa ili ilie ....
YaNi ilikuwa ni fimbo na makofi ya mgongoni kama yote ,hakuna kukaa kama zobaaa...
Watoto wa siku hizi Sasa [emoji23][emoji23][emoji23]