Dr. Mariposa
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 3,264
- 10,535
Unamfunza nidham kwa kumbinya mfupa?Kumfunza mtoto nidhamu kwa kumuadhibu kumbe ni ukatili?,[emoji848] sikulijua hili
"Unamfunza nidham kwa kumbinya mfupa?Unamfunza nidham kwa kumbinya mfupa?
Unamfunza nidham kwa kumbinya tako?
Mtoto wa miaka minne!
Au wewe unaelewa nini kuhusu ukatili?
Gender ya kiume ni katili na ili ujue ukatili wake soma adhabu hapo juu walizokua wanamwambia amfanyie mtoto wa miaka minne,Umeongea upuuzi ujue[emoji23][emoji23][emoji23]sasa gender ya kiume ipotee kwasababu ya watoto na hao watoto kama ni wakiume..
Acha makasiriko mtoto lazima aonywe ajue mipaka yake...kama anafanya tabia mbaya kumbe anaweza kufanya na tabia nzuri ila wazazi wake ndo wamemlea kindezi..
nyie ndo mnalea watoto kama yai akifanya kosa unasingizia bado mdogo...mwisho wa siku kinakuwa kikubwa ndo mnatuletea vipanya road, na viwezi mtaani...muda mzuri wa kumtengeneza mtu aweje baadae ni akiwa mtoto.
samaki mkunje angali mbichi.
Wapi nimepinga mambo ya kumchapa au ndio wenge la usingizi, nimekwoti hao waliotoa hizo adhabu na kumuhoji mtoa mada kama hakua anapenda basi angemwambia loud and clear,"Unamfunza nidham kwa kumbinya mfupa?
Unamfunza nidham kwa kumbinya tako?"
Huyo aliesema sijui kumbinya tako kweli hata mm nimeona hayupo sahihi unaanzaje kumshika mtoto wa mtu matako?,ila napingana na wewe hilo la kusema kumchapa mtoto kwa lengo la kumfunza adabu eti ukatili
Kuna watu wanawapenda sana watoto wao....Nimekuja mkoani kumtembelea bradha Kuna mzigo aliniagiza nimletee.
Hapa kwa bro kuna mtoto wao wa kiume ana umri kama miaka minne au tano hivi. Asee hiki kitoto Ni kitundu sijapata ona. Mbaya zaidi babaake na mama yake wanamlea Kama yai,full kudeka deka hovyo.
Sasa ni heri wangekuwa wanamlea hovyo akawa anawasumbua wenyewe ingekuwa hakuna shida,ila akiwa na wenzie ni kakorofi kanawapiga wenzie.
Nimejilipua zangu fulana kutoka kwa vunja bei,ameshaitanua shingo kwa kunivuta vuta,imekuwa Kama nanyonyesha Sasa. Mara aninyang'anye simu,mara aniparamie usoni Kama mbwa,alafu ana vikucha vikali.
Basi naishia kujichekesha chekesha tu mbele ya mama yake,maisha ya ugenini yana unafiki Sana. Wazazi wake Wala hawastuki,wanaona poa tu mtoto wao anavyoact Kama kingedere. Mamaake ananiambia "shemeji Kama junia anakusumbua mchape" Namchapaje mtoto wa watu ugenini? Kwa nini asimkataze kusumbua wageni na kukachapa kakiendelea kuleta ubishi.
Sasa mamaake akaenda dukani akaniacha na junia tunavutana vutana. Happy ndiyo nikambadikilia nikamwonyesha sura ya ukauzu na kumtoa shingoni maana ilikuwa Kama ananidai kwa jinsi alivyokuwa ananikaba. Nikakashika mikono na kukaminya tuvidole vyake Kama naminya karanga,huku namwambi acha utundu kwa wageni mtoto. Kakaanza kulia kanaelekea dukani kwa mamaake.
Maisha ya ugenini magumu Sana. Nilipanga kukaa siku mbili ila moja tu inatosha kwa kweli.
Wazazi wengine hivi mnaleaje watoto kipuuzi Kama hivi?
Katoto ni ka-attention seeker mpo katika maongezi sebuleni, kenyewe kanapita pita na kuvuta watu nguo ili mradi tu kaonekane kapo live. Mkikapotezea kataangusha hata glass!!
Mtoto kudeka kwa wazazi wake ni halali take,ulitaka akadeke kwa majirani?Hawa watoto wakikua watakua kama hawaView attachment 2589816
Hahahah kata bao tu, wewe si bamdogo wake. Bro hawezi bonga sababu wewe ni mshua pia.Nimekuja mkoani kumtembelea bradha Kuna mzigo aliniagiza nimletee.
Hapa kwa bro kuna mtoto wao wa kiume ana umri kama miaka minne au tano hivi. Asee hiki kitoto Ni kitundu sijapata ona. Mbaya zaidi babaake na mama yake wanamlea Kama yai,full kudeka deka hovyo.
Sasa ni heri wangekuwa wanamlea hovyo akawa anawasumbua wenyewe ingekuwa hakuna shida,ila akiwa na wenzie ni kakorofi kanawapiga wenzie.
Nimejilipua zangu fulana kutoka kwa vunja bei,ameshaitanua shingo kwa kunivuta vuta,imekuwa Kama nanyonyesha Sasa. Mara aninyang'anye simu,mara aniparamie usoni Kama mbwa,alafu ana vikucha vikali.
Basi naishia kujichekesha chekesha tu mbele ya mama yake,maisha ya ugenini yana unafiki Sana. Wazazi wake Wala hawastuki,wanaona poa tu mtoto wao anavyoact Kama kingedere. Mamaake ananiambia "shemeji Kama junia anakusumbua mchape" Namchapaje mtoto wa watu ugenini? Kwa nini asimkataze kusumbua wageni na kukachapa kakiendelea kuleta ubishi.
Sasa mamaake akaenda dukani akaniacha na junia tunavutana vutana. Happy ndiyo nikambadikilia nikamwonyesha sura ya ukauzu na kumtoa shingoni maana ilikuwa Kama ananidai kwa jinsi alivyokuwa ananikaba. Nikakashika mikono na kukaminya tuvidole vyake kama naminya karanga,huku namwambi acha utundu kwa wageni mtoto. Kakaanza kulia kanaelekea dukani kwa mamaake.
Maisha ya ugenini magumu Sana. Nilipanga kukaa siku mbili ila moja tu inatosha kwa kweli.
Wazazi wengine hivi mnaleaje watoto kipuuzi Kama hivi?
Katoto ni ka-attention seeker mpo katika maongezi sebuleni, kenyewe kanapita pita na kuvuta watu nguo ili mradi tu kaonekane kapo live. Mkikapotezea kataangusha hata glass!
Fanya shambulizi la kimya kimya hakuna haja ya kushika fimbo.
Shika mkono vizuri kwenye msuli(hawezi kua na msuli) binya na dole gumba kwa nguvu kiasi utakutana na mfupa, kandamiza kama sekunde 10 hivi uone kama katarudia
Halafu huyo mtoto wala sio mtukutu ila yupo excited kumuona Anko wake ndio maana anampandia pandia kwa furaha ila kwa kua watu mmejazwa roho mbaya na ukatili hata furaha ya watoto mnaigeuza chuki,
Hii gender ya Kiume ingeteketea tu [emoji849]
Una kitu, utafika mbali [emoji23][emoji23][emoji23]Kula chuma hicho [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kiutani utani jamaa atakuwa staa 😀😀😀Una kitu, utafika mbali [emoji23][emoji23][emoji23]
Kishakua bado kupokea ma dili ya matangazo tuKiutani utani jamaa atakuwa staa [emoji3][emoji3][emoji3]
Hahahahahah achangamke sasa atembelee upepoKishakua bado kupokea ma dili ya matangazo tu
🤣🤣🤣🤣🤣mara aniparamie usoni kama mbwa, alafu ana vikucha vikali.
🤣🤣🤣Katoto ni ka-attention seeker. Mpo katika maongezi sebuleni, kenyewe kanapita-pita na kuvuta watu nguo, ili mradi tu kaonekane kapo live. Mkikapotezea, kataangusha hata glass!
Mwamba kashafanya yake mdogomdogo anasepa kama sio yeye
💯🤝Hawa watoto watukutu kwa wageni ni kutokana na malezi ya wazazi wao.
Amerithi kwako ulipokua mdogoNimekuja mkoani kumtembelea bradha. Kuna mzigo aliniagiza nimletee. Hapa kwa bro kuna mtoto wao wa kiume ana umri kama miaka minne au tano hivi. Asee, hiki kitoto ni kitundu sijapata ona. Mbaya zaidi, babaake na mama yake wanamlea kama yai, full kudeka-deka hovyo.
Sasa ni heri wangekuwa wanamlea hovyo, akawa anawasumbua wenyewe ingekuwa hakuna shida, ila akiwa na wenzake ni kakorofi, kanawapiga wenzake. Nimejilipua zangu fulana kutoka kwa vunja bei. Ameshaitanua shingo kwa kunivuta-vuta. Imekuwa kama nanyonyesha sasa. Mara aninyang'anye simu, mara aniparamie usoni kama mbwa, alafu ana vikucha vikali.
Basi naishia kujichekesha chekesha tu mbele ya mama yake. Maisha ya ugenini yana unafiki sana. Wazazi wake wala hawastuki, wanaona poa tu mtoto wao anavyo act kama kingedere. Mamaake ananiambia 'shemeji kama junia anakusumbua mchape.' Namchapaje mtoto wa watu ugenini? Kwa nini asimkataze kusumbua wageni na kukachapa kakiendelea kuleta ubishi.
Sasa mamaake akaenda dukani akaniacha na junia tunavutana-vutana. Happy ndiyo nikambadikilia, nikamwonyesha sura ya ukauzu na kumtoa shingoni maana ilikuwa kama ananidai kwa jinsi alivyokuwa ananikaba. Nikakashika mikono na kukaminya tu vidole vyake kama naminya karanga, huku namwambi acha utundu kwa wageni mtoto. Kakaanza kulia kanaelekea dukani kwa mamaake.
Maisha ya ugenini magumu sana. Nilipanga kukaa siku mbili, ila moja tu inatosha kwa kweli. Wazazi wengine hivi mnaleaje watoto kipuuzi kama hivi? Katoto ni ka-attention seeker. Mpo katika maongezi sebuleni, kenyewe kanapita-pita na kuvuta watu nguo, ili mradi tu kaonekane kapo live. Mkikapotezea, kataangusha hata glass!