Ukienda ugenini Kuna vitoto vinapenda sana sifa

Ukienda ugenini Kuna vitoto vinapenda sana sifa

Unamfunza nidham kwa kumbinya mfupa?
Unamfunza nidham kwa kumbinya tako?
Mtoto wa miaka minne!

Au wewe unaelewa nini kuhusu ukatili?
"Unamfunza nidham kwa kumbinya mfupa?
Unamfunza nidham kwa kumbinya tako?"

Huyo aliesema sijui kumbinya tako kweli hata mm nimeona hayupo sahihi unaanzaje kumshika mtoto wa mtu matako?,ila napingana na wewe hilo la kusema kumchapa mtoto kwa lengo la kumfunza adabu eti ukatili
 
Umeongea upuuzi ujue[emoji23][emoji23][emoji23]sasa gender ya kiume ipotee kwasababu ya watoto na hao watoto kama ni wakiume..

Acha makasiriko mtoto lazima aonywe ajue mipaka yake...kama anafanya tabia mbaya kumbe anaweza kufanya na tabia nzuri ila wazazi wake ndo wamemlea kindezi..

nyie ndo mnalea watoto kama yai akifanya kosa unasingizia bado mdogo...mwisho wa siku kinakuwa kikubwa ndo mnatuletea vipanya road, na viwezi mtaani...muda mzuri wa kumtengeneza mtu aweje baadae ni akiwa mtoto.

samaki mkunje angali mbichi.
Gender ya kiume ni katili na ili ujue ukatili wake soma adhabu hapo juu walizokua wanamwambia amfanyie mtoto wa miaka minne,

Acheni roho mbaya nyie ma anko kama vipi acheni tabia ya kwenda kwa kaka na dada zenu, mtoto anamfurahia anko wake anataka acheze kama spider man, anamdandia kama kile kingedere cha kichina mtu unakasirika, na kama unataka kumfunza adabu basi mkataze hapo hapo kwa sauti mbele ya wazazi wake, sio wazazi wakiwepo ujichekeshe kama zuzu wakiondoka ukabinye mfupa katoto au umuwekee mguu adondoke au umbinye tako,

Huo ni ukatili na hauvumiliki, acheni roho mbaya nyie ndio mnaharibu watoto
 
"Unamfunza nidham kwa kumbinya mfupa?
Unamfunza nidham kwa kumbinya tako?"

Huyo aliesema sijui kumbinya tako kweli hata mm nimeona hayupo sahihi unaanzaje kumshika mtoto wa mtu matako?,ila napingana na wewe hilo la kusema kumchapa mtoto kwa lengo la kumfunza adabu eti ukatili
Wapi nimepinga mambo ya kumchapa au ndio wenge la usingizi, nimekwoti hao waliotoa hizo adhabu na kumuhoji mtoa mada kama hakua anapenda basi angemwambia loud and clear,

Simple tu
 
Nimekuja mkoani kumtembelea bradha Kuna mzigo aliniagiza nimletee.

Hapa kwa bro kuna mtoto wao wa kiume ana umri kama miaka minne au tano hivi. Asee hiki kitoto Ni kitundu sijapata ona. Mbaya zaidi babaake na mama yake wanamlea Kama yai,full kudeka deka hovyo.

Sasa ni heri wangekuwa wanamlea hovyo akawa anawasumbua wenyewe ingekuwa hakuna shida,ila akiwa na wenzie ni kakorofi kanawapiga wenzie.

Nimejilipua zangu fulana kutoka kwa vunja bei,ameshaitanua shingo kwa kunivuta vuta,imekuwa Kama nanyonyesha Sasa. Mara aninyang'anye simu,mara aniparamie usoni Kama mbwa,alafu ana vikucha vikali.

Basi naishia kujichekesha chekesha tu mbele ya mama yake,maisha ya ugenini yana unafiki Sana. Wazazi wake Wala hawastuki,wanaona poa tu mtoto wao anavyoact Kama kingedere. Mamaake ananiambia "shemeji Kama junia anakusumbua mchape" Namchapaje mtoto wa watu ugenini? Kwa nini asimkataze kusumbua wageni na kukachapa kakiendelea kuleta ubishi.

Sasa mamaake akaenda dukani akaniacha na junia tunavutana vutana. Happy ndiyo nikambadikilia nikamwonyesha sura ya ukauzu na kumtoa shingoni maana ilikuwa Kama ananidai kwa jinsi alivyokuwa ananikaba. Nikakashika mikono na kukaminya tuvidole vyake Kama naminya karanga,huku namwambi acha utundu kwa wageni mtoto. Kakaanza kulia kanaelekea dukani kwa mamaake.

Maisha ya ugenini magumu Sana. Nilipanga kukaa siku mbili ila moja tu inatosha kwa kweli.

Wazazi wengine hivi mnaleaje watoto kipuuzi Kama hivi?
Katoto ni ka-attention seeker mpo katika maongezi sebuleni, kenyewe kanapita pita na kuvuta watu nguo ili mradi tu kaonekane kapo live. Mkikapotezea kataangusha hata glass!!
Kuna watu wanawapenda sana watoto wao....

Baba na mama angu nacho wapendea Huwa wanashepu watoto vizuri 🤓

Nacho Mpendea mzee wangu Huwa ni mkweli....
Ulikua ukija home na matoto TUNDU lako anakuchana makavu...
Hata Kwenye ukoo amejijengea heshima kubwa....

Blue iz blue...black iz black...
Huyo mtoto unge zubaa anaweza kukutoboa jicho alaf wazazi wake wakaushia kukwambia polee...
binafsi mm ningewaambia...ila SEMA hiyo stage Kuna baadhi ya watoto huwaga wanaipitia....

🤓TOTO TUNDU_YOUNG KILLER MSODOKI

Wasalaam
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

Kwa Sasa
+267
 
Watoto watukutu ni kuwaonyeshea kazi ya uhakika ili kila kakikuona lazima katie adabu na kakuogope,

Kulikua na katoto ka sista katukutu kanapiga wenzake kana tukana hovyo,siku moja kamempiga mwenzake ni kakanya kaka nitukana,nikasema usinitanie nilichukua fimbo nilikachapa sana,kalikula mboko za maana,lia sana baada ya hapo ni usingizi mzito,baada ya kuamka ni adabu tosha hadi leo.
 
Nimekuja mkoani kumtembelea bradha Kuna mzigo aliniagiza nimletee.

Hapa kwa bro kuna mtoto wao wa kiume ana umri kama miaka minne au tano hivi. Asee hiki kitoto Ni kitundu sijapata ona. Mbaya zaidi babaake na mama yake wanamlea Kama yai,full kudeka deka hovyo.

Sasa ni heri wangekuwa wanamlea hovyo akawa anawasumbua wenyewe ingekuwa hakuna shida,ila akiwa na wenzie ni kakorofi kanawapiga wenzie.

Nimejilipua zangu fulana kutoka kwa vunja bei,ameshaitanua shingo kwa kunivuta vuta,imekuwa Kama nanyonyesha Sasa. Mara aninyang'anye simu,mara aniparamie usoni Kama mbwa,alafu ana vikucha vikali.

Basi naishia kujichekesha chekesha tu mbele ya mama yake,maisha ya ugenini yana unafiki Sana. Wazazi wake Wala hawastuki,wanaona poa tu mtoto wao anavyoact Kama kingedere. Mamaake ananiambia "shemeji Kama junia anakusumbua mchape" Namchapaje mtoto wa watu ugenini? Kwa nini asimkataze kusumbua wageni na kukachapa kakiendelea kuleta ubishi.

Sasa mamaake akaenda dukani akaniacha na junia tunavutana vutana. Happy ndiyo nikambadikilia nikamwonyesha sura ya ukauzu na kumtoa shingoni maana ilikuwa Kama ananidai kwa jinsi alivyokuwa ananikaba. Nikakashika mikono na kukaminya tuvidole vyake kama naminya karanga,huku namwambi acha utundu kwa wageni mtoto. Kakaanza kulia kanaelekea dukani kwa mamaake.

Maisha ya ugenini magumu Sana. Nilipanga kukaa siku mbili ila moja tu inatosha kwa kweli.

Wazazi wengine hivi mnaleaje watoto kipuuzi Kama hivi?

Katoto ni ka-attention seeker mpo katika maongezi sebuleni, kenyewe kanapita pita na kuvuta watu nguo ili mradi tu kaonekane kapo live. Mkikapotezea kataangusha hata glass!
Hahahah kata bao tu, wewe si bamdogo wake. Bro hawezi bonga sababu wewe ni mshua pia.
Wanamuharibu dogo kumpa uhuru wa kupitiliza. 😁😁😁
 
Mimi napenda watoto hila mazoea kupita kiasi ya kuvunjiana heshima mwiko kuna kitot kimoja cha sister angu kiliniambia sijui nini nikachukia mama yake namwambia akamsaidia Mimi kwangu kuchukia ni sekunde mama yake akatoka akarudia tena Yule mtot nilimpa vikwenzi vya maana toka hapo teh teh akawa ananiogopa ata kuniangalia sisi mama yetu tukiwa wadogo katulea ata kupanda kwenye sofa ulikuwa huwezi au kudeka deka kis*nge mwiko

Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
 
Nimekuja mkoani kumtembelea bradha. Kuna mzigo aliniagiza nimletee. Hapa kwa bro kuna mtoto wao wa kiume ana umri kama miaka minne au tano hivi. Asee, hiki kitoto ni kitundu sijapata ona. Mbaya zaidi, babaake na mama yake wanamlea kama yai, full kudeka-deka hovyo.

Sasa ni heri wangekuwa wanamlea hovyo, akawa anawasumbua wenyewe ingekuwa hakuna shida, ila akiwa na wenzake ni kakorofi, kanawapiga wenzake. Nimejilipua zangu fulana kutoka kwa vunja bei. Ameshaitanua shingo kwa kunivuta-vuta. Imekuwa kama nanyonyesha sasa. Mara aninyang'anye simu, mara aniparamie usoni kama mbwa, alafu ana vikucha vikali.

Basi naishia kujichekesha chekesha tu mbele ya mama yake. Maisha ya ugenini yana unafiki sana. Wazazi wake wala hawastuki, wanaona poa tu mtoto wao anavyo act kama kingedere. Mamaake ananiambia 'shemeji kama junia anakusumbua mchape.' Namchapaje mtoto wa watu ugenini? Kwa nini asimkataze kusumbua wageni na kukachapa kakiendelea kuleta ubishi.

Sasa mamaake akaenda dukani akaniacha na junia tunavutana-vutana. Happy ndiyo nikambadikilia, nikamwonyesha sura ya ukauzu na kumtoa shingoni maana ilikuwa kama ananidai kwa jinsi alivyokuwa ananikaba. Nikakashika mikono na kukaminya tu vidole vyake kama naminya karanga, huku namwambi acha utundu kwa wageni mtoto. Kakaanza kulia kanaelekea dukani kwa mamaake.

Maisha ya ugenini magumu sana. Nilipanga kukaa siku mbili, ila moja tu inatosha kwa kweli. Wazazi wengine hivi mnaleaje watoto kipuuzi kama hivi? Katoto ni ka-attention seeker. Mpo katika maongezi sebuleni, kenyewe kanapita-pita na kuvuta watu nguo, ili mradi tu kaonekane kapo live. Mkikapotezea, kataangusha hata glass!
Amerithi kwako ulipokua mdogo
 
Back
Top Bottom