Ukiendesha Range rover 2018 uwezekano wa kupata ajali ni mdogo sana!

Umesahau kimoja...ukitaka kugegeda inapiga kelele kuwa humo sio guest

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hiyo kitunda ulifikaje bila kupitia mbagala au kilwa road? hiyo Raman haioneshi majina? ulikuwa mgeni mjini? SIZAN hata kama kuna kupotea huwezi potea kizembe hivo
 
Haya mambo ya GPS angalau uwe na dira au ufahamu wa jumla kule unakoenda.. Kuna jamaa nafanya nao kazi, walitoka city center, wakawa wanataka kwenda maonyesho sabasaba, wakaweka google map, walijikuta wanakaribia kibaha ndio wakampigia mtu simu akawaambia wamepotea ...πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›
 
🀣🀣🀣🀣 mkuu umenchekesha sana


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…