Hahahaaa! Huezi amini hao wa Yanga na Simba hamna hata mmoja anayenifahamu nje ya Jf huwa tunacheka majukwaani na kuishia humu humu.Wewe watakaotoa taarifa zako ni wale marafiki zako wa Simba vs Yanga wa humuπππ
Hahahaha si ndio nipo nao karibuu mzeebaba...[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mbona wachuchu tu mzee baba...[emoji4]
Hajauliza kuhusu mafunzo.Ila ukifa umekufa tu, hata wadau JF wakipata taarifa hakuna litalobadilika...
Funzo kwenye kifo, ni kwamba unapoona mtu kaondoka ni kiashiria kuwa nawe uliye hai utaondoka hivyo tengeneza maisha yako na Muumba...
Kwani alikufa lini bwana "alisikika mlevi mmoja"Ndio maana toka MLEVi Mmoja afe hakuna aliyejua
Zikishatolewa unafufuka ?Salamu baadae.
Sku hizi RIP zimekuwa nyingi mtaani hata huku. jf wanautaratibu wa kuweka hio status kwenye profile yako pale unapofariki na taarifa wanazipata kutoka kwa watu wa karibu. Sasa swali ni nani mtu wako wa karibu anayeweza kutufahamisha?
Naamini wapo wengi walishatutangulia lkn hatufahamu tunaishia kusema "sku hizi wamepotea".
Bado upo Pugu ?Kama atakayechukua simu yangu atakuwa member wa Jf basi huyo ndio atatoa taarifa. Maana nimejaribu kufikiria hata watu wa hapa ninaofahamiana nao hawatakuwa na namna ya kupata taarifa
π π πnitatoa mwenyewe saa chache kabla ya kifo kuchukua uhai wangu!
Amepotea sana huyu bwanaNdio maana toka MLEVi Mmoja afe hakuna aliyejua