Ukifa leo nani atatoa taarifa zako hapa JF?

Taarifa ziletwe humu watu waanze kuitafuta sura ya marehemu ili wapate cha kuzungumza wakishakula wali maharage, akuuuu!

Kama wataka ujulikane, verify your ID pia waambie nduguzo waingie kwa akaunti yako watangaze kifo chako.
 
Hatujui
 
Siku ya kuacha ID tu bila maudhulio jamii forums hii siku huwa naiogopa sana wapendwa

Vijana wenzangu wa baadae watasoma sana comment zangu nondo

Sijuhi Nani atakuwa mtoaji taarifa

I love jamii forum
 
Kama atakayechukua simu yangu atakuwa member wa Jf basi huyo ndio atatoa taarifa. Maana nimejaribu kufikiria hata watu wa hapa ninaofahamiana nao hawatakuwa na namna ya kupata taarifa
Ah kumbe hujafa. Ngoja nikadelete ule uzi
 

Kweli kabisa natumain utanisitiri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…