Ukifanya Oral Interview sekretarieti ya ajira wanachukua muda gani kuibadilisha status ya account yako?

Chawa wa makamba na mama Samia na wewe unahangaika ajira , chawa wenzio you wanaitwa moja Kwa moja kazini sjui ww unakwama
wap
 
Kuna comment zinakuaga mwishoni hizo zinakuonesha tu ulichofanya
Ukiona wanaanza kukushauri ujue baba jeni bye bye na mwendo umeumaliza hahhh
Vijana ndio mnateseka hiviπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€. Wanakushauri nini yaani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…