Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 7,899
- 10,415
- Thread starter
- #21
๐๐๐๐aAsubiri mpaka lini? Mwambie aendelee kutafuta job kungine.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
๐๐๐๐aAsubiri mpaka lini? Mwambie aendelee kutafuta job kungine.
Mimi nateseka na biashara boss.Mkuu mbna km na ww unateseka vile..๐๐ ๐คฃ
Sawa sawa basi ndo hivyo aseehHapana boss mm siwacheki.
Rais Dr. Samia watu wako wananisema huku. ๐๐๐๐๐Kuna siku nitapokea meseji ya uteuzi PM.Chawa wa makamba na mama Samia na wewe unahangaika ajira , chawa wenzio you wanaitwa moja Kwa moja kazini sjui ww unakwama
wap
KumbeNi kusubiria pdf tu ya placements. Hizo mambo za status zitamchanganya.
Yes..maana kama umefanya oral...si unasubiria matokeo sasa ambapo ni mpaka yachapishwe. Hizo mambo sijui za shortlisted au selected for oral ni kutiana unnecessary pressure.Kumbe
Sisi hatujui aisee,, chamsingi asubrie tu placement itoke ...Maana status zinaweza zisibadilike na akafanikiwa ,inaweza kubadilika ikafanikiwa au asifanikiwe..ila kujua zinabadilika baada muda gaani wanaojua watu ni wenyewe psrs basi Meneja Wa MakampuniNaombeni kuuliza kuna ndugu yangu anataka kujua:
Ukifanya oral interview sekretarieti ya ajira wanachukua muda gani kuibadilisha status ya account yako.
Kumbe kuna kuwaga na comments,,na usipopewa comment inakuaje?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Au comments zinatolewa kutokukuvunja moyo,,ila wao wanajua tumekukanda[emoji23][emoji23]Kuna comment zinakuaga mwishoni hizo zinakuonesha tu ulichofanya
Ukiona wanaanza kukushauri ujue baba jeni bye bye na mwendo umeumaliza hahhh
๐๐๐๐Pale comment huwa wanakupa makavu tu pale paleKumbe kuna kuwaga na comments,,na usipopewa comment inakuaje?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Au comments zinatolewa kutokukuvunja moyo,,ila wao wanajua tumekukanda[emoji23][emoji23]
๐๐๐๐๐๐๐Pale comment huwa wanakupa makavu tu pale pale
Kwamfano umepiga oral afu mtu anaanza kukushauri kama una ukimwi vile hapo unahisi utapata??
Kwa hyo utasikia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Pale comment huwa wanakupa makavu tu pale pale
Kwamfano umepiga oral afu mtu anaanza kukushauri kama una ukimwi vile hapo unahisi utapata??
๐๐๐๐Jobless unataka nitoe comment nilizoambiwa mimi hahhhKwa hyo utasikia
"thank u Mr Jobless,,we advice u to understand QNS and do more preparation for next post will be advertised""
Au comments gaan [emoji23][emoji23][emoji23] wizy
Kuna comment zinakuwaga tofauti pale au hata isipokuwa comment kwamfano wenzio wote hawakupewa nafasi yakuuliza swali au kusema chochoteKwa hyo utasikia
"thank u Mr Jobless,,we advice u to understand QNS and do more preparation for next post will be advertised""
Au comments gaan [emoji23][emoji23][emoji23] wizy
Umeiweka kitaalamu sanaSio mimi, kuna ndugu yangu kaniuliza boss.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Comment kama ipi ni sio ya baba jeni by by?!![emoji38][emoji38]
Sahv kwa utumishi kukupa nafasi ya kuuliza sizani ,Maana Kama mpo wengi kuulizwa wanataka wamalize zoezi chap chap ,,,wakimaliza wanatumia lugha ya kukupa Matumain ili usiondoke Upo discouraged,,mfnKuna comment zinakuwaga tofauti pale au hata isipokuwa comment kwamfano wenzio wote hawakupewa nafasi yakuuliza swali au kusema chochote
Hapo unadhani nani mwenye uwezekano kuchukuliwa?
Wakicomment hivyo ujue umepata lakini wakikujibu kavu tu kuwa majibu utayaona website "hiiiiiih my friend ujue umekwisha๐๐๐๐๐๐Sahv kwa utumishi kukupa nafasi ya kuuliza sizani ,Maana Kama mpo wengi kuulizwa wanataka wamalize zoezi chap chap ,,,wakimaliza wanatumia lugha ya kukupa Matumain ili usiondoke Upo discouraged,,mfn
"" Thank u Mr.@wizy a.k.a Mr.jobless for ur time ,we hope to see u in our team, u may take ur certificate,we wish all the best""
Ila wakandaji ndo wanajua ukweli unapita au haupiti [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Majibu ya kavu kavu Kama yapi[emoji23][emoji23][emoji23]??@wizyWakicomment hivyo ujue umepata lakini wakikujibu kavu tu kuwa majibu utayaona website "hiiiiiih my friend ujue umekwisha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]