Ukifanya Oral Interview sekretarieti ya ajira wanachukua muda gani kuibadilisha status ya account yako?

Ukifanya Oral Interview sekretarieti ya ajira wanachukua muda gani kuibadilisha status ya account yako?

Majibu ya kavu kavu Kama yapi[emoji23][emoji23][emoji23]??@wizy

mie najua hata Kama umeharibu watatumia maneno mazuri kwa Kila mtu ili kumtia moyo hata Kama hakutoboa ,ili mtu aondoke akiwa na Amani ,,asije akajinyonga bhna [emoji23][emoji23][emoji23]

Ila ukweli wanaujua wakandaji maaana ,,wakimaliza ukaondoka ndio wanajumlisha marks zao kutokana ulivyojibu maswali yao , confidence yako,etc
😂😂😂😂😂Yes sasa kwamfano hauna confidence lazima wakushauri kuwa amini unachokisema maana wao hawaangalii majibu tu
Acha nikwambie basi siku nikitoboa nitawapa na comment nilizokuwa napewa wakati mwingine
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yes sasa kwamfano hauna confidence lazima wakushauri kuwa amini unachokisema maana wao hawaangalii majibu tu
Acha nikwambie basi siku nikitoboa nitawapa na comment nilizokuwa napewa wakati mwingine
Mkuu swala la comment achana nalo, washkaji kibao wametoboa na hakuna comment yoyote wanayopewa wakimaliza interview.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Majibu ya kavu kavu Kama yapi[emoji23][emoji23][emoji23]??@wizy

mie najua hata Kama umeharibu watatumia maneno mazuri kwa Kila mtu ili kumtia moyo hata Kama hakutoboa ,ili mtu aondoke akiwa na Amani ,,asije akajinyonga bhna [emoji23][emoji23][emoji23]

Ila ukweli wanaujua wakandaji maaana ,,wakimaliza ukaondoka ndio wanajumlisha marks zao kutokana ulivyojibu maswali yao , confidence yako,etc
Kama swali unalijua utajibu kwa confidence kama hulijui huwezi kuwa na confidence.
 
Mle hamna swali la kufikiria unless kama wanauliza current issues.
Sasa ww umepigwa swali unalijua point iliyokuja kichwani ni moja au point hakuna hata moja kichwan ,,wakandaji wanakuambia at least 5points ,,unafanyeje ss kwenye kujibu hapo ,,hautafikiria angalau upate points za kuongea tena kwa confidence ? AU UTASEMA NEXT QN [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mtzedi au utajibu tu kichwa kichwa haina kufikiria kama ni point sahihi au inakaribia usahihi,,pia lengo la usahili ni kupima uwezo wako wa kichwa kuchambua vitu kwa haraka hata kama ni kumention na sio kuleza

Ktk kupambana lazima ujitoe hata ujui majibu bora ujitahidi hata kujibu majibu usiokuwa na uhakika nayo ,,wajue jamaa basi tu yupo Op
 
Sasa ww umepigwa swali unalijua point iliyokuja kichwani ni moja au point hakuna hata moja kichwan ,,wakandaji wanakuambia at least 5points ,,unafanyeje ss kwenye kujibu hapo ,,hautafikiria angalau upate points za kuongea tena kwa confidence ? AU UTASEMA NEXT QN [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mtzedi au utajibu tu kichwa kichwa haina kufikiria kama ni point sahihi au inakaribia usahihi,,pia lengo la usahili ni kupima uwezo wako wa kichwa kuchambua vitu kwa haraka hata kama ni kumention na sio kuleza

Ktk kupambana lazima ujitoe hata ujui majibu bora ujitahidi hata kujibu majibu usiokuwa na uhakika nayo ,,wajue jamaa basi tu yupo Op
Bora kujaribu kuliko kusema sijui au kunyamaza kabisa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Pale comment huwa wanakupa makavu tu pale pale
Kwamfano umepiga oral afu mtu anaanza kukushauri kama una ukimwi vile hapo unahisi utapata??
Kiukweli mimi nilipewa comment moja ambyo inatia sana moyo tena nilipewa na mwenyekiti ambye ni mwakilishi wa taasisi husika
Cha ajabu kwenye app nina NOT SELECTED with red ink na SHORTLISTED kwenye web
Ila placement bdo
 
Kiukweli mimi nilipewa comment moja ambyo inatia sana moyo tena nilipewa na mwenyekiti ambye ni mwakilishi wa taasisi husika
Cha ajabu kwenye app nina NOT SELECTED with red ink na SHORTLISTED kwenye web
Ila placement bdo
Subiri pdf hiyo comment ilikuaje
 
Kiukweli mimi nilipewa comment moja ambyo inatia sana moyo tena nilipewa na mwenyekiti ambye ni mwakilishi wa taasisi husika
Cha ajabu kwenye app nina NOT SELECTED with red ink na SHORTLISTED kwenye web
Ila placement bdo
Kikubwa subria pdf itoke ndio ujue,, unaweza ukapata au ukaingia kanzidata..
Kila mtu hajui kip ni kip Lonely me maana hata kwenye web ukawa Shortlisted uenda matokeo bado ukakuta kwenye app not selected for null,,kuna wengine matokeo bado au tayari inaonesha selected for oral kwenye web na kwenye app inaonesha selected for null...hizi mambo bado hazieleweki umepata au kanzidata au umepigwa moja kwa moja ...maana hata ikitokea kwenye pdf hupo utatupa ushuhuda humu ,au ikitokea bahati mbaya haupo uenda upo kanzidata...muda mwingine unajiangalia jinsi ilivyofanya oral yako ,kama ulifanya poa pamoja na mapungufu yako matumaini yanakuepo,,

Kwenye comment ulipewa ipi? Lonely me
Japo siamini kwenye comment maana panel wanaweza wasitoe comment zaid ya conclude interview process kwa maneno mazuri ya kutia moyo ata kama umeharibu/umefanya vzr maana haujui marks ilizopata na wenzako wamepata marks ngap hatujui
Na mara nyingi wanaconclude kwa maneno ya kutia moyo kwa wote nafkiri "THANK U FOR GOOD INTERVIEW/ THANK U FOR UR TIME, WE HOPE TO SEE U SOON JOIN IN OUR TEAM ,/WISH U ALL THE BEST, U MAY TAKE UR CERTIFICATES,
 
Back
Top Bottom