Ukifanyiwa hivi na mwanamke inamaanisha nini haswa?

Ukifanyiwa hivi na mwanamke inamaanisha nini haswa?

Jitahidi kuwa na sauti ya simba dhidi ya matendo yake! Kama ni mtu mzima na anania ya kujenga future na wewe atakuelewa.
 
jamanii mi nashindwa kuelewaa! nazidi kulewaa tu.. hivi kuna dawa ya kuacha kupenda&kupendwa niishi kama jongoo peke yangu. Maana ni SHIDAAAA
 
Kwanza nikuhakikishie kuwa uaminifu wako haujaku-cost, kuna kitu kingine bado hujakigundua. Una miaka 24, huyu uliye naye una miaka karibu miwili naye...naye anakusumbua. Mi nahisi uko "too feminine" . Samahani lakini. Kwa ufupi kama unataka kuwa na mtu na unataka kuanza nae familia kwa sasa kaa tena pembeni. Anza kujitafakari we ni nani, uko vipi, unatarajia nini kisha uanze kutafuta mwenzio baada ya wewe kujifahamu. Kama hutaki mtu anayekunywa pombe kamwe usimchukue kwa madai ya kwamba utamwachisha au utakuwa unampeleka wewe. Ya nini kujipa hii tabu yote wakati kuna ambao hawanywi? Utasema unampenda sana na upendo huvumilia. Kuna wakati tunatakiwa kupuuza mioyo na kusikiliza akili zetu hasa mwanaume kwenda kwa mwanamke.
 
mkuu,hivi kadem kako ndiyo kale kafupi maji ya kunde kanafanya kazi pale floor ya nne?..maumivu.
 
huyo msaliti, hizo ndio njia zake za kuomba msamaha.......
nawe jidai hupo bila kumwitaji utapata jibu.
 
Mgomba tu ndo wa peke ako....

mgomba wenyewe utauweka wapi? maana ukiuweka vibaya unakuta nguruwe pori wameupiga mashine!
labda anunue hii aweke chumbani.
doll.jpg
 
Ni mlevi kumbe huyo dada mh ktk mahusiano lazma mue na muda hata wa kutekenyana mh nu shidder
 
Chatting ni adfiction kama vile watu walivyoaddicted na JF. Sijajiunga na miwatsupp hivyo siwezi semea sana. Ongea naye ikibidi mkubaliane kuzima simu muwapo pamoja.

Kuhusu kuwa muwazi sana, ni utoto tu na waweza tafsiri kuwa anakupenda. Ongea na dada yake amuelimishe kwamba si vyema kuweka wazi juu ya wanaume wanaomtongoza (najua huwa inawapunguzia sana confidence hii).

Overall haya mambo yanatatulika na sio ya kuvunja mahusiano.

Ushauri mzuri Ndugu yangu...nitaufanyia kazi.
 
Msanii,kwani akigegedwa au akimkubali mtu anakuambia?
 
Wakuu habari zenu.

Nimekuwa katika mapenzi na dada mmoja hivi sasa tunaelekea mwaka wa pili huu. Sijawahi kumkwaza kufikia hatua ya labda kuninunia week au siku kadhaa hivi. kifupi mimi ni muumini wa uaminifu katika mapenzi (though hii imenicost ktk relation zilizopita ila sitaki kuzungumzia hilo).

Ila yeye amekuwa akinikwaza sana hasa katika jambo zima la matumizi ya simu. Utakuta hatujaonana labda week lakini siku tutakapoonana hata kama ninashinda nae siku nzima yeye yupo busy muda wote na simu yake akichat watsapp na social networks nyingine. Sawa ninaweza kuonekana nina wivu ila hatambui kuwa ni muda mrefu hatujaonana anitengee muda wangu tuongee na kufurahi pamoja sasa yeye yuko busy tu anafesibuka.

Jambo jingine ni yeye kuwa muwazi kwangu kila afanyapo kosa lolote mfano akilewa tu lazima anipigie simu kuniomba msamaha kuwa mpenzi wangu nimelewa nakuomba unisamehee...hii inamaanisha nini wakuu? Ni kwamba ananipenda au ni geresha tu! Kingine kila mwanaume anayemtongoza lazima aniambie me hata huwa simfuatilii ila najua kutokana na yeye anavyoniambia...what does it mean??

Is she really love me...or should I take a leave in this relationship because of the way she is busy with her gadget? Wakuu naomba mawazo yenu without insultation.

Natanguliza shukrani

Yawezekana kukupa taarifa hizo ni unafiki wa kutaka kukuweka sawa ili machoni pako aonekane ni mwaminifu!! Kwa maana nyingine anakufumba macho ya fikra pana kwa kukuaminisha kuwa kila afanyacho wewe unakijua kwa hali hiyo awapo kimya basi yupo tu! Na wewe utatulia ukijua kuwa yupo tu! kumbe ndio anatumia muda huo kugegedwa.

Kaa chonjo na watsapp man!
 
Back
Top Bottom