Ukifikisha umri wa kustaafu(miaka 60) na hujawahi kulala selo au kuitwa polisi kwa mahojiano wewe sio mpambanaji

Ukifikisha umri wa kustaafu(miaka 60) na hujawahi kulala selo au kuitwa polisi kwa mahojiano wewe sio mpambanaji

mdukuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
20,925
Reaction score
51,688
Ukiondoa chawa, high profile leaders, watumishi wa vyombo vya ulinzi na usalama, makada wa CCM na watoto wa mama.

Waliobaki kama ukifikisha umri wa kustaafu miaka 60,uwe umejiajiri au umeajiriwa na katika harakati zako za upambanaji hujawahi kulala kupango au kuitwa polisi kwa mahojiano,wewe bado sana,huna cha kusimulia wajukuu.

Naingea na wapambanaji

Wapambanaji wengi wameshalala lupango au kuhojiwa polisi,hii ni duniani kote.

Hapa siongelei kufungwa gerezani hiyo ni advanced sana.

Kuna mwamba alienda kwa mchepuko akapewa show mpaka saa nane usiku,kurudi nyumbani ikawa shida,akamfuata afande mmoja ni rafiki yake,wakamsweka ndani,mkewe akapigiwa simu kuwa njoo polisi mumeo amegonga mtu na gari,mke kaja na chupa ya chai na mazagazaga kumuwekea dhamana mumewe,Bila kujua kuwa alijipeleka lupango.ili litimie neno

Huo ndio uanaume,wote mkiwa kondoo serikali haitatoa ajira kwa jeshila polisi,kikubwa usifanye matukio mazito ya kukufunga gerezani.

Si mliona juzi polisi walivyoandamanishwa kwa kauli ya mwanaume mmoja tu,huo ndio uanaume.

Sitetei kuvunja sheria ila mwanaume hutakuwi kuwa kama kondoo.

Sio lazima uwe criminal,unaweza kuta mkeo akakujib shit ukamzabua makofi kwa hasira tayari selo

Au barabarani mtu akakuchomekea ukamzingua tayari kesi.

Umepiga dili ba mtu akakudhulumu tayari kesi.

Mambo ni mengi

Boss wa JF angekuwa mtoto wa mama angewakaanga wengi kwenye ile kesi yake ila kwa vile ni mpambanaji alilala au kuhojiwa polisi na mahakama ndio ilimuachia,huo ndio uanaume

Kuna watu watasema sifa za kijinga ila miaka 60 ni mingi sana kukwepa mkono wa sheria kwa mpambanaji
 
MBONA MAKADA WA CCM KILA SIKU TUNAINGIA LUPANGO. MHIMU NI KUTII SHERIA ZA NCHI. ACHENI KUFANYA KAMA KUNA UPANDE UNA UPENDELEO . ILA USISAHAU KUWA MAMA SAMIA NI MITANO TENA .
 
Ukiondoa chawa,high profile leaders,watumishi wa vyombo vya ulinzi na usalama,makada wa CCM

Waliobakikama ukifikisha umri wa kustaafu miaka 60,uwe umejiajiri au umeajiriwa na katika harakati zako za upambanaji hujawahi kulala kupango au kuitwa polisi kwa mahojiano,wewe bado sana,huna cha kusimulia wajuku...
Hicho sio kipimo sahihi...
 
Kuna mwamba alienda kwa mchepuko akapewa show mpaka saa nane usiku,kurudi nyumbani ikawa shida,akamfuata afande mmoja ni rafiki yake,wakamsweka ndani,mkewe akapigiwa simu kuwa njoo polisi mumeo amegonga mtu na gari,mke kaja na chupa ya chai na mazagazaga kumuwekea dhamana mumewe
Duuh,
Huyo mwamba ni shiida
 
Ukiondoa chawa,high profile leaders,watumishi wa vyombo vya ulinzi na usalama,makada wa CCM

Waliobakikama ukifikisha umri wa kustaafu miaka 60,uwe umejiajiri au umeajiriwa na katika harakati zako za upambanaji hujawahi kulala kupango au kuitwa polisi kwa mahojiano,wewe bado sana,huna cha kusimulia wajukuu.

Wapambanaji wengi wameshalala lupango au kuhojiwa polisi,hii ni duniani kote.

Hapa siongelei kufungwa gerezani hiyo ni advanced sana.

Kuna mwamba alienda kwa mchepuko akapewa show mpaka saa nane usiku,kurudi nyumbani ikawa shida,akamfuata afande mmoja ni rafiki yake,wakamsweka ndani,mkewe akapigiwa simu kuwa njoo polisi mumeo amegonga mtu na gari,mke kaja na chupa ya chai na mazagazaga kumuwekea dhamana mumewe,Bila kujua kuwa alijipeleka lupango.ili litimie neno

Huo ndio uanaume,wote mkiwa kondoo serikali haitatoa ajira kwa jeshila polisi,kikubwa usifanye matukio mazito ya kukufunga gerezani.

Si mliona juzi polisi walivyoandamanishwa kwa kauli ya mwanaume mmoja tu,huo ndio uanaume.

Sitetei kuvunja sheria ila mwanaume hutakuwi kuwa kama kondoo.
Una kaufala fulani kwenye ujumbe wako, watanzania more than 60m, unatarajia wote wapitie hiyo fate? Never
 
Back
Top Bottom