Ukifikisha umri wa kustaafu(miaka 60) na hujawahi kulala selo au kuitwa polisi kwa mahojiano wewe sio mpambanaji

Ukifikisha umri wa kustaafu(miaka 60) na hujawahi kulala selo au kuitwa polisi kwa mahojiano wewe sio mpambanaji

Zinatumika mbinu nyingi kujaribu kutafuta thamani ya mwanaume mpambanaji. Ila kwangu hii ni moja ya sababu za kifala na kipumbavu kuliko zote zilizowahi kutajwa. Kwamba ukiwa mpambanaji lazima upite sero au ulale mahabusu hata mara moja. SMH!

Mnawaponza vijana wakajiaminishe kufanya maovu mwisho wataishia pabaya. Acheni ubabaifu fanyeni kazi halali mpate mkate wenu wa kila siku kukutosheleza wewe na familia yako. Na usikute unasema haya hata familia huna au ndio kwanza unahamasisha mabinti kutoa mimba
 
kila mtu ana experience yake ya maisha ukisema tuanze kushindanisha hapa utakuja kujiona ni nyumbu!.
kuna watu wamepitia kule unaposikia wewe kukikaribia kifo!,pita mahospitalini hata siku moja tena zile hospital kubwakubwa utaona nachomaanisha kwamba tunapitia vitu tofauti tofauti na experience ya mwenzako usije ukaiona ni upuuzi!.. hapo ukute hujawahi hata kuvunjika mfupa wowote ama kupigwa na risasi lkn wapo wenye hizo experience!.
huwezi kusema hao si wanaume!

watu wanatafuta ugali wa kila siku wanapitia mabalaa kuna ajali n.k by the way ubongo wangu unaniambai nikiona mtu analinganisha experience za maisha kama ndio uanaume ama si uanaume basi huyo mtu bado hajakuwa!.

nakuacha na hii " maisha unaweza ukayatafsiri kwa wepesi tu lkn ndani yake kila mtu anamambo yake,na kuna mengine ungeyapitia wewe usingevumilia ungechagua kifo".
 
ILA USISAHAU KUWA MAMA SAMIA NI MITANO TENA
FB_IMG_1718882784219.jpg
 
nimekuona mjinga tu usiyejielewa na pia unapenda kuwatukuza wanadamu wenzio kwa jinsi ulivyoanza kuwataja sijui machawa,high pfofile leaders,watu wa vyombo vya salama,wana ccm, na watoto wa mama..nje ya hao sisi wengine hatuna maana kama hatujalala lupango au kuhojiwa polisi basi hatuna la maana kusimulia wajukuu yaani kwako ww mtu akipata kashkashi za polisi basi ndo unamuona amewin maisha..kwani hilo kindi ulilotaja la machawa na viongozi na watoto wa mama ww ndio unawaona eti ndio wanaume wa Shoka kwani wanalipi la kusimulia wajukuu zaidi ya wizi na ufisadi na kukandamiza haki za watu.! huna maana
 
nimekuona mjinga tu usiyejielewa na pia unapenda kuwatukuza wanadamu wenzio kwa jinsi ulivyoanza kuwataja sijui machawa,high pfofile leaders,watu wa vyombo vya salama,wana ccm, na watoto wa mama..nje ya hao sisi wengine hatuna maana kama hatujalala lupango au kuhojiwa polisi basi hatuna la maana kusimulia wajukuu yaani kwako ww mtu akipata kashkashi za polisi basi ndo unamuona amewin maisha..kwani hilo kindi ulilotaja la machawa na viongozi na watoto wa mama ww ndio unawaona eti ndio wanaume wa Shoka kwani wanalipi la kusimulia wajukuu zaidi ya wizi na ufisadi na kukandamiza haki za watu.! huna maana
Habari yako hapo sebuleni kwa shemeji yako
 
Ukiondoa chawa, high profile leaders, watumishi wa vyombo vya ulinzi na usalama, makada wa CCM na watoto wa mama.

Waliobaki kama ukifikisha umri wa kustaafu miaka 60,uwe umejiajiri au umeajiriwa na katika harakati zako za upambanaji hujawahi kulala kupango au kuitwa polisi kwa mahojiano,wewe bado sana,huna cha kusimulia wajukuu.

Naingea na wapambanaji

Wapambanaji wengi wameshalala lupango au kuhojiwa polisi,hii ni duniani kote.

Hapa siongelei kufungwa gerezani hiyo ni advanced sana.

Kuna mwamba alienda kwa mchepuko akapewa show mpaka saa nane usiku,kurudi nyumbani ikawa shida,akamfuata afande mmoja ni rafiki yake,wakamsweka ndani,mkewe akapigiwa simu kuwa njoo polisi mumeo amegonga mtu na gari,mke kaja na chupa ya chai na mazagazaga kumuwekea dhamana mumewe,Bila kujua kuwa alijipeleka lupango.ili litimie neno

Huo ndio uanaume,wote mkiwa kondoo serikali haitatoa ajira kwa jeshila polisi,kikubwa usifanye matukio mazito ya kukufunga gerezani.

Si mliona juzi polisi walivyoandamanishwa kwa kauli ya mwanaume mmoja tu,huo ndio uanaume.

Sitetei kuvunja sheria ila mwanaume hutakuwi kuwa kama kondoo.

Kuna watu watasema sifa za kijinga ila miaka 60 ni mingi sana kukwepa mkono wa sheria kwa mpambanaji
cheki hili na nalo
 
Ukiondoa chawa, high profile leaders, watumishi wa vyombo vya ulinzi na usalama, makada wa CCM na watoto wa mama.

Waliobaki kama ukifikisha umri wa kustaafu miaka 60,uwe umejiajiri au umeajiriwa na katika harakati zako za upambanaji hujawahi kulala kupango au kuitwa polisi kwa mahojiano,wewe bado sana,huna cha kusimulia wajukuu.

Naingea na wapambanaji

Wapambanaji wengi wameshalala lupango au kuhojiwa polisi,hii ni duniani kote.

Hapa siongelei kufungwa gerezani hiyo ni advanced sana.

Kuna mwamba alienda kwa mchepuko akapewa show mpaka saa nane usiku,kurudi nyumbani ikawa shida,akamfuata afande mmoja ni rafiki yake,wakamsweka ndani,mkewe akapigiwa simu kuwa njoo polisi mumeo amegonga mtu na gari,mke kaja na chupa ya chai na mazagazaga kumuwekea dhamana mumewe,Bila kujua kuwa alijipeleka lupango.ili litimie neno

Huo ndio uanaume,wote mkiwa kondoo serikali haitatoa ajira kwa jeshila polisi,kikubwa usifanye matukio mazito ya kukufunga gerezani.

Si mliona juzi polisi walivyoandamanishwa kwa kauli ya mwanaume mmoja tu,huo ndio uanaume.

Sitetei kuvunja sheria ila mwanaume hutakuwi kuwa kama kondoo.

Kuna watu watasema sifa za kijinga ila miaka 60 ni mingi sana kukwepa mkono wa sheria kwa mpambanaji
mo dewiji alilala Selo gan
 
katika harakati zako za upambanaji hujawahi kulala kupango au kuitwa polisi kwa mahojiano,wewe bado sana
Nafikiri huu ni mtazamo wako binafsi, kosa ni pale unapolazimisha mtazamo wako uwe sahihi kwa watu wote! Wewe ni:

dikteta

mtu mwenye tabia ya kutaka lifanywe lile analosema bila ya kupingwa

Halafu unaonekana wewe ni:

zuzu

mtu asiyetumia akili yake; mtu anayeshindwa kufahamu jambo hata akielezwa

 
Nafikiri huu ni mtazamo wako binafsi, kosa ni pale unapolazimisha mtazamo wako uwe sahihi kwa watu wote! Wewe ni:

dikteta

mtu mwenye tabia ya kutaka lifanywe lile analosema bila ya kupingwa

Halafu unaonekana wewe ni:

zuzu

mtu asiyetumia akili yake; mtu anayeshindwa kufahamu jambo hata akielezwa

Weweni chawa
 
Back
Top Bottom