Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
BwabwaBaba angu ni demu ..?
Coca nimekumiss sanaUanaumee kazi, bora wengine wanaleft, wamechoka hizo heka heka, Lol
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Binafsi nina umri nusu na zaidi katika huo wa kustaafu na sijawahi lala selo.🤣Ukiondoa chawa,high profile leaders,watumishi wa vyombo vya ulinzi na usalama,makada wa CCM na watoto wa mama.
Waliobaki kama ukifikisha umri wa kustaafu miaka 60,uwe umejiajiri au umeajiriwa na katika harakati zako za upambanaji hujawahi kulala kupango au kuitwa polisi kwa mahojiano,wewe bado sana,huna cha kusimulia wajukuu.
Naingea na wapambanaji
Wapambanaji wengi wameshalala lupango au kuhojiwa polisi,hii ni duniani kote.
Hapa siongelei kufungwa gerezani hiyo ni advanced sana.
Kuna mwamba alienda kwa mchepuko akapewa show mpaka saa nane usiku,kurudi nyumbani ikawa shida,akamfuata afande mmoja ni rafiki yake,wakamsweka ndani,mkewe akapigiwa simu kuwa njoo polisi mumeo amegonga mtu na gari,mke kaja na chupa ya chai na mazagazaga kumuwekea dhamana mumewe,Bila kujua kuwa alijipeleka lupango.ili litimie neno
Huo ndio uanaume,wote mkiwa kondoo serikali haitatoa ajira kwa jeshila polisi,kikubwa usifanye matukio mazito ya kukufunga gerezani.
Si mliona juzi polisi walivyoandamanishwa kwa kauli ya mwanaume mmoja tu,huo ndio uanaume.
Sitetei kuvunja sheria ila mwanaume hutakuwi kuwa kama kondoo.
Kuna watu watasema sifa za kijinga ila miaka 60 ni mingi sana kukwepa mkono wa sheria kwa mpambanaji
Sema selo nayo tamuu unakutana na ndume zina ugwaduuu, kwa sisi mabwabwa tunaenjoy sana kupapaswa makalio.Binafsi nina umri nusu na zaidi katika huo wa kustaafu na sijawahi lala selo.🤣
Nadhani ni discpline tu katika maisha ndio inasaidia.
Watanzania kwenu kuwa mwanaume huwa ni sifa za ajabu ajabu. eti kulala polisi, kula ugali saan na maharage, kutumia nguvu kuliko akili, yani sifa za ajabu ajabu ndizo kwa mtanzania zinakuwa sifa za kuwa mwanaume.Ukiondoa chawa,high profile leaders,watumishi wa vyombo vya ulinzi na usalama,makada wa CCM na watoto wa mama.
Waliobaki kama ukifikisha umri wa kustaafu miaka 60,uwe umejiajiri au umeajiriwa na katika harakati zako za upambanaji hujawahi kulala kupango au kuitwa polisi kwa mahojiano,wewe bado sana,huna cha kusimulia wajukuu.
Naingea na wapambanaji
Wapambanaji wengi wameshalala lupango au kuhojiwa polisi,hii ni duniani kote.
Hapa siongelei kufungwa gerezani hiyo ni advanced sana.
Kuna mwamba alienda kwa mchepuko akapewa show mpaka saa nane usiku,kurudi nyumbani ikawa shida,akamfuata afande mmoja ni rafiki yake,wakamsweka ndani,mkewe akapigiwa simu kuwa njoo polisi mumeo amegonga mtu na gari,mke kaja na chupa ya chai na mazagazaga kumuwekea dhamana mumewe,Bila kujua kuwa alijipeleka lupango.ili litimie neno
Huo ndio uanaume,wote mkiwa kondoo serikali haitatoa ajira kwa jeshila polisi,kikubwa usifanye matukio mazito ya kukufunga gerezani.
Si mliona juzi polisi walivyoandamanishwa kwa kauli ya mwanaume mmoja tu,huo ndio uanaume.
Sitetei kuvunja sheria ila mwanaume hutakuwi kuwa kama kondoo.
Kuna watu watasema sifa za kijinga ila miaka 60 ni mingi sana kukwepa mkono wa sheria kwa mpambanaji
Pdiddy anawasubiria hukoSema selo nayo tamuu unakutana na ndume zina ugwaduuu, kwa sisi mabwabwa tunaenjoy sana kupapaswa makalio.
Niko hapaaa mwayaaa, ulipoteleaa wapiii? WoiiiihCoca nimekumiss sana
Haya, mleta mada mpambanaji mwenzio huyu hapa kafika.Sema selo nayo tamuu unakutana na ndume zina ugwaduuu, kwa sisi mabwabwa tunaenjoy sana kupapaswa makalio.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila Extroo, wee hutaki kuwa did it vidampaa?Pdiddy anawasubiria huko