Ukifikisha umri wa kustaafu(miaka 60) na hujawahi kulala selo au kuitwa polisi kwa mahojiano wewe sio mpambanaji

Ukifikisha umri wa kustaafu(miaka 60) na hujawahi kulala selo au kuitwa polisi kwa mahojiano wewe sio mpambanaji

Ile ya mbowe noma. Kaigharimisha serikali mabilioni kwa siku chache tu.
Ahaaa ndio uanaume huo,ujue kwenye msiba wa Alli Kibao watu walimuona amekuwa soft soft sana kwa speech yake msibani.
Mwanaume lazima uwe active
 
Wengine hawapiti selo lakini changamoto za kiafya ni zaidi ya selo mamaaehhh
 
MBONA MAKADA WA CCM KILA SIKU TUNAINGIA LUPANGO. MHIMU NI KUTII SHERIA ZA NCHI. ACHENI KUFANYA KAMA KUNA UPANDE UNA UPENDELEO . ILA USISAHAU KUWA MAMA SAMIA NI MITANO TENA .
Kada yupi yuko lupango au segerea
 
Ndio unavyojidanganya! Ni sawa na wale jamaa zangu wa Musoma eti bila kovu sio mwanaume!?
Wana sababu,sasa uchunge mufugo ya familia tangu ukiwa darasa la pili huko porini ukose kovu kweli
 
Ukiondoa chawa,high profile leaders,watumishi wa vyombo vya ulinzi na usalama,makada wa CCM na watoto wa mama.


Waliobaki kama ukifikisha umri wa kustaafu miaka 60,uwe umejiajiri au umeajiriwa na katika harakati zako za upambanaji hujawahi kulala kupango au kuitwa polisi kwa mahojiano,wewe bado sana,huna cha kusimulia wajukuu.

Naingea na wapambanaji

Wapambanaji wengi wameshalala lupango au kuhojiwa polisi,hii ni duniani kote.

Hapa siongelei kufungwa gerezani hiyo ni advanced sana.

Kuna mwamba alienda kwa mchepuko akapewa show mpaka saa nane usiku,kurudi nyumbani ikawa shida,akamfuata afande mmoja ni rafiki yake,wakamsweka ndani,mkewe akapigiwa simu kuwa njoo polisi mumeo amegonga mtu na gari,mke kaja na chupa ya chai na mazagazaga kumuwekea dhamana mumewe,Bila kujua kuwa alijipeleka lupango.ili litimie neno

Huo ndio uanaume,wote mkiwa kondoo serikali haitatoa ajira kwa jeshila polisi,kikubwa usifanye matukio mazito ya kukufunga gerezani.

Si mliona juzi polisi walivyoandamanishwa kwa kauli ya mwanaume mmoja tu,huo ndio uanaume.

Sitetei kuvunja sheria ila mwanaume hutakuwi kuwa kama kondoo.

Kuna watu watasema sifa za kijinga ila miaka 60 ni mingi sana kukwepa mkono wa sheria kwa mpambanaji
Binafsi nina umri nusu na zaidi katika huo wa kustaafu na sijawahi lala selo.🤣
Nadhani ni discpline tu katika maisha ndio inasaidia.
 
Back in 2000's wakati Mbolea za ruzuku kipindi cha JK, Hahahaha waliniweka ndani wale wajinga na kulifikisha mahakamani. Pamoja na kuhinga kamati ya usalama Wilaya ila yule DSO pamoja kumpa 4M tena nilimpelekea manoti ya 2000 lakini alikataa kwani alitishiwa na Aesh kuhusu Pinda na mchakato wa Urais 2010's.

Nikapelekwa mahakamani na wale wajinga wakanihukumu miaka 3 jela au faini ya 20M. Nililipa faini kwani nilipiga pesa nyingi.

Yule Aeshi mbunge wa Sumbawanga ni bwege sana alinichomeka baada ya kumgeuka na wale waha waliokuwa ndugu na yule Waziri wa Kilimo Chiza kipindi hiko.

Sasa naenda kustaafu😀😀😀😀 ila.kama mtumishi wa serikali hujapiga pesa kipindi kile, labda udabue sasa kwa bi. Tozo.
 
Binafsi nina umri nusu na zaidi katika huo wa kustaafu na sijawahi lala selo.🤣
Nadhani ni discpline tu katika maisha ndio inasaidia.
Sema selo nayo tamuu unakutana na ndume zina ugwaduuu, kwa sisi mabwabwa tunaenjoy sana kupapaswa makalio.
 
Ukiondoa chawa,high profile leaders,watumishi wa vyombo vya ulinzi na usalama,makada wa CCM na watoto wa mama.


Waliobaki kama ukifikisha umri wa kustaafu miaka 60,uwe umejiajiri au umeajiriwa na katika harakati zako za upambanaji hujawahi kulala kupango au kuitwa polisi kwa mahojiano,wewe bado sana,huna cha kusimulia wajukuu.

Naingea na wapambanaji

Wapambanaji wengi wameshalala lupango au kuhojiwa polisi,hii ni duniani kote.

Hapa siongelei kufungwa gerezani hiyo ni advanced sana.

Kuna mwamba alienda kwa mchepuko akapewa show mpaka saa nane usiku,kurudi nyumbani ikawa shida,akamfuata afande mmoja ni rafiki yake,wakamsweka ndani,mkewe akapigiwa simu kuwa njoo polisi mumeo amegonga mtu na gari,mke kaja na chupa ya chai na mazagazaga kumuwekea dhamana mumewe,Bila kujua kuwa alijipeleka lupango.ili litimie neno

Huo ndio uanaume,wote mkiwa kondoo serikali haitatoa ajira kwa jeshila polisi,kikubwa usifanye matukio mazito ya kukufunga gerezani.

Si mliona juzi polisi walivyoandamanishwa kwa kauli ya mwanaume mmoja tu,huo ndio uanaume.

Sitetei kuvunja sheria ila mwanaume hutakuwi kuwa kama kondoo.

Kuna watu watasema sifa za kijinga ila miaka 60 ni mingi sana kukwepa mkono wa sheria kwa mpambanaji
Watanzania kwenu kuwa mwanaume huwa ni sifa za ajabu ajabu. eti kulala polisi, kula ugali saan na maharage, kutumia nguvu kuliko akili, yani sifa za ajabu ajabu ndizo kwa mtanzania zinakuwa sifa za kuwa mwanaume.
 
Back
Top Bottom