Ukifiwa na mkeo unatakiwa ukae muda gani kabla ya kuoa tena?

Ukifiwa na mkeo unatakiwa ukae muda gani kabla ya kuoa tena?

mdukuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
20,925
Reaction score
51,688
Kuna mzee wa kanisa mmoja alifiwa na mke hakymaliza miezi miwili akatangaza ndoa mpya kanisani na kuoa fasta.

Kuna mwamba mmoja hata mwezi haukukatika akavuta kitu,ila watoto wa marehemu walimtimua kwenye ile nyumba ya familia,walimpa sharti baba yao kuwaamjengee au anpangishie nyumba ,asimlete pale.

Huyu mwingine anamiaka saba sasa yuko mgane na yuko kwenye 50s hana mpango wa kuoa kwa sasa kwa mujibu wa maelezo yake,bado anaomboleza

Muda sahihi ni upi
 
Kuna mzee wa kanisa mmoja alifiwa na mke hakymaliza miezi miwili akatangaza ndoa mpya kanisani na kuoa fasta.

Kuna mwamba mmoja hata mwezi haukukatika akavuta kitu,ila watoto wa marehemu walimtimua kwenye ile nyumba ya familia,walimpa sharti baba yao kuwaamjengee au anpangishie nyumba ,asimlete pale.

Huyu mwingine anamiaka saba sasa yuko mgane na yuko kwenye 50s hana mpango wa kuoa kwa sasa kwa mujibu wa maelezo yake,bado anaomboleza

Muda sahihi ni upi
Mbona hi issue iko personal sanaaa. Nikama umbeya wa kike, mind your bussiness dude.
 
Kuna mzee wa kanisa mmoja alifiwa na mke hakymaliza miezi miwili akatangaza ndoa mpya kanisani na kuoa fasta.

Kuna mwamba mmoja hata mwezi haukukatika akavuta kitu,ila watoto wa marehemu walimtimua kwenye ile nyumba ya familia,walimpa sharti baba yao kuwaamjengee au anpangishie nyumba ,asimlete pale.

Huyu mwingine anamiaka saba sasa yuko mgane na yuko kwenye 50s hana mpango wa kuoa kwa sasa kwa mujibu wa maelezo yake,bado anaomboleza

Muda sahihi ni upi
Uisilamu umeweka wazi kabisa,mwanamme akifiwa na mke wake anaweza kuowa mda wowote ule,hii ni sababu amri ya kuzini imechukuliwa kwa uzito mkubwa,hebu jiulize huyo wa 50s ambaye hana mpango wa kuowa hazini?
 
Uisilamu umeweka wazi kabisa,mwanamme akifiwa na mke wake anaweza kuowa mda wowote ule,hii ni sababu amri ya kuzini imechukuliwa kwa uzito mkubwa,hebu jiulize huyo wa 50s ambaye hana mpango wa kuowa hazini?
Bila shaka anazini
Bora uislam umeweka muda
Ukristo upo kimya ni buusara zako
 
Uisilamu umeweka wazi kabisa,mwanamme akifiwa na mke wake anaweza kuowa mda wowote ule,hii ni sababu amri ya kuzini imechukuliwa kwa uzito mkubwa,hebu jiulize huyo wa 50s ambaye hana mpango wa kuowa hazini?
Ndio maana waislam wengi ni maskini kuendekeza K. Mtu uko over 50 watoto wakubwa unaoa kutafuta nini. Waislam wanapenda kuoaoa hovyo. Juma Kapuya ameoa mjukuu wake, na sahv mnataka kuoa vitoto vya miaka 9. Kwa uislam mwanamke ni chombo cha kumstarehesha mwanaume siyo binadamu. Yalivyo majinga yatakuambia maagizo ya mnyaanzi Mungu. Ujinga ni gunia la misumari
 
Kuna mzee wa kanisa mmoja alifiwa na mke hakymaliza miezi miwili akatangaza ndoa mpya kanisani na kuoa fasta.

Kuna mwamba mmoja hata mwezi haukukatika akavuta kitu,ila watoto wa marehemu walimtimua kwenye ile nyumba ya familia,walimpa sharti baba yao kuwaamjengee au anpangishie nyumba ,asimlete pale.

Huyu mwingine anamiaka saba sasa yuko mgane na yuko kwenye 50s hana mpango wa kuoa kwa sasa kwa mujibu wa maelezo yake,bado anaomboleza

Muda sahihi ni upi
Acha kiherehere fanya maisha yako achana na maisha ya watu
 
Kuna mzee wa kanisa mmoja alifiwa na mke hakymaliza miezi miwili akatangaza ndoa mpya kanisani na kuoa fasta.

Kuna mwamba mmoja hata mwezi haukukatika akavuta kitu,ila watoto wa marehemu walimtimua kwenye ile nyumba ya familia,walimpa sharti baba yao kuwaamjengee au anpangishie nyumba ,asimlete pale.

Huyu mwingine anamiaka saba sasa yuko mgane na yuko kwenye 50s hana mpango wa kuoa kwa sasa kwa mujibu wa maelezo yake,bado anaomboleza

Muda sahihi ni upi
Hakuna kifo kinacho uma kama kufiwa na mke uliyempenda. Ila kama ulikua humpendi fresh tuu.

Mke ana uma sana waliofiwa na wake zao waliowapenda watathibitisha hili
 
Back
Top Bottom