Xi Jinping
JF-Expert Member
- Jun 14, 2023
- 3,651
- 11,548
Huyo manzi alikuwa mchepuko wake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijaelewa vizuri hebu fafanuaacheni kujihesabia dhambi, miaka 50 kuna dhambi gani hapo? Hakuna uzinzi hapo mzee hata ale wengi haihesabiki kuwa ni uzinzi. Wanaofanya uzinzi ni vijana wenye wake huku wananyandua nje ya ndoa
Sasa akiolewa upesi me sipo nimekufa shida ipo wapi? Maana watakaotesela kwa kuolewa kwake au kutoolewa kwake ni walio hai.Wanaume hawajui kuomboleza labda mmoja mmoja sana.
Wanawake labda uwe huna chanzo chochote cha pesa ndo mme akifa utaolewa upesi.
Wafundisheni wake zenu kujiajiri.
Hiyo ishu ni maamuzi binafsiKuna mzee wa kanisa mmoja alifiwa na mke hakymaliza miezi miwili akatangaza ndoa mpya kanisani na kuoa fasta.
Kuna mwamba mmoja hata mwezi haukukatika akavuta kitu,ila watoto wa marehemu walimtimua kwenye ile nyumba ya familia,walimpa sharti baba yao kuwaamjengee au anpangishie nyumba ,asimlete pale.
Huyu mwingine anamiaka saba sasa yuko mgane na yuko kwenye 50s hana mpango wa kuoa kwa sasa kwa mujibu wa maelezo yake,bado anaomboleza
Muda sahihi ni upi
Wazee wakanisa haimaanishi kuwa ndio wanaoaminika zaidi,hata wewe unaweza kuaminiwa zaidi ya mzee wa kanisa.Kuna mzee wa kanisa mmoja alifiwa na mke hakymaliza miezi miwili akatangaza ndoa mpya kanisani na kuoa fasta.
Kuna mwamba mmoja hata mwezi haukukatika akavuta kitu,ila watoto wa marehemu walimtimua kwenye ile nyumba ya familia,walimpa sharti baba yao kuwaamjengee au anpangishie nyumba ,asimlete pale.
Huyu mwingine anamiaka saba sasa yuko mgane na yuko kwenye 50s hana mpango wa kuoa kwa sasa kwa mujibu wa maelezo yake,bado anaomboleza
Muda sahihi ni upi
Afadhali ingekua fumanizi, alikuja na mimba ya miezi 6Ulimfumania?