Ukifiwa na mkeo unatakiwa ukae muda gani kabla ya kuoa tena?

Ukifiwa na mkeo unatakiwa ukae muda gani kabla ya kuoa tena?

acheni kujihesabia dhambi, miaka 50 kuna dhambi gani hapo? Hakuna uzinzi hapo mzee hata ale wengi haihesabiki kuwa ni uzinzi. Wanaofanya uzinzi ni vijana wenye wake huku wananyandua nje ya ndoa
Sijaelewa vizuri hebu fafanua
 
Wanaume hawajui kuomboleza labda mmoja mmoja sana.

Wanawake labda uwe huna chanzo chochote cha pesa ndo mme akifa utaolewa upesi.

Wafundisheni wake zenu kujiajiri.
Sasa akiolewa upesi me sipo nimekufa shida ipo wapi? Maana watakaotesela kwa kuolewa kwake au kutoolewa kwake ni walio hai.
 
Kuna mzee wa kanisa mmoja alifiwa na mke hakymaliza miezi miwili akatangaza ndoa mpya kanisani na kuoa fasta.

Kuna mwamba mmoja hata mwezi haukukatika akavuta kitu,ila watoto wa marehemu walimtimua kwenye ile nyumba ya familia,walimpa sharti baba yao kuwaamjengee au anpangishie nyumba ,asimlete pale.

Huyu mwingine anamiaka saba sasa yuko mgane na yuko kwenye 50s hana mpango wa kuoa kwa sasa kwa mujibu wa maelezo yake,bado anaomboleza

Muda sahihi ni upi
Hiyo ishu ni maamuzi binafsi
 
Kuna mzee wa kanisa mmoja alifiwa na mke hakymaliza miezi miwili akatangaza ndoa mpya kanisani na kuoa fasta.

Kuna mwamba mmoja hata mwezi haukukatika akavuta kitu,ila watoto wa marehemu walimtimua kwenye ile nyumba ya familia,walimpa sharti baba yao kuwaamjengee au anpangishie nyumba ,asimlete pale.

Huyu mwingine anamiaka saba sasa yuko mgane na yuko kwenye 50s hana mpango wa kuoa kwa sasa kwa mujibu wa maelezo yake,bado anaomboleza

Muda sahihi ni upi
Wazee wakanisa haimaanishi kuwa ndio wanaoaminika zaidi,hata wewe unaweza kuaminiwa zaidi ya mzee wa kanisa.
 
Back
Top Bottom