Ukifuata life style ya Hayati Magufuli au Nyerere, kwa karne hii huwezi kuishi maisha marefu

Ukifuata life style ya Hayati Magufuli au Nyerere, kwa karne hii huwezi kuishi maisha marefu

Tutakuwa tegemezi mpaka lini?!

Kisa kuogopa kufa….kufa kupo…kila mtu ana sababu yake kuwepo hapa duniani…akishatimiza anasepa

Tanzania tunahitaji mapinduzi ya kiuchumi ilitutoboe…tunahitaji kiongozi jasiri kupitiliza Magufuli…na watanzania tukubali maumivu…tatizo tunataka kujenga nyumba huku tunakula bia…haiwezekani…
Sasa ndiyo kumweka jiwe na mtu mwerevu kama Nyerere????
 
aka 2016 mpaka 2020 Tanzania iligubikwa na makelele ya Tundu Lisu aloyejiona yeye tu ndiyo mwenye haki ya kumshauri rais wa nchi wa wakati huo na ni lazima ushauri wake ufuatwe!
Hata hivyo hayati Magufuli alisimama imara na kupuuza makelele yote ya wakala wa mabeberu Tundu Lisu.

Kama hayati raisi Magufuli asingekuwa imara na akasikiliza makelele ya Lisu, haya hapa yangetokea Tanzania.

1. Tanzania tusingekuwa na bwawa la kufua umeme ambalo ni moja ya mabwawa makubwa barani Afrika. Urefu wa bwawa la Nyerere ni km100 yani sawa na urefu wa kutoka Dar mpaka Chalinze.
Tundu Lisu kwa kutumiwa na mbabeberu kwa ahadi ya kumlisha yeye na familia yake pamoja na kumpa hifadhi Ubelgiji alipinga sana ujenzi wa bwawa hili kwa kisingizio kwamba litasababisha uharibifu wa mazingira na mvua hazitanyesha tena Tanzania!. Leo mwaka 2023 bwawa linajazwa maji na Tanzania imegubikwa na mafuriko kila sehemu kwani mvua zinanyesha sana kinyume na utabiri wa Tundu Lisu.

2. Tanzania isingekuwa na ujenzi wa SGR .
Tundu Lisu alipinga sana ujenzi wa reli hii ya umeme na yenye kasi zaidi Afrika yote.

3. Serikali isingehamia Dodoma.
Tundu Lisu na Mbowe walipinga sana serikali kuhamia Dodoma wakisema huko ni kutesa watumishi na kwamba serikali ibaki tu Dares salaam kwa ndoto za mwl Nyerere zimepotwa na wakati. Hayati Magufuli aliziba masikio na leo serikali yote ipo Dodoma.

4. Kampuni ya madini ya Acacia ingekuwepo.
Licha ya kwamba Lisu amesoma kwa kodi za watanzania lakini aligeuka kuwa mwanasheria wa Acacia na akasema ataisaidia kutushitaki MIGA ,kama tukiendelea kuwadai hela za wizi wa makinikia. Hayati Magufuli aliendelea mbele hadi kampuni ya Acacia ikafutwa na kuzaliwa kampuni mpya ya Twiga ambayo watanzania wapo kwenye management na Tanzania yakafunguliwa masoko ya madini kila sehemu, na watanzania wakanufaika na madini yao.

5. Kenya na India zingeendelea kuongoza kwenye uuzaji wa madini ya Tanzanite .
Kutokana na ukweli madini ya Tanzanite yanapatikana Tanzania tu. Hayati Magufuli alichukua hatua kali sana za kudhibiti madini ya Tanzanite ikiwemo kujenga ukuta wa kuzunguka mgodi huo, hatua hizo zilipingwa mno na Lisu na akaita ni udikteta mkubwa kufanya hivy
Wew usukuma gang ndiyo unakusumbua
 
Sasa ndiyo kumweka jiwe na mtu mwerevu kama Nyerere????


Nyerere played his part he ran the good race kijiti chake angepewa Magufuli tungekuwa mbali...but it is what it is..tunasonga mbele...

Sasa hv dawa ni mpasuko wa kweli CCM...can't wait for that day...be strong CCM you can do it...we need change...
 
Wewe unataka kuwafuata wazungu wanavyosema ?Utakuwa ni mtumwa wao siku zote ndio maana Waafrika hamuendelee kufuata akili ya wazungu wanasema eti Ukimwi hauna dawa na nyinyi Waafrika mnakubali hivyo .Mtamalizika kwa kufuata akili za hao mashetani weupe.
Herbalist mzungu huwezi mkwepa hata ukimtukana. Hapa tunajibizana ni mzungu kawezesha achilia mbali condom ulizowahi tumia. Au hutumii sababu una dawa?
 
Mtasema tu mlichomfanya Rais wetu. Kuhusu hilo sina shaka. Au unabisha?
Magufuli alikuwa anapuyanga hovyo huku akijua afya yake mgogoro. Alikuwa ana Pacemaker, Kisukari, Hyperzoster, HIV na Kichaa. ÀSINGETOBOA, Ile COVID-19 ilifanya kumpitia tu. Kilichomfanya awe ana kesha na mafaili na uchimvi tu wa kujua Mtanzania gani ana hela halafu next day amfanyizie.
 
tatizo tunataka kujenga nyumba huku tunakula bia…haiwezekani…
Kwann isiwezekane? Halafu huu upuuzi wa wananchi tufunge mkanda wajukuu wakose hata pa kuishi ila nchi ina ndege na sifa zinaenda kwa mtu mmoja huku matusi yakirudi kwa babu aliyeshindwa kuacha hata kiwanja chenye nyumba huo ni ujinga.

Kama tumeamua kufunga mkanda iwe fair kuanzia jeshi, bunge, waziri, raisi. Sio waalimu, wakulima na wafanyabiashara ndo wafunge tu mikanda. Wote tufe maskini tukijenga RELI.

Mtu asipandishwe mshahara miaka 10 anaishi nyumba ya kupanga kisa tunajenga nchi ambayo hutakaa umalize kuijenga sababu mahitaji yanaongezeka kila siku kisha unakufa huna hata banda la kuonyesha siku ya mazishi yako huku uliyemfungia mkanda ana majumba mpaka ya vitukuu.
 
Hii ni kwa wote uwe Kiongozi kwa ngazi ya kitaifa au chini yake.

Kuna wimbo wa Orchestra Safari Sound unaitwa Dunia Msongamano, kuna sehemu wanaimba¶¶kufa kwa binadamu hupangwa na Mungu nakuomba mwenyezi anipe maisha¶¶

Pamoja na hayo kuna other factors contributed by the bearer. Usiwe mzalendo kupitiliza,hii nchi ni kubwa sana na ina wahuni wengi sana. Nyerere na Magufuli walipitiliza.

Ishi viziri na wazungu, huwezi kushindana na wazungu, Mzee Ruksa na JK walilijua hili. Usiwe mnoko sana kazini. Chunga mdomo wako, fanya mambo yako kimya kimya, ongea inapobidi.

Nchi sio ya baba yako utaondoka utaiacha, play your party, utakapokomea waachie wengine wamalizie.

Usiponde watangulizi wako. Kula bata, maisha ndio haya haya, Nyerere alikuwa anashindia mihogo, JPM alivyoingia Ikulu tu akatimua wapishi binafsi eti atapikiwa na mama yetu kipenzi mama Janeth.

Kiongozi yeyote ukifuata haya huenda ukaongeza siku mbili tatu za kuishi kinyume chake hutoboi.

Mandela mwenyewe alilijua hili, alipotoka jela wala hakujenga bifu na wazungu japo walimfunga mbuzi wale ila aliwasamehe, na alikula bata sana uzeeni. Miundombinu unayoiona South Africa mingi ilijengwa kipindi cha Kaburu.

Mwisho kabisa, usiwe mkweli sana, have some sort of hypocrites
Ni moja ya mada ninazoweza kusema bila kinyongo kabisa "Mada moja ya Kipuuzi Puuzi Tu Hivi"

Haina lengo lolote, na wala haichambui lolote lenye kueleweka!

Mada isyojua kulinganisha au kutofautisha watu/viongozi husika. Inarundika tu kwa pamoja bila ya kuchambua mfanano/utofauti kati ya viongozi hao.
 
Kwann isiwezekane? Halafu huu upuuzi wa wananchi tufunge mkanda wajukuu wakose hata pa kuishi ila nchi ina ndege na sifa zinaenda kwa mtu mmoja huku matusi yakirudi kwa babu aliyeshindwa kuacha hata kiwanja chenye nyumba huo ni ujinga.

Kama tumeamua kufunga mkanda iwe fair kuanzia jeshi, bunge, waziri, raisi. Sio waalimu, wakulima na wafanyabiashara ndo wafunge tu mikanda. Wote tufe maskini tukijenga RELI.

Mtu asipandishwe mshahara miaka 10 anaishi nyumba ya kupanga kisa tunajenga nchi ambayo hutakaa umalize kuijenga sababu mahitaji yanaongezeka kila siku kisha unakufa huna hata banda la kuonyesha siku ya mazishi yako huku uliyemfungia mkanda ana majumba mpaka ya vitukuu.
Huo ni upuuzi kushindisha watoto njaa eti unajenga
 
Kwann isiwezekane? Halafu huu upuuzi wa wananchi tufunge mkanda wajukuu wakose hata pa kuishi ila nchi ina ndege na sifa zinaenda kwa mtu mmoja huku matusi yakirudi kwa babu aliyeshindwa kuacha hata kiwanja chenye nyumba huo ni ujinga.

Kama tumeamua kufunga mkanda iwe fair kuanzia jeshi, bunge, waziri, raisi. Sio waalimu, wakulima na wafanyabiashara ndo wafunge tu mikanda. Wote tufe maskini tukijenga RELI.

Mtu asipandishwe mshahara miaka 10 anaishi nyumba ya kupanga kisa tunajenga nchi ambayo hutakaa umalize kuijenga sababu mahitaji yanaongezeka kila siku kisha unakufa huna hata banda la kuonyesha siku ya mazishi yako huku uliyemfungia mkanda ana majumba mpaka ya vitukuu.
Ccm wanatuimbia wimbo wa kufunga mikanda kila mwaka wa bajeti, Ila hawaachi kujinunulia mav-8.
 
Kwann isiwezekane? Halafu huu upuuzi wa wananchi tufunge mkanda wajukuu wakose hata pa kuishi ila nchi ina ndege na sifa zinaenda kwa mtu mmoja huku matusi yakirudi kwa babu aliyeshindwa kuacha hata kiwanja chenye nyumba huo ni ujinga.

Kama tumeamua kufunga mkanda iwe fair kuanzia jeshi, bunge, waziri, raisi. Sio waalimu, wakulima na wafanyabiashara ndo wafunge tu mikanda. Wote tufe maskini tukijenga RELI.

Mtu asipandishwe mshahara miaka 10 anaishi nyumba ya kupanga kisa tunajenga nchi ambayo hutakaa umalize kuijenga sababu mahitaji yanaongezeka kila siku kisha unakufa huna hata banda la kuonyesha siku ya mazishi yako huku uliyemfungia mkanda ana majumba mpaka ya vitukuu.

Nimesemaaajee...

Tunatakiwa kuwa na kiongozi Magufuli cha mtoto...vichwa vipashwe joto lazima akili zitatukaa sawa....kila binadamu ana intelligence ya kusurvive shida tumeshikiliwa akili na wazungu tunaona hatuwezi wametuzidi....Magufuli alijitahidi kutuonyesha hili lakini vipofu ni wengi...

Sasa aje mwamba afumue vichwa tutajielewa tu...
 
Kwenye siku zake za Mwisho, Malikia wa Uingereza Queen Elizabeth alikuwa na usongo. Usongo wa Mwanae, mfalme mtarajiwa kuwa Junya, Mjukuu Malkia mtarajiwa Ni mweusi, baada ya kupewa kabrasha la Kudhinisha baraza jipya la Mawaziri na kuona jina Mwafrika mule Akafa. Yaani pwaaa. Masikini bibi ya watu hatokuja ona ndoto za babu zake za kuja kulikomboa, na kulitawala bara la Afrika. Wahuni waliobakia ndivyo hivyo, kejeli matusi, uhasama, vitisho n.k Wakati mababu zao waliwakataza kutokuja na mbinu kama hizo.
Eniweyi Hakuna Malikia au Mfalme atakayekuja kufuatilia nyendo za Bibi Elizabeth kwa Ukimbari uliyomjaa. Amezikwa nao.

'A Great Queen, either mentaly or physically, will excel an Indifferent man, but no Queen ever equals a really great man'..

the suburban agnostic.
 
Back
Top Bottom