Ukifuata life style ya Hayati Magufuli au Nyerere, kwa karne hii huwezi kuishi maisha marefu

Ukifuata life style ya Hayati Magufuli au Nyerere, kwa karne hii huwezi kuishi maisha marefu

Sankara,Magufuli,Hugo Chaves,Ghadafi hawa wasingeweza kuishi maisha marefu kwa nature ya uongozi wao
Again, The white man's God, got offended and therefore, the God's wrath got to them. Ha Ha ha I get it. 1000% sure, that you have never paid any taxes in Tanzania ever or in your life.....

Modus Ponens


But how is that the same God could not, as you sing it "God save the Queen' and the same God could not return your stolen votes?? Oh old (god)mighty, where art you?


No correlation whatsover amongst the people you've mention.

Modus tollendo.

Clearly you are not thinking staright, angry, disapponted and most probable Hungry and suffering from Skizoh frameya....and no its not a typo.
 
Huyo dingi nae alikuwa sio poa. Kwenye uongozi wake mali za watu na taasisi binafsi zilitaifishwa. Ndo enzi hizo watu wanasema 'zidumu fikra za mwenyekiti'. Kulikuwa na operesheni vijiji hiyo nayo kwa jinsi inavyosimuliwa ilikuwa ni operesheni iliyojaa ukatili. Halafu chini yake kulikuwa na viongozi wanoko kuzidi yeye. Wanasema kwenye kampeni ya kilimo cha kufa na kupona Mzee Kawawa alitaka uwanja wa Gymkhana kulimwe mahindi. Awamu ya mwalimu ilikuwa ya moto mno na watu walikuwa hawakohoi.
Ndio uje kutetea Kura za Raisi 2025?? Watakuja "kukusimulia"

Yaani iwe marufuku kutumia Name Image and Likeness wa

Kiongozi hapa Jamvini.

Inawezekana umekiuka kanuni na miongozo za Jamvii hili kama sio Sheria za Nchi za Tanzania ambazo unalia kila sehemu unatetea.

Subiri labda ulikuwa hujui hilo, watakuja kukusimulia!
 
Haya tulishayaeleza sana siku za nyuma.. Umesahau moja bro! Tafuta tukondoo twenye tumenona tukulekule..

Yaani usituache tutambe kwa macho yako, we tukule tu, ukipata mishiko ya magumashi usisahau kuwajengea visima vya maji wasiojiweza.

Wape washikaji zako madaraka, yaani ukiwakamata wanazingua waonye kimtimdo kisha sepa zako maana hata ukiwatumbua ukifa wanarudi tu na wanaiba ***** zao nyokolinolism theory

By Alikimedesi Pulinzibolo
 
Tutakuwa tegemezi mpaka lini?!

Kisa kuogopa kufa….kufa kupo…kila mtu ana sababu yake kuwepo hapa duniani…akishatimiza anasepa

Tanzania tunahitaji mapinduzi ya kiuchumi ilitutoboe…tunahitaji kiongozi jasiri kupitiliza Magufuli…na watanzania tukubali maumivu…tatizo tunataka kujenga nyumba huku tunakula bia…haiwezekani…
Inawwzekana sana bro wewe wa wapi?

Kula chupa mwamba, ukikomaa kujenga sana ukifa wife yako inaleta mbuzi inamluliamo toto zako zenye ziko na shida haziinjoy your house.

Worse still, wife yako inanenepa people zinaanza sema we mume mwenye umekufa ulikuwa na gubu ndomaana mke yako ulikuwa hainenepi!

Bia tamu...
 
Hii ni kwa wote uwe Kiongozi kwa ngazi ya kitaifa au chini yake.

Kuna wimbo wa Orchestra Safari Sound unaitwa Dunia Msongamano, kuna sehemu wanaimba¶¶kufa kwa binadamu hupangwa na Mungu nakuomba mwenyezi anipe maisha¶¶

Pamoja na hayo kuna other factors contributed by the bearer. Usiwe mzalendo kupitiliza,hii nchi ni kubwa sana na ina wahuni wengi sana. Nyerere na Magufuli walipitiliza.

Ishi viziri na wazungu, huwezi kushindana na wazungu, Mzee Ruksa na JK walilijua hili. Usiwe mnoko sana kazini. Chunga mdomo wako, fanya mambo yako kimya kimya, ongea inapobidi.

Nchi sio ya baba yako utaondoka utaiacha, play your party, utakapokomea waachie wengine wamalizie.

Usiponde watangulizi wako. Kula bata, maisha ndio haya haya, Nyerere alikuwa anashindia mihogo, JPM alivyoingia Ikulu tu akatimua wapishi binafsi eti atapikiwa na mama yetu kipenzi mama Janeth.

Kiongozi yeyote ukifuata haya huenda ukaongeza siku mbili tatu za kuishi kinyume chake hutoboi.

Mandela mwenyewe alilijua hili, alipotoka jela wala hakujenga bifu na wazungu japo walimfunga mbuzi wale ila aliwasamehe, na alikula bata sana uzeeni. Miundombinu unayoiona South Africa mingi ilijengwa kipindi cha Kaburu.

Mwisho kabisa, usiwe mkweli sana, have some sort of hypocrites
Tuendelee kuwa vibaraka wa mabeberu, hatutakiwi kufikia hatua ya kujitegemea
 
We kuwa mzalendo kupitiliza lipa kodi wenzako wanumue ma Vx V8 watembelee na mahawara zao
Familia yako siyo familia yako. Nchi ndiyo familia yako. Watu wanaishi kwa Division of Labor. Kila mtu lazima afanye kadi. Watu wanaofikiri kwamba it is important for them to appear to be not doing any work,well,those people are looking for trouble.
 
Hii ni kwa wote uwe Kiongozi kwa ngazi ya kitaifa au chini yake.

Kuna wimbo wa Orchestra Safari Sound unaitwa Dunia Msongamano, kuna sehemu wanaimba¶¶kufa kwa binadamu hupangwa na Mungu nakuomba mwenyezi anipe maisha¶¶

Pamoja na hayo kuna other factors contributed by the bearer. Usiwe mzalendo kupitiliza,hii nchi ni kubwa sana na ina wahuni wengi sana. Nyerere na Magufuli walipitiliza.

Ishi viziri na wazungu, huwezi kushindana na wazungu, Mzee Ruksa na JK walilijua hili. Usiwe mnoko sana kazini. Chunga mdomo wako, fanya mambo yako kimya kimya, ongea inapobidi.

Nchi sio ya baba yako utaondoka utaiacha, play your party, utakapokomea waachie wengine wamalizie.

Usiponde watangulizi wako. Kula bata, maisha ndio haya haya, Nyerere alikuwa anashindia mihogo, JPM alivyoingia Ikulu tu akatimua wapishi binafsi eti atapikiwa na mama yetu kipenzi mama Janeth.

Kiongozi yeyote ukifuata haya huenda ukaongeza siku mbili tatu za kuishi kinyume chake hutoboi.

Mandela mwenyewe alilijua hili, alipotoka jela wala hakujenga bifu na wazungu japo walimfunga mbuzi wale ila aliwasamehe, na alikula bata sana uzeeni. Miundombinu unayoiona South Africa mingi ilijengwa kipindi cha Kaburu.

Mwisho kabisa, usiwe mkweli sana, have some sort of hypocrites
Daah unafundisha watu tabia ambazo zimejijenga kwa muda mrefu kwa watu kama wewe na kutufikisha hapa tulipo...Unafikiri wazee wetu wangekuwa hivi hata uhuru wa bendera tungeupata? Aipendaye nafsi yake ataipoteza na ndicho kinachotupata wengi wetu huku Africa....Huu ni ubinafsi wa hali ya juu...We badala ya kusema zalisha watu wengi zaidi kama hao ili iwepo critical mass unawapunguza kwa maneno yako haya?
 
Tutakuwa tegemezi mpaka lini?!

Kisa kuogopa kufa….kufa kupo…kila mtu ana sababu yake kuwepo hapa duniani…akishatimiza anasepa

Tanzania tunahitaji mapinduzi ya kiuchumi ilitutoboe…tunahitaji kiongozi jasiri kupitiliza Magufuli…na watanzania tukubali maumivu…tatizo tunataka kujenga nyumba huku tunakula bia…haiwezekani…

Nafarijika sana napoona comments kama hizi...With God tutatoboa tu, siku siyo nyingi!
 
Hii ni kwa wote uwe Kiongozi kwa ngazi ya kitaifa au chini yake.

Kuna wimbo wa Orchestra Safari Sound unaitwa Dunia Msongamano, kuna sehemu wanaimba¶¶kufa kwa binadamu hupangwa na Mungu nakuomba mwenyezi anipe maisha¶¶

Pamoja na hayo kuna other factors contributed by the bearer. Usiwe mzalendo kupitiliza,hii nchi ni kubwa sana na ina wahuni wengi sana. Nyerere na Magufuli walipitiliza.

Ishi viziri na wazungu, huwezi kushindana na wazungu, Mzee Ruksa na JK walilijua hili. Usiwe mnoko sana kazini. Chunga mdomo wako, fanya mambo yako kimya kimya, ongea inapobidi.

Nchi sio ya baba yako utaondoka utaiacha, play your party, utakapokomea waachie wengine wamalizie.

Usiponde watangulizi wako. Kula bata, maisha ndio haya haya, Nyerere alikuwa anashindia mihogo, JPM alivyoingia Ikulu tu akatimua wapishi binafsi eti atapikiwa na mama yetu kipenzi mama Janeth.

Kiongozi yeyote ukifuata haya huenda ukaongeza siku mbili tatu za kuishi kinyume chake hutoboi.

Mandela mwenyewe alilijua hili, alipotoka jela wala hakujenga bifu na wazungu japo walimfunga mbuzi wale ila aliwasamehe, na alikula bata sana uzeeni. Miundombinu unayoiona South Africa mingi ilijengwa kipindi cha Kaburu.

Mwisho kabisa, usiwe mkweli sana, have some sort of hypocrites
Raisi anatunzwa na kodi na hata akistagu bado anatunzwa, sasa life style ipi? Unategemea Raisi astafu then akapande Daladala?
 
Hii ni kwa wote uwe Kiongozi kwa ngazi ya kitaifa au chini yake.

Kuna wimbo wa Orchestra Safari Sound unaitwa Dunia Msongamano, kuna sehemu wanaimba¶¶kufa kwa binadamu hupangwa na Mungu nakuomba mwenyezi anipe maisha¶¶

Pamoja na hayo kuna other factors contributed by the bearer. Usiwe mzalendo kupitiliza,hii nchi ni kubwa sana na ina wahuni wengi sana. Nyerere na Magufuli walipitiliza.

Ishi viziri na wazungu, huwezi kushindana na wazungu, Mzee Ruksa na JK walilijua hili. Usiwe mnoko sana kazini. Chunga mdomo wako, fanya mambo yako kimya kimya, ongea inapobidi.

Nchi sio ya baba yako utaondoka utaiacha, play your party, utakapokomea waachie wengine wamalizie.

Usiponde watangulizi wako. Kula bata, maisha ndio haya haya, Nyerere alikuwa anashindia mihogo, JPM alivyoingia Ikulu tu akatimua wapishi binafsi eti atapikiwa na mama yetu kipenzi mama Janeth.

Kiongozi yeyote ukifuata haya huenda ukaongeza siku mbili tatu za kuishi kinyume chake hutoboi.

Mandela mwenyewe alilijua hili, alipotoka jela wala hakujenga bifu na wazungu japo walimfunga mbuzi wale ila aliwasamehe, na alikula bata sana uzeeni. Miundombinu unayoiona South Africa mingi ilijengwa kipindi cha Kaburu.

Mwisho kabisa, usiwe mkweli sana, have some sort of hypocrites
Ni kweli kabisa uliyoyasema lakini kitu ambacho hukijui ni kwamba hao watu wa namna hiyo ya Nyerere na Magufuli huwa wameumbwa na hizo falsafa na kamwe hawawezi kuzibadili na kufuata ushauri ulioutoa !! Yaani wamezaliwa hivyo na hawawezi kujibadili!! Masuala ya kula Bata hiyo ni mindset ya kila mtu na kile anachokipenda !! Mkuu binadamu hatulingani kile ukipendacho sana wewe huenda mimi na wengi tu hatukipendi kabisa. !! Watu wengine wanafurahia kuwaona wenzao wanataabika na maisha ilhali wao wanakula Bata lakini kwa wengine ni opposite reaction ! Hawapendi kabisa kuona kitu Hiyo. !! Che Guevara alisema. “ it’s better to die standing than to live kneeling !! Ishi utakavyo ishi lakini utakufa tu !!
 
Nyerere played his part he ran the good race kijiti chake angepewa Magufuli tungekuwa mbali...but it is what it is..tunasonga mbele...

Sasa hv dawa ni mpasuko wa kweli CCM...can't wait for that day...be strong CCM you can do it...we need change...
JPM nusu angesaidia huo mpasuko kutokea, hata hivyo wapambe nuksi ambao walijivika ngozi ya kondoo walimzunguka na yeye hakuwa good gudge of character; but it was a step hata hivyo...We are never the same...Tupo ambao tumekataa kurejea statusquo , naamini ipo siku si nyingi tutatambuana tu si kwa sura zetu bali imani na matendo yetu!
 
Tutakuwa tegemezi mpaka lini?!

Kisa kuogopa kufa….kufa kupo…kila mtu ana sababu yake kuwepo hapa duniani…akishatimiza anasepa

Tanzania tunahitaji mapinduzi ya kiuchumi ilitutoboe…tunahitaji kiongozi jasiri kupitiliza Magufuli…na watanzania tukubali maumivu…tatizo tunataka kujenga nyumba huku tunakula bia…haiwezekani…
Huwezi kuwa kiongozi bora eti kwa kujenga bwawa au reli huku yeyote anayekuhoji penye hitilafu unampoteza au unaagiza auwawe kama vile hata wewe hayo maisha umejipa mwenyewe.
Kila taifa lina sheria na taratibu mlizojiwekea, kama mtu unaona amekosea anapelekwa kwenye mahakama huru ahukumiwe, sasa wewe uamue kukatisha maisha yake basi wewe sio bora bali dikteta na mtu mwovu unayetumia ofisi vibaya unastahili hata kunyongwa kama Saddam

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Hii ni kwa wote uwe Kiongozi kwa ngazi ya kitaifa au chini yake.

Kuna wimbo wa Orchestra Safari Sound unaitwa Dunia Msongamano, kuna sehemu wanaimba¶¶kufa kwa binadamu hupangwa na Mungu nakuomba mwenyezi anipe maisha¶¶

Pamoja na hayo kuna other factors contributed by the bearer. Usiwe mzalendo kupitiliza,hii nchi ni kubwa sana na ina wahuni wengi sana. Nyerere na Magufuli walipitiliza.

Ishi viziri na wazungu, huwezi kushindana na wazungu, Mzee Ruksa na JK walilijua hili. Usiwe mnoko sana kazini. Chunga mdomo wako, fanya mambo yako kimya kimya, ongea inapobidi.

Nchi sio ya baba yako utaondoka utaiacha, play your party, utakapokomea waachie wengine wamalizie.

Usiponde watangulizi wako. Kula bata, maisha ndio haya haya, Nyerere alikuwa anashindia mihogo, JPM alivyoingia Ikulu tu akatimua wapishi binafsi eti atapikiwa na mama yetu kipenzi mama Janeth.

Kiongozi yeyote ukifuata haya huenda ukaongeza siku mbili tatu za kuishi kinyume chake hutoboi.

Mandela mwenyewe alilijua hili, alipotoka jela wala hakujenga bifu na wazungu japo walimfunga mbuzi wale ila aliwasamehe, na alikula bata sana uzeeni. Miundombinu unayoiona South Africa mingi ilijengwa kipindi cha Kaburu.

Mwisho kabisa, usiwe mkweli sana, have some sort of hypocrites
Iwapo tu nchi yako ina kitu. Kama nchi yako haina chochote, mbona unaweza ukaishi hata karne moja na nusu!
 
Siku amekufa alililiwa na vyombo vya ulinzi au wananchi makumi kwa maelefu?,

Hata kama aliwakwaza si kwa hii chuki,poleni sana
Pole ndugu,mbona siku hiyo askari walitapakaa nchi nzima kuwasweka watu ndani waliofurahia kifo hicho na kusema msiba hauzoeleki?
 
Back
Top Bottom