Ukifumania, hangaika na mumeo sio mchepuko

Wenye shepu zenu mnawatesa sana wanawake wenzenu๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
 
Yamekukuta nini huko?

Achana na waume za watu, masingle wapo.

#YNWA
 
Naanza Kwanza na source afu namalizia na mume nyumbani
Mbio mbio kanikimbilia(mumeweo)

Akaniomba mapenzi*2Namii nami nikamringia Nikaona nikaona hayawezi. Kumbe kumbe amenikamiaKanizingua kanizingua kichiziNami nikamridhia*2
Kila kitu LA azizi

Nikamwambia chukua upendacho LA azizi...Kwa yangu makashkashi

Aliingia uchizi.*2Alihamisha mataki Alipojaa njozi*2Nikampa nikampa mishkaki.Na chai ya tangawizi*2
Aliniambia sichoki(mie)
Siogopi fumanizi*2
 
Fambafu yamekukuta๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ