Mi
mi sina tamaa ila huyu nilie nae mimi ndio na mpenda ila sion dalili mzuri mbele ila kuna binadamu wa mtu ananipenda ila simpendi leo kesho anatamani anioe ila naangalia upepo
[emoji23][emoji23]Jinsi kunavyotight ukionja utanogewa hatukupenda ni ile curiosity imetuponza
Usinishawishi ujinga mkuuJinsi kunavyotight ukionja utanogewa hatukupenda ni ile curiosity imetuponza
Umejuaje kuwa anakupenda? Nadhani na wewe u miongoni mwao wanaoamini kuwa ukishikwa ama kuguswa kunako nanihili na mwanaume basi keshakupenda ππkuna binadamu wa mtu ananipenda
Hii comment inabidi itolewe na nakala ya copy kabisa,Utasikia umekosa nini kwangu? Wakati hatoi huduma kwa mume wake
Kwa umri huu hanidanganyi mtuU
sijaribu ata kidogo
Nami ndivyo Nijuavyo kwamba hiyo ni siri yako πNa jua mwenye kweli
Shemu umefumaniwa nini?π€Mimi huwa na washangaa sana baadhi ya wanawake yaani unajua kabisa wanaume wana tamaa wana tamani mpaka vichaa cha ajabu mtu una mfumania mumeo unakuja kuangaika na mwanamke mwezio.
Mwanamke anafwata bibi ee ujui ana ambiwa nini na mumeo pambana na mumeo lakini sio mchepuko.
Najua umefumaniwa ila ujumbe umefika Kwa huyo mke wa jamaaMimi huwa na washangaa sana baadhi ya wanawake yaani unajua kabisa wanaume wana tamaa wana tamani mpaka vichaa cha ajabu mtu una mfumania mumeo unakuja kuangaika na mwanamke mwezio.
Mwanamke anafwata bibi ee ujui ana ambiwa nini na mumeo pambana na mumeo lakini sio mchepuko.
Kwa kweli aisee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wanaume wenyewe mpo wachache jamani kwanini ukitongozwa umzungushe mtu mwisho wasiku anakuja kuchukuliwa na mashoga
Nina uthibitisho kuwa wanaume tupo wengi duniani kuliko wanawake.πππ wanaume wenyewe mpo wachache jamani
Ngona siku ufumaniwe na wenye waume zao utachezea kichapo cha mbwa mwiziHapana shem mimi njanja sungura akasome
Tuwasubiri hapo hapo kidogo,Wanawake wa kiafrika hao. Tutapata akina Magreth Thatcher kwa hali hii?