cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,549
Hawajui maisha Hawa ndio hujinyonga hapa jf hujifanya wao ni wagumuWatakuwa ni last born hao ha ha ha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawajui maisha Hawa ndio hujinyonga hapa jf hujifanya wao ni wagumuWatakuwa ni last born hao ha ha ha
Papuchi
Hawajui maisha Hawa ndio hujinyonga hapa jf hujifanya wao ni wagumu
Msimamo ni ule ule mwanaume hapaswi kumsikiliza mtu yeyote,vipi tumsikilize mtoa mada [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Eti Yani mtu umkosee mkeo pakubwa uumize moyo wake na kumdhalilisha kwenye jamii halafu akiondoka hujali unaleta ununda na ubandidu?!
Sawa lakini utalipa gharama!
Msome vzr mleta uzi, usisome kwa mihemko utamwelewa tu maana kawaponda hata wanaume wasiojielewaa soma mstari kwa mstariYani Mwanaume umkosee pakubwa mkeo, mfano imetokea umezaa nje ya ndoa na mchepuko ambao bado unauaeka mjini kama mkeo wa pili , ikatokea mkeo akajua akafadhaika sana akaona isiwe tabu bora aondoke akupe Uhuru wa kuishi na mchepuko wako ulozaa nao yeye akaanze maisha yake wewe hapo utafanye @ Mleta mada?
Mbaya zaidi unajikuta Mwanaume unapojamiana na mkeo nguvu unakuwa huna mfano sababu unatumika sana kwa mchepuko au mchepuko kakuroga kwamba ukikutana na mkeo uwe hanithi mkeo akagundua kwamba kumbe ukiwa nje mpaka umezaa lakini ndani hujiwezi hapo mkeo akiondoka utafanye?
Unafahamu Imeandikwa:Mungu anachukia kuachana?
Je kuachana huko kumeanzishwa na nani?
Tafakari.
Utakuwa Mfilipino weweNdoa zina mambo mengi sana ya ajabu na tofauti kwa nyakati tofauti.
Circumstances na facts zipo tofauti tofauti.
Marriage couples are always unique you can not judge the same.
Hivyo hakunaga jibu la aina moja kama uloandika wewe Mleta mada.
Bro nikuulize umeokoka? Kama we ni mlokole basi mleta uzi hutamwelewaIwapo Mwanaume ndiye aliyemkosea pakubwa mkewe kiasi cha kusababisha mke kuondoka na yule mke akaendelea kumlilia Mungu kwa hiyana na uovu ulomtendea mke wa ujana wako ujue laana haitakuacha.
Mbona tumekuwa tukiona kwenye jamii hali halisi ?!
Msijidanganye.
Mungu anachukia kuachana Kwa hiyo panapotokea kuachana huenda mbali kwa kuangalia aliyesababisha kuachana kwa hawa wanandoa ni nani?
Na mara nyingi ni Mwanaume na ule mchepuko wake .
Laana !
Usizani ni rahisi kiasi hicho.
Labda kama dhamira yako imeshakufa ndani yako lakini Hata hivyo laana huwezi iepuka.
Wezere silitaki tena ndo lilonishinda ilo.. Sa hivi tunatafuta goti tuuHaya baba J kamata mtoto mzuri mwenye wezere maisha yaendelee....
Ukiona hivyo , fahamu kabisa una date na kavulana , au Beta Male ambaye anaendeshwa na tamaa ya uke wa mwanamke, na hana option wala choices za wanawake wengine ,Mlivyo hamziwezi nyeeege, mnatufata vizuri, mnabembeleza na magoti mnapiga.
Mkuu naona unachangia mada kwa points.. wanawake wanaishia tu kuwa emotional...Mwanaume aliumbwa kuwa Mtawala, ukiona anashindwa kutawala hisia zake ujue hata zako hawezi.
Mwanaume yoyote atakeyafuata ushauri kutoka kwakoWosia wangu Kwa wanaume wote, akili za kuambiwa changanya na zako.
Ukizima data, ukitoka kijiweni unakuwa wapi? Sasa endekeza ushauri Kama huu halafu ujikute unazeeka mpweke, wenzio wanapiga magoti mafichoni wanazeeka na wake zao.
Wanakuweka kwenye kamati kwasababu wanakuheshimu ..Ndugu zake wakiongozwa na mashangazi zake ndio walikomaa hakuna kutoka mpaka nimfuate. Mimi nikakataa.
Achana na wamama wa kichaga, ila wale wachaga wahatanisahau.
Ila huwezi amini tukaja tukawa marafiki kiasi kwangu kwenye sherehe zao wananiweka kwenye kamati
Never chase a woman or being too needy!Shida ni kwamba akiondoka na bado unampenda the more she stays away from you the more she is fucked by other men.
Saikolojia ya binadamu kwa aslimia kubwa sana tunafanana kwa mambo mengi sana... !Ndoa zina mambo mengi sana ya ajabu na tofauti kwa nyakati tofauti.
Circumstances na facts zipo tofauti tofauti.
Marriage couples are always unique you can not judge the same.
Hivyo hakunaga jibu la aina moja kama uloandika wewe Mleta mada.
Huu siyo mfumo mpya ulikuwepo zamani sana na ndio uliokuwa unafanya ndoa zidumu..I can imagine watoto wa kiume wanaolelewa na wababa wa aina hii na kulishwa huu "unyama" in the name of mfume dume. Sijui kama kutakuwa na stable families huko mbeleni, ni single families tu. Baba hakosei wala kuomba msamaha; our little men .....