Ukigombana na Mkeo, akaenda kwao; USIENDE wala Usimtafute

Ukigombana na Mkeo, akaenda kwao; USIENDE wala Usimtafute

Hamnaga laana ya mwanamke inaweza mpata mwanaume.


Inaweza kuwa isiwe ya mwanamke lakini ikawa ya Mungu.

Imeandikwa; apataye mke apata kitu chema tena apata kibari machoni pa Bwana .

Actually kwenye swala la laana ni kwa mtu yeyote utakaye mkosea pakubwa na kuumiza moyo wake.

Imeandikwa:
Usimfanyie mambo ya hiyana mke wa ujana wako .

Sasa ukimfanyia hiyana unazani inakuwaje?!

Tusijidanganye.
 
Hata house girl/boy ukimkosea pakubwa unapata laana siyo mke tu.

Umemfanyisha kazi kijana wa watu halafu mshahara ambao ni haki yake hutaki kumlipa unamdhulumu haki yake na kumfukuza kama mbwa nakwambia akimlilia Mungu huponi.

Fundi umempa kazi kisha unamtafuta makosa ili upate uhalali wa kutomlipa hela yake akimlilia Mungu huponi.

Laana maana yake ni kutokufanikiwa.

Unajiona uko Sawa lakini kuna mahala utafika utakwama iwe kiafya , kiuchumi, kimalezi, n.k

Wengine wanasumbuliwa na watoto wao mpaka basi.

Watoto hawasikii, Shule hawataki ikibidi kuenda lakini maendeleo yao hafifu! Fikiria.

Halafu ajabu saingine adui anakupofusha macho au fahamu unakuwa hata hujijui Maskin
 
Bango kubwa sana hili nitarejea Mara kadhaa kusoma ili kulihifadhi andiko hili kichwani
 
Wanaume wenye busara na wenye kujali familia zao wanapokosea wanaomba msamaha. Maisha ya ubabe ni nje ya nyumbani kwako sio katika ndani. Hata wazazi wanapokosea mahali huomba msamaha sembuse mume.

Watakusupport wengi tu hapa ila yanavyobuma huko kwao ndio wa kwanza kuomba samahani na kuwafuata wake zao waliokimbilia kwao
 
Enzi hizooo nilipata li demu moja lilikua jitu zima na mm nilikua chalii..ninachokumbuka aliniambia HAKIKISHA UNATAFUTA HELA NA UNAPIGA MBUPU VZR KWA MKEO..make sure watoto wakiwa nje wanasema gari ya baba ilee au nyumba ya baba nzuri.. kinyume chake utakomaa
 
Laana inakuwa kwenye maeneo mengi mfano kiafya, kiuchumi, kijamii , kimalezi, kimahusiano, n.k
Wengine unakuta watoto Shule hawafanyi vizuri unabadilisha Shule mpaka unachoka.!

Watoto adabu hawana hawasikii wazazi wao wanajifanyia wanayotaka Shule hawataki hata wakienda hawafanyi vizuri!

Tujitafakali njia zetu tuepuke uovu.
 
pasipo akili heshima ya mwanaume ipo mashakani.
Hii ikolezewe wino tena wino wa dhahabu.....afu iweke apo juu iwe ndo iwe kichwa cha habari.

Nasikitika sana ninapoona mwanaume anaumizwa kichwa na mwanamke 1....wakati amepewa nguvu za akili za kuwaongoza wanawake zaid ya 3.
 
I can imagine watoto wa kiume wanaolelewa na wababa wa aina hii na kulishwa huu "unyama" in the name of mfume dume. Sijui kama kutakuwa na stable families huko mbeleni, ni single families tu. Baba hakosei wala kuomba msamaha; our little men .....
 
Je mke yupo kwangu tunaishi ingawa viugomvi vidogo vidogo haviishi ndani ya nyumba ila baba mkwe akamwambia mtoto wake qmbae ni mke wangu aondoke kwangu na mke wangu akagoma baba mkwe akamtamkia mtoto kua usipokuja huku kwangu kuanzia leo ukamtafute baba ako nilivyoona hivyo kwa busara nikamwambia mke wangu yule ni mzazi nakupa ruhusa nenda kamuona baba ako kisha urudi ila alipofika akamzuia asirudi kwangu na watoto alienda nao na cha kushangaza akaenda bakwata akawapa hela na kumshinikiza mke wangu adai talaka na bakwata wakampa talaka hapo unalizungumziaje suala hilo mkuu!?
Mana kinachoniuma ni kunuacha mwanamke ambae ananipenda kwa dhati bora angekua hanipendi ningemuacha kiroho safi
Tafuta mwanamke mwingine.
 
Mmh huu waraka wa mtume paulo kwa wakorintho?,nimechoka kusoma,
 
Msimamo ni ule ule mwanaume hapaswi kumsikiliza mtu yeyote,vipi tumsikilize mtoa mada [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom