Ukigombana na Mkeo, akaenda kwao; USIENDE wala Usimtafute

Ukigombana na Mkeo, akaenda kwao; USIENDE wala Usimtafute

Hakuna cha kujua maisha au kutokujua.

Vijana wa siku hizi wanaendeshwa na hisia kuliko akili.

Ukiongozwa na Hisia ndio utapelekeshwa na hao viumbe.
Hisia tuwaachie wanwake sisi tuongoze mahusiano kwa akili!
 
Wanakuweka kwenye kamati kwasababu wanakuheshimu ..
na wanakuheshimu kwasababu ya misimamo na maamuzi yako..

Sasa acha hawa wavulana waendele kushauriqna kumfura mke aliyesepa kwenda kwao kumpigia magoti.. kanakwamba hakuna njia nyingine za kutatua migogoto yao ...
Yaani huwezi amini Kuna baadhi ya ndugu wa mke wangu waliwahi kunisifia wakasema wewe ni mwanaume
 
Mke wangu hawezi kuacha nyumba nzuri hivi aliyoipambania kuipendezesha miaka mingi yenye kila kitu akaenda kwao, labda mm ndo nimwache hapo niende kwenye nyumba nyingine. Nitamuulia hapo ndani ila HATOKI[emoji23]

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kiboko kabisa
 
Mkuu umeongea kiume kweli kweli..
Nina mengi ya kushuhudia sambamba na haya yamenitokea binafsi na nikawa nanyoosha rula sipindishi mbona mke alikaa kwenye line mwenyewe.
Mwenyewe.

Alloo umenibariki sana sana.
Na ndio maana mahusiano siku hiz yanasumbua sana SABABU KUBWA NI WANAUME wala sio wanawake..
Siku hiz wavulana wamezid sana kwenye ndoa.
Nadhan pia akina baba wamekua wachoyo kuwafunza vijana.

Haijalishi mwanamke ana mali au pesa ukikosa msimamo wa kiume hakyanan atakudharau sana...na atakuendesha sana...Ila ukikaa kwenye nafas yako wallah hata kama huna kitu atakuheshim..Atakubal tu kimoyomoyo kua " hiki kwel chuma.Hapa hakina hata 100 ila dah"..

#wanaume wanapaswa kubadilika ili kufa ya dunia sehemu salama
 
MKIGOMBANA NA MKEO, AKAENDA KWAO, USIMFUATE WALA USIMTAFUTE

Anaandika Robert Heriel.

Leo sina mengi ya kusema ndugu yenu. Nimefanya uchunguzi Kama mnavyonifahamu.
Hapo umetumia metaphor ya mke....
 
MKIGOMBANA NA MKEO, AKAENDA KWAO, USIMFUATE WALA USIMTAFUTE

Anaandika Robert Heriel.

Leo sina mengi ya kusema ndugu yenu. Nimefanya uchunguzi Kama mnavyonifahamu. Nikisemacho ni kweli tupu. Wala sisemi haya Kwa maslahi yangu, au ya mtu yeyote Yule.
Jf ile ya madini kiasi fulanibinaanza kurudi. Wanawake pia wamejitunza kitu hapa, unaoneoka kwa mmeo kimbilia ukweni...
 
MKIGOMBANA NA MKEO, AKAENDA KWAO, USIMFUATE WALA USIMTAFUTE

Anaandika Robert Heriel.

Leo sina mengi ya kusema ndugu yenu. Nimefanya uchunguzi Kama mnavyonifahamu.
Jf ile ya madini kiasi fulanibinaanza kurudi.

Wanawake pia wamejitunza kitu hapa, unaoneoka kwa mmeo kimbilia ukweni...
 
Kwani kuishi mwanamke na mwanaume ndio ndoa?

Mbona kuna wahuni wanaishi hivyo?

Wengine maeneo ya mijini unakuta kabisa Mwanaume na mwanamke wanaishi pamoja wanapanga jinsi ya kufanya uhuni kwa kutumia mwanamke watege mingo mwanamke ajifanye amekubaliana na mwanaume fulani akifika gest tu anamstue yule bwana wake wa nyumbani hapo anakuwa Karibu na amemwambia wako gest gani kabla ya kufanyika chochote yule bwana anatinga na kuanzisha valangati timbwili kisha anadai hela ili kujifanya kumsitiri yule Mwanaume mwingine,
Anamtisha mtisha kuwa Huyu mke wangu kama sivyo nakudhalilisha kwenye vyombo vya habari.
Basi akishapewa hela wanaondoka na yule mwanamke wanaenda kula ikiisha wanalianzisha.

Ndio wachangiaji wengi wa hii mada wengi ni wahuni tu na hata ndoa rasmi za siriasi hawana .

Wako kinadharia zaidi Kuliko uzoefu wa kimatendo.
 
I can imagine watoto wa kiume wanaolelewa na wababa wa aina hii na kulishwa huu "unyama" in the name of mfume dume. Sijui kama kutakuwa na stable families huko mbeleni, ni single families tu. Baba hakosei wala kuomba msamaha; our little men .....

Zamani ndio kulikuwa na stable famili Kwa sababu ya mfumo dume ninaouzungumzia lakini sasa hivi wanaume kugeuka madume jike ndio kunafanya
Kwani kuishi mwanamke na mwanaume ndio ndoa?

Mbona kuna wahuni wanaishi hivyo?

Wengine maeneo ya mijini unakuta kabisa Mwanaume na mwanamke wanaishi pamoja wanapanga jinsi ya kufanya uhuni kwa kutumia mwanamke watege mingo mwanamke ajifanye amekubaliana na mwanaume fulani akifika gest tu anamstue yule bwana wake wa nyumbani hapo anakuwa Karibu na amemwambia wako gest gani kabla ya kufanyika chochote yule bwana anatinga na kuanzisha valangati timbwili kisha anadai hela ili kujifanya kumsitiri yule Mwanaume mwingine,
Anamtisha mtisha kuwa Huyu mke wangu kama sivyo nakudhalilisha kwenye vyombo vya habari.
Basi akishapewa hela wanaondoka na yule mwanamke wanaenda kula ikiisha wanalianzisha.

Ndio wachangiaji wengi wa hii mada wengi ni wahuni tu na hata ndoa rasmi za siriasi hawana .

Wako kinadharia zaidi Kuliko uzoefu wa kimatendo.



😂😂😂😂

So wamekosa vigezo vya kuitwa waume za watu
 
Kwani kuishi mwanamke na mwanaume ndio ndoa?

Mbona kuna wahuni wanaishi hivyo?

Wengine maeneo ya mijini unakuta kabisa Mwanaume na mwanamke wanaishi pamoja wanapanga jinsi ya kufanya uhuni kwa kutumia mwanamke watege mingo mwanamke ajifanye amekubaliana na mwanaume fulani akifika gest tu anamstue yule bwana wake wa nyumbani hapo anakuwa Karibu na amemwambia wako gest gani kabla ya kufanyika chochote yule bwana anatinga na kuanzisha valangati timbwili kisha anadai hela ili kujifanya kumsitiri yule Mwanaume mwingine,
Anamtisha mtisha kuwa Huyu mke wangu kama sivyo nakudhalilisha kwenye vyombo vya habari.
Basi akishapewa hela wanaondoka na yule mwanamke wanaenda kula ikiisha wanalianzisha.

Ndio wachangiaji wengi wa hii mada wengi ni wahuni tu na hata ndoa rasmi za siriasi hawana .

Wako kinadharia zaidi Kuliko uzoefu wa kimatendo.
Unaendeshwa na hisia sana.. mkuu
 
Back
Top Bottom