Ukigombana na Mkeo, akaenda kwao; USIENDE wala Usimtafute

Unaendeshwa na hisia sana.. mkuu


Kuna mambo ajabu sana kwenye mahusiano ya kijinsia ungekuwa Shekhe au Padri yamkini ungeelewa au wale jamaa wa dawati la kijinsia.

Hususa maeneo ya mijini.

Na hayafanani.
 
I can imagine watoto wa kiume wanaolelewa na wababa wa aina hii na kulishwa huu "unyama" in the name of mfume dume. Sijui kama kutakuwa na stable families huko mbeleni, ni single families tu. Baba hakosei wala kuomba msamaha; our little men .....
Mkuu wewe ulilelewa kwenye mfumo wa aina gani? Mshua alikuwa hapindui kwa bimkubwa? Ful bebi kam beki tu mii?
 
Zamani ndio kulikuwa na stable famili Kwa sababu ya mfumo dume ninaouzungumzia lakini sasa hivi wanaume kugeuka madume jike ndio kunafanya



😂😂😂😂

So wamekosa vigezo vya kuitwa waume za watu
Hakukuwa na stable family, sema wanawake walivumilia ubabe Kwa kuwa hawakuwa na option, hawakuwa na PA kwenda.
Siku hizi wanawake Wana nguvu ya kiuchumi, wanaweza kujiendesha bila mwanaume, wanachohitaji ni kujaliwa tu.
Wanaume mjifunze kuishi na wanawake waliowezeshwa....mngepata jando la kisasa mkanolewe....mwanamke wa 1900s sio wa 2000s
 


Hata zamani wapo wanawake waliokuwa na nguvu za kiuchumi. Tena wengi tuu.

Sema wanawake WA Zama hizo waliuelewa mfumo dume Kama ndio msingi Mkuu wa usalama wa maadili na utamaduni wa jamii zao.

Sasa hivi wanawake wanazidi kudhalilika na kunyanyaswa kuliko zamani.
 
Huo ni uongo kusema jamii ya zamani wanawake hawakuwezeshwa mfano mzuri ni mimi katika jamii yanu wanawake walikuwa wanamiliki mashamba na mifugo ambayo hupata pale wanapotolewa mahari

na hiyo yakusema kunyanyaswa na kunyimwa kuwezeshwa ilikuwa inatagemea fikra za wazazi pia haikubezi kwa wanawake tu hata wanaume mfano baadhi jamii za visiwa komoro,lindi,mtwara na huko hindia kwenye familia walikuwa wanawekeza kwa watoto wa kike katika umilikishwaji wa mali hivyo ilipelekea watoto wa kiume kushindwa kuwa na uchumi imara na hata kwenye kuoa jamii hizo mtoto wa kike ndio huoa na kutoa mahari na mwanaume huenda kuishi kwenye familia ya mkewe pia watoto watao zaliwa hufata ukoo wa mama

Shida sio kuo wanawume wengi wanaubabe pia nyie wanawake wa sasa mlio wezeshwa kiuchumi ukiachana na ubabe wa wanaume pia mnadharau,majivuno na kiburi

Mimi mama yangu alizaliwa 1961 alipo olewa na baba alikuwa ameshafiwa na baba yake hivyo alikuwa anamiliki mashamba na mifugo ya urithi
ukiachana na vyote hivyo alikuwa nurse wa hospitali ya mkoa ila kitu cha kushangaza sijawai muona akimgombeza wala kumfokea baba yangu japo baba yangu hakuwa na kazi yenye mshahara mkubwa sana na baba yangu alikuwa na kiukoloni fulani hivi lakini haikuwa sababu ya mama yangu hakubehave kama wanawake wengi wa sasa
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Na wengi wapo kundi hili
Mimi nipo kundi hili,akipokea mshahara robo nzima ya mshahara anahamishia kwenye akaunti yangu kila mwezi,ntapinduaje hapa? Afanye atakavyo tu,simuachii ng'oo...
 
Maninazako(sijatukana) nakusifia!
hii na print naweka nyuma ya kabati la nguo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…