Mtukutu wa Nyaigela
JF-Expert Member
- Sep 4, 2018
- 8,013
- 14,263
Na kweli hao wanaokufuata lazima wawe pumbavu🙄🙄Tunafatwa kila siku na wataendelea kutufa. Pambav zao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na kweli hao wanaokufuata lazima wawe pumbavu🙄🙄Tunafatwa kila siku na wataendelea kutufa. Pambav zao
Katika maujingajinga unayoandikaga, leo ndo nimekuelewa mkuu. Kwa kuongezea tu ni kuwa akiondoka siku anarudi anakuta mwenzieMKIGOMBANA NA MKEO, AKAENDA KWAO, USIMFUATE WALA USIMTAFUTE
Anaandika Robert Heriel.
Leo sina mengi ya kusema ndugu yenu. Nimefanya uchunguzi Kama mnavyonifahamu. Nikisemacho ni kweli tupu. Wala sisemi haya Kwa maslahi yangu, au ya mtu yeyote Yule. Nazungumza mambo ambayo ni kweli kabisa.
Itakuwa ameamua ku “be like a man!” Ila haja “be a man”Tunafatwa kila siku na wataendelea kutufa. Pambav zao
Katika maujingajinga unayoandikaga, leo ndo nimekuelewa mkuu. Kwa kuongezea tu ni kuwa akiondoka siku anarudi anakuta mwenzie
Maneno mazuri lakiniNisemehe tuu.
Aisee kuna ukweli hapo mkuu.
Nakumbuka mzee alikua baba mwenye sifa tajwa hapo. Asiyeyumbishwa akiamua kitu.
Ila kupokea ushauri ni muhimu.
Yaaa. Upo sawa. By the way, huwezi tenganisha mafanikio yangu na mke wangu.Na Mwanaume mwenye akili hawezi mfukuza mke wake pasipo sababu ya msingi nayo ni kuondolewa heshima yake.
Ikibidi kuuawa atauawa
Inategemea na coincidence ya tukio na watoto nyumbani otherwise kitu ambacho siwezi kufanya ni kupiga magoti kumvisha pete, kupiga magoti kumuomba msamaha au kumuomba msamaha wife kwa ujumla wake nitazungumza maneno yore ila sio neno samahani
Ukiona mwanaume anam chase mwanamke jua tu kuwa mwanamke ni potential sana kwa mustakabali wake.
Aidha ana akili za kimaisha sana na ana upepo wa pesa ama anamiliki mali nyingi zaidi ya mume ikiwemo nyumba mnayoishi!😂 Unakuta mafanikio mliyo nayo ame play part kubwa lazma kidume alegeze masharti.
Kwahio hili bandiko ni kwa wanaume wa shoka ambao wamehodhi mali kwa jasho lao! Akina Marioo huwa wanafukuzwaga na mabegi tu so lazima wajikombeleze🤩
Yaaa. Upo sawa. By the way, huwezi tenganisha mafanikio yangu na mke wangu.
Pumb.....si ndio mali yenyewe kwenu haipo hiyoMali unazo wewe wenzio hawana. Na wanawake wengi siku hizi wana mali zao kasoro huyo wa kwako