Superb2014
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 9,266
- 7,426
Kazi kweli kweli.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushauri unapokea lakini asijue yeyote kuwa umepokea, inakuwa siriAisee kuna ukweli hapo mkuu.
Nakumbuka mzee alikua baba mwenye sifa tajwa hapo. Asiyeyumbishwa akiamua kitu.
Ila kupokea ushauri ni muhimu.
Mwanaume ajishushe ili iweje, huyo ana kasoroUnawadaganya wenzako na sidhani ka umeoa hapo ulipo. Ubabe wa kijinga haujawahigi kuwa na tija sometimes kujishusha sio udhaifu
Wanawake ni noma tizama mibaba inavyojiliza kama mitoto, kujadiliana tu humu imeondoa uanaume wenu maana yake mnatuogopa😅😅😅 walio wanaume hawana hizi kelele Ni vitendo tu, pumbavu zenu
unaakil sana we jamaa
Tunalinda HeshimaWajumbe mbona mna koment kibabe sana?Nini tatizo?
Anachokiongea ni kweli, ni salama kwa familia yenye misingi na maadili ya kiafrika..Unawadaganya wenzako na sidhani ka umeoa hapo ulipo. Ubabe wa kijinga haujawahigi kuwa na tija sometimes kujishusha sio udhaifu
Hajadanganya,amesema ukweli.Ndoa yangu ina miaka 15.Mwanzoni kabisa mwa ndoa nilimwambia mke kuwa katika vitu ambavyo asitarajie Mimi kufanya ni kuhudhuria kikao cha usuluhishi ukweni na kumfata kwa lengo la kumrudisha nyumbani iwapo ataenda kwao.Sijawahi kufanya hayo na imenisaidia sana.Unawadaganya wenzako na sidhani ka umeoa hapo ulipo. Ubabe wa kijinga haujawahigi kuwa na tija sometimes kujishusha sio udhaifu
Hahaa Hilo Jina lako nawafaham watu design yako.Hajadanganya,amesema ukweli.Ndoa yangu ina miaka 15.Mwanzoni kabisa mwa ndoa nilimwambia mke kuwa katika vitu ambavyo asitarajie Mimi kufanya ni kuhudhuria kikao cha usuluhishi ukweni na kumfata kwa lengo la kumrudisha nyumbani iwapo ataenda kwao.Sijawahi kufanya hayo na imenisaidia sana.
Yaani hii ni copy and paste kutoka kwa baba yangu.Enzi zile maza akizinguana na mshua ,maza anasepa kwao.Mshua anachuna.Tukimuuliza baba mbona mama harudi?Anasema wanangu nyie ni watoto wa kiume,kamwe usimfate mkeo kwao mkigombana.Mwacheni atarudi.Hahaa Hilo Jina lako nawafaham watu design yako.