Ukigombana na Mkeo, akaenda kwao; USIENDE wala Usimtafute

Ukigombana na Mkeo, akaenda kwao; USIENDE wala Usimtafute

🤣🤣🤣🤣🤣

Na wengi wapo kundi hili
Yeah kwa kizazi hiki cha 90’s kuja 2K’s kundi kubwa la vijana ni goigoi tu na wanawake wengi ndio wameinuka kiuchumi kupitia fursa mbalimbali na sera za kuwapa kipaumbele.

Its hard kwa kweli, vijana wachache ndio wamefanikiwa kuishi katika misingi ya kiume wakiwa na finacial muscles na kukabili majukumu yao kwa uhakika. Hapa kuna walioajiriwa na wenye vipaji hasa vya usimamizi wa biashara.

Sasa imagine hali iliopo sasa wanawake wengi wanajikuta wanalea wapenzi wao sio kwa kupenda ila unakuta mwanamke kutusua ni easy akitia tia huruma kapewa mtaji au kama amesoma kapewa shavu!

Kwa mwanaume ajira ni ngumu kupata gombania goli sana inabidi wa capitalize kwenye hustling na ku hustle sio kitu ya kila mtu aisee! Business is for people with talent & passion. Vijana wengi wamekuwa raised kwenye mfumo wa kuajiriwa kuingizwa kwenye payroll tu! Hali ikiwa tofauti wanachanganyikiwa yani ndio wengi wanaishia kubeti tu mtaani😄 na kuishia kutafta mbeleko kwa mademu zao!

Mtu wa aina hii ni ngumu kuweka misimamo ya namna hio mbele ya mwanamke! Kuna dada yangu mmoja aliniambia “ukikosa pesa unakosa power ya kufanya decision”. You can not stand on what you believe kama unategemea support ya mtu au watu flani kujiendesha!
 
Yeah kwa kizazi hiki cha 90’s kuja 2K’s kundi kubwa la vijana ni goigoi tu na wanawake wengi ndio wameinuka kiuchumi kupitia fursa mbalimbali na sera za kuwapa kipaumbele.

Its hard kwa kweli, vijana wachache ndio wamefanikiwa kuishi katika misingi ya kiume wakiwa na finacial muscles na kukabili majukumu yao kwa uhakika. Hapa kuna walioajiriwa na wenye vipaji hasa vya usimamizi wa biashara.

Sasa imagine hali iliopo sasa wanawake wengi wanajikuta wanalea wapenzi wao sio kwa kupenda ila unakuta mwanamke kutusua ni easy akitia tia huruma kapewa mtaji au kama amesoma kapewa shavu!

Kwa mwanaume ajira ni ngumu kupata gombania goli sana inabidi wa capitalize kwenye hustling na ku hustle sio kitu ya kila mtu aisee! Business is for people with passion vijana wengi wamekuwa raised kwenye mfumo wa kuajiriwa kuingizwa kwenye payroll tu! Hali ikiwa tofauti wanachanganyikiwa yani ndio wengi wanaishia kubeti tu mtaani😄 na kuishia kutafta mbeleko kwa mademu zao!


Waliyataka wenyewe.
 
Mkuu samahani kwa heshima kabisa nikuambie kuwa uliyoandika ni fasihi andishi. Mtu anaitwa Mke ni habari nyingine tofauti kabisa.

Mwanaume atakayefuata wazo lako kuna mambo matatu yatampata:
1. Sonona
2. Aibu
3. Kudharaulika hata akifariki

Kweli kuishi na mke kunahitaji akili na busara, ila sio ubabe. Nitakuonesha jambo lakujifunza.

Tuseme mfano Magu ni baba sisi ni watoto na Samia ndio alikuwa mama yetu. Kwa mambo yalivyo sasa hali ya familia na historia ya baba yetu ipoje?

Hii dhana yako ndio ile ile ya marehemu baba yetu Magu. Na ukweli mchungu hii dhana haifai kuongozea familia.

Utashangaa wale wanaowacheka na kuwaita wanaume wenzio dhaifu ndoa na familia zao zinateketea alafu wale wanaoitwa dhaifu ndoa na familia zao zinastawi.

Ni hayo tu Mkuu.
Ulipoingiza Magu na Samia ndio umeharibu kabisa
 
Mkuu samahani kwa heshima kabisa nikuambie kuwa uliyoandika ni fasihi andishi. Mtu anaitwa Mke ni habari nyingine tofauti kabisa.

Mwanaume atakayefuata wazo lako kuna mambo matatu yatampata:
1. Sonona
2. Aibu
3. Kudharaulika hata akifariki

Kweli kuishi na mke kunahitaji akili na busara, ila sio ubabe. Nitakuonesha jambo lakujifunza.

Tuseme mfano Magu ni baba sisi ni watoto na Samia ndio alikuwa mama yetu. Kwa mambo yalivyo sasa hali ya familia na historia ya baba yetu ipoje?

Hii dhana yako ndio ile ile ya marehemu baba yetu Magu. Na ukweli mchungu hii dhana haifai kuongozea familia.

Utashangaa wale wanaowacheka na kuwaita wanaume wenzio dhaifu ndoa na familia zao zinateketea alafu wale wanaoitwa dhaifu ndoa na familia zao zinastawi.

Ni hayo tu Mkuu.


Kama utatumia hisia ni kweli utakutwa na hayo uliyoyasema,

Mwanaume ni AKILI.
Kabla hujaoa jifunze kuwa Mwanaume, yaani kutumia zaidi kuliko hisia. Usiitumie moyo.

Pengine hujui maana ya Mtawala ndio maana unaleta mambo ya Sonoma, aibu na kudharaulika.

Linapokuja suala la heshima lazima lipaganiwe Kwa nguvu zote pasipo kujali matokeo
 
Ndio nikasema vigezo vitakua viwili.
1. Msala alionisanukia
2. Watoto kama kawaacha home
Kikubwa nikienda kumbembeleza hakutakua na msamiati wa kuomba msamaha(ni neno gumu sana kulitamka kwa mke)
Mkuu ndo umeambiwa hapo unapiga buyu tu hakuna safari za kwenda kubembeleza…
 
Kama utatumia hisia ni kweli utakutwa na hayo uliyoyasema,

Mwanaume ni AKILI.
Kabla hujaoa jifunze kuwa Mwanaume, yaani kutumia zaidi kuliko hisia. Usiitumie moyo.

Pengine hujui maana ya Mtawala ndio maana unaleta mambo ya Sonoma, aibu na kudharaulika.

Linapokuja suala la heshima lazima lipaganiwe Kwa nguvu zote pasipo kujali matokeo
Na wote tuseme Ameeeen[emoji120][emoji120][emoji120]
 
We ni jinga kabisa, Magu na huu uzi anahusikaje
Mkuu samahani kwa heshima kabisa nikuambie kuwa uliyoandika ni fasihi andishi. Mtu anaitwa Mke ni habari nyingine tofauti kabisa.

Mwanaume atakayefuata wazo lako kuna mambo matatu yatampata:
1. Sonona
2. Aibu
3. Kudharaulika hata akifariki

Kweli kuishi na mke kunahitaji akili na busara, ila sio ubabe. Nitakuonesha jambo lakujifunza.

Tuseme mfano Magu ni baba sisi ni watoto na Samia ndio alikuwa mama yetu. Kwa mambo yalivyo sasa hali ya familia na historia ya baba yetu ipoje?

Hii dhana yako ndio ile ile ya marehemu baba yetu Magu. Na ukweli mchungu hii dhana haifai kuongozea familia.

Utashangaa wale wanaowacheka na kuwaita wanaume wenzio dhaifu ndoa na familia zao zinateketea alafu wale wanaoitwa dhaifu ndoa na familia zao zinastawi.

Ni hayo tu Mkuu.
 
Back
Top Bottom