DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Zamani nikiona mtu wazima na wajukuu wanaishi nyumba ya kupanga nilikuwa nawaona wazembe sana,nimekua nimeyaonaInaumiza kuna wengne wazazi wetu hawajfanikiwa mpaka leo wanaishi nyumba za kupanga inaumiza inabd tujitahidi na ss tuwafanikishie ndoto zao[emoji29][emoji29]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mgeni anayetafuta mchongo mnatakiwa kumuacha atafute mchongo, sio kuanza kumpa majukumu ya kuleta 5kg za mchele na 3kg ya nyama.Mkuu hapa anazungumziwa mgeni ambaye ameenda kuangalia life linaendaje eneo hilo sio mgeni ambaye ameenda mapumziko ya kikazi 😂.
Mchele kilo tano na nyama kilo tatu kama ndio zinapima "ustaarabu" wa mgeni mbona kama ni kumbebesha mzigo hustler. Upo sahihi lakini kwa kiasi kikubwa ingawa pia baadhi ya familia kushiriki chakula ni muhimu sana. Mfano mama angu ni lazima ushiriki mezani la sivyo uwe na sababu maalum.
Uliwaona hawana akili sio, ukishakuwa mtu mzima ndio unaona jinsi maisha yalivyo na changamoto nyingi.Zamani nikiona mtu wazima na wajukuu wanaishi nyumba ya kupanga nilikuwa nawaona wazembe sana,nimekua nimeyaona
Oa kwanza mkuu.Yaani tuseme siku ndio nimeoa nitambue labda mwanamke wangu anamfanyia visa mdogo angu au ndugu yangu aisee atanijua mimi ni nani hata kama huyo ndugu ni wa mbali au aliwahi kunifanyia visa
Mi nashangaa hawa wanaume wanaoshtakiwa na ndugu zao au wanaojua mke anawaonea ndugu zao kwao na wao wapo kimya aisee pengine labda wana akili ndio hao wanastahili kuwa na mke ndani maana sisi hizo akili hatuna Au labda tumeumbwa tofauti
Nimeileta makusudi kwa sababu maisha hayatupi kila tunachotaka, kuna wakati inabidi uishi kutokana na mazingira.Mimi naishi kwa shemeji huu ushauri utanifaa sana
Mzee unakaa kwa watu unataka heshima? IpI? By the way hakuna kazi ya hovyo as along as ni kazi wengine wanafanya….ukiishi kwa watu daima kuwa mvumilivu.Yaaani kukaa kwa ndugu ukiwa na hizi tabia wee basi hawato kuchoka
1. Kuwa bize na mambo yako
2. Acha dharau tambua bila huyo mtu aliyekuweka hapo wewe ungekua wapi
3. Epuka kukaa nyumbani mda mwingi kuna kazi zingine ni xa hovyo utaambiwa ufanye zitakazo shusha heshima yako
4. Kama umechakalika na kupata kazi sehemu fanya juu chini usiwahi kurudi hapo nyumbani fanya kitu hadi wawe wana miss uwepo wako
5. Kama mkaka achana na mabinti wa mtaa wa hapo karibu the same kwa mdada hivyo hivyo.
6. Usikae kinyonge watakuzoea fanya kazi tafuta geto
😂😂😂😂Ndio katoka huko sasaNimecheka sana mkuu
Dada kulikuwa na ulazima gani kusema katoka Ikonda..
Hata nikio siwezi kuwa mpuuzi kiasi hicho bora niache kila sikuOa kwanza mkuu.
Kuna watu uchoyo upo kwenye damu.Ishu ni umaskini bwana wewe. Kama li friji limejaa vyakula huo muda wakusimangana unatoka wapi
Angekuwa mchoyo hawezi kukubali ndugu yake aje kwa munyumbaKuna watu uchoyo upo kwenye damu.
Wee huwajui wabongo wewe. Mtu anakukaribisha na anakuchekea tu kwa nje lkn moyoni kanuna anawaza utaondoka liniAngekuwa mchoyo hawezi kukubali ndugu yake aje kwa munyumba
Yeye kwa madai yake ndugu za mumewe pale hawamthamini wanamchukulia Kama Kaka Yao ndio kila kitu na yeye Ni nothing,Sasa anadai atapambana nao bega kwa bega wapunguze Uhuru,eti Uhuru umezidi..huyo mgeni eti alivyofika siku mbili tatu akaenda kwenye shoe rank akaanza kuchafua viatu vya braza akajichagulie,,,Sasa bibie kamaind
Nyie wezangu mna ndugu wa aina gani🤣🤣🤣🤣🤣Wee huwajui wabongo wewe. Mtu anakukaribisha na anakuchekea tu kwa nje lkn moyoni kanuna anawaza utaondoka lini
Niliposema heshima nilimaanisha hivi.. an mtu unapoa kaa kwa mtu usipo kuwa mchakalokaji jiandae kwa mambo haya unaweza pewa kazi ambayo ilibidi afanye mtoto ila ukaambiwa ufanye wewe huoni tayari hapo ushashushiwa heshima yako... Je kama ukiwa mtu busy hayo yote yange kupata.. kwenye kazi za hovyo hapo namanisha kazi za pale pale nyumbani mkuuMzee unakaa kwa watu unataka heshima? IpI? By the way hakuna kazi ya hovyo as along as ni kazi wengine wanafanya….ukiishi kwa watu daima kuwa mvumilivu.