DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Waafrica we are too selfish just imagine unazaliwa Hadi unakufa bila kuacha Jambo lolote la maana hapa Duniani .
MTU Kama Mama Teresa Hawa watu wamekufa ni Muda mrefu lakini majina Yao yanaishi kama wapo hai.
Tupambane tuwaze Sana kitu Cha kuiachia hii Dunia Mtu Kama Robert Heriel Mtibeli na Mshana Jr Amani Dimile msiache kupambania jamii kuifuta ujinga hakika Kazi zenu zitakumbukwa vizazi na vizazi
MTU Kama Mama Teresa Hawa watu wamekufa ni Muda mrefu lakini majina Yao yanaishi kama wapo hai.
Tupambane tuwaze Sana kitu Cha kuiachia hii Dunia Mtu Kama Robert Heriel Mtibeli na Mshana Jr Amani Dimile msiache kupambania jamii kuifuta ujinga hakika Kazi zenu zitakumbukwa vizazi na vizazi