Morning_star
JF-Expert Member
- Apr 21, 2018
- 6,042
- 17,320
Ni kabla au baada........Rejea kichwa cha uzi! Ukijichanganya na wadada wa siku hizi, haya mawe lazima yakupate! Utadhani kama usingemtongoza angekufa jinsi anavyokutolea shida utadhani ndo uliyemleta duniani!!
Vijana wa siku hizi mnakwama wapi, kazi kulia-lia tu? Yaani kwa kila siku kunakuwa na thread zaidi ya tatu za kulalamika kuombwa fedha na wasichana, Mara kaushadamu, mara chuma ulete.... Haya ni madhara ya kuwa kizazi cha vijana kinachotegemea mali na fedha kutongoza wasichana. Sisi mbona enzi zenu hatukulialia namna hii? Pumbafu kabisa.Bando imeisha zimebaki meseji 2
Naumwa Jino
Nmeteguka mkono
Nimeumia Mguu
Mama anaumwa
Baba anaumwa
Nimefiwa na Bibi
Nimefiwa na Shangazi
Umeme umeisha
Nimemaliza msiba
Hizo meseji zote chini au mbele yake kuna fungu anataka uambatanishe yaan umpe namaanisha umtumie muda huo huo bila kufikiria km unayo au huna
Huyu mchapeni tu jamani.Bando imeisha zimebaki meseji 2
Kwahiyo unataka pisi yako ilale gizani?Umeme umeisha
Uzuri wenu sasa, mtaongea hivi public. Ila pisi yako ikikushika tu kidevu ikaomba elf50. Umetoa..Hahaaaa.....kausha damu huu mwaka umekuja kivingine. Mtavitapika maana moto huu unasambaa sana.
Naona sasa mnaitwa wagogo(ombaomba) ππππ
We Nuzulati sio vizuri π€£π
Usinitafutie banSisi mbona enzi zenu hatukulialia namna hii? Pumbafu kabisa.
[emoji419][emoji419]Mpe kama unazo. Kama huna mwambie huna.
Jiamini.Usinitafutie ban