Ukijichanganya na wadada wa siku hizi, haya mawe lazima yakupate

Ukijichanganya na wadada wa siku hizi, haya mawe lazima yakupate

Kama huwez kuhudumia kwa nn umtongoze ? Acha wanaoweza kuhudumia wapewe mema ya nchi !

Kizuri gharama, wacha kulia lia ovyo,,,, maisha ni kupanga !
 
Bando imeisha zimebaki meseji 2
Naumwa Jino
Nmeteguka mkono
Nimeumia Mguu
Mama anaumwa
Baba anaumwa
Nimefiwa na Bibi
Nimefiwa na Shangazi
Umeme umeisha
Nimemaliza msiba

Hizo meseji zote chini au mbele yake kuna fungu anataka uambatanishe yaan umpe namaanisha umtumie muda huo huo bila kufikiria km unayo au huna
Hahahaha aisee.
 
Woii
FB_IMG_17043792062936927.jpg
 
Jiamini.

Kwamba huwezi kujadiliana kwa hoja? Maana hoja kwa hoja hazinaga ban..
Soma chini pale amemaliza na kunipaka kinyesi kwa hio alitaka nimrudishie kwa kumpaka kinyesi

Ukiwashinda wanakimbilia upigwe ban usionekane baada ya miezi hata 6/7 ndio furaha yao
 
Usinitafutie ban Ila ushasema enzi zako, enzi zako huko kwako ni wewe na enzi zako zilipendwa enzi zako M Rajabu 1979 before 1984 enzi zako barabara ya vumbi Dar mpaka Tunduma enzi zako hakuna Mwendokasi enzi zako kutongoza unatuma hatua kwa njia ya Posta kabla ya 1990 simu hakuna ni landline tu enzi zako umeanza kushika Siemens 2005 enzi zako kabla ya hapo unatumia landline za TTCL kupiga simu kwa kuingiza shillings 200 enzi zako, enzi zako bado unazo enzi zako kumbafu Mimi naweza nikawa zaidi ya enzi zako back in 1970 jirudishe huko ukajiangalie km ulizaliwa
Ku-approch wasichana principle ni zile zile. i.e. Kuongea. Sasa ninyi mnakuja hapa kulalamika kila siku mnataka msaada gani?
 
Back
Top Bottom