Ukijichanganya na wadada wa siku hizi, haya mawe lazima yakupate

Kama huwez kuhudumia kwa nn umtongoze ? Acha wanaoweza kuhudumia wapewe mema ya nchi !

Kizuri gharama, wacha kulia lia ovyo,,,, maisha ni kupanga !
 
Hahahaha aisee.
 
Jiamini.

Kwamba huwezi kujadiliana kwa hoja? Maana hoja kwa hoja hazinaga ban..
Soma chini pale amemaliza na kunipaka kinyesi kwa hio alitaka nimrudishie kwa kumpaka kinyesi

Ukiwashinda wanakimbilia upigwe ban usionekane baada ya miezi hata 6/7 ndio furaha yao
 
Ku-approch wasichana principle ni zile zile. i.e. Kuongea. Sasa ninyi mnakuja hapa kulalamika kila siku mnataka msaada gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…