Hayo tunaita mawazo ya kujifaliji,ukweli wa mambo % kubwa tujua hii nchi inamatabaka 3au4 ambayo kuna hawa (maisha bora+), kudi lingine ni hawa (maisha Bora) pia kuna hili kudi linaishi (maisha ya kawaida) kudi la mwisho ni kudi ambalo ni dhumuni la maada hii ni kudi fukala,balbaru hili ni kudi lisilojiweza kabisa kudi tegemezi kwa kila kitu na hili ndio tunaita kundi la wanyonge,wanyonge