Ukijisaidia haja kubwa unajisafishaje? Jibu hapa tujue level ya maisha yako

Ukijisaidia haja kubwa unajisafishaje? Jibu hapa tujue level ya maisha yako

Superbug

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2018
Posts
13,864
Reaction score
35,079
Dunia nzima inaenda haja kubwa sasa jibu hapa wewe binafsi unatuma njia gani?
1. Gunzi
2. Mchanga
3. Maji mkono mavi
4. Preshawota
5. Pepa
6. Kochespa
 
One of the indicators of poverty level ni pomoja na hili. Kama kwenye makazi yako bomba la maji safi linaingia hadi bafuni/chooni na maji yanapatikana muda wote wewe sio masikini na kujisafisha kwako ni tofauti na asiye na huduma hiyo.
 
Mazingira yanaweza kusababisha tendo la kujisafisha likawa tofauti..
 
One of the indicators of poverty level ni pomoja na hili. Kama kwenye makazi yako bomba la maji safi linaingia hadi bafuni/chooni na maji yanapatikana muda wote wewe sio masikini na kujisafisha kwako ni tofauti na asiye na huduma hiyo.
Kweli kabisa. Na mbaya zaidi Tanzania chooni watu wameshahalalisha kuwa ni sehemu chafu, hivyo karibu vyoo vyote ni lazima viwe vichafu. Ndiyo maana kuna kanuni mpaka ya ''ndala za chooni''. Watu hawaamini kuwa choo kinaweza kuwa kisafi. Ulaya unakuta watu wanaingia na bia vyooni.
 
Ke wenye kucha ndefu wamekutuma uje kuwapa za chembe nini? Maana huwa siwapatii picha kabisa wanavyojichamba [emoji1787]

Sisi kwetu tushazoea majani ya majimbi au ya mkahawa tena omba Mungu asikutane na yule mdudu washawasha anaekaa kwenye jani la kahawa kwa nyuma yaani utakimbia huko shambani na msaada utaomba
 
Watu mko soft sana, kwenye battlefield mwanaume anatumia AK47 anaweka auto magazine moja pekee mtu anatoka clean na sterile zaidi ya Carbon nano.

Seriously mtu unaanzanje kuandika unavyojisafisha haja kubwa?
 
Mleta-mada sijui amewaza nini? But ukweli ni kwamba asilimia kubwa ya nchi maskini, suala la usafi ni zaidi ya nongwa.

Lakini wapo watu wenye uwezo wao tu, lakini usafi uliwapita kushoto. Sidhani mtu anaweza kujisifu kwamba ameelimika ilhali hazingatii jambo rahisi kama kufanya usafi.

Imagine wauzaji wa vyakula wanavitandaza chini sakafuni (chini, ndiyo!)

Wauzaji wa matunda sometimes (au wapishi) atashika chakula, at the same time anashika pesa, bila kunawa mikono!

Nywele zinatakiwa zifunikwe wakati wa kupika, but wengi hawazingatii.

Usafi ni muhimu sana. This one fact can never be overemphasized!

NB: Uandishi mzuri pia ni sehemu ya usafi (don't forget it!)

mama D
 
Back
Top Bottom