cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sisi kwetu tushazoea majani ya majimbi au ya mkahawa tena omba Mungu asikutane na yule mdudu washawasha anaekaa kwenye jani la kahawa kwa nyuma yaani utakimbia huko shambani na msaada utaomba