Ukijisaidia haja kubwa unajisafishaje? Jibu hapa tujue level ya maisha yako

Ukijisaidia haja kubwa unajisafishaje? Jibu hapa tujue level ya maisha yako

Kweli kabisa. Na mbaya zaidi Tanzania chooni watu wameshahalalisha kuwa ni sehemu chafu, hivyo karibu vyoo vyote ni lazima viwe vichafu. Ndiyo maana kuna kanuni mpaka ya ''ndala za chooni''. Watu hawaamini kuwa choo kinaweza kuwa kisafi. Ulaya unakuta watu wanaingia na bia vyooni.
Watz ustaarabu choon wachache sana aisee wengi ni wachafu sana
 
Dunia nzima inaenda haja kubwa sasa jibu hapa wewe binafsi unatuma njia gani?
1. Gunzi
2. Mchanga
3. Maji mkono mavi
4. Preshawota
5. Pepa
6. Kochespa
Kama miongoni mwa ulizo orodhesha hapa hakuna naruhusiwa kuandika nayo tumiaga?
 
Mleta-mada sijui amewaza nini? But ukweli ni kwamba asilimia kubwa ya nchi maskini, suala la usafi ni zaidi ya nongwa.

Lakini wapo watu wenye uwezo wao tu, lakini usafi uliwapita kushoto. Sidhani mtu anaweza kujisifu kwamba ameelimika ilhali hazingatii jambo rahisi kama kufanya usafi.

Imagine wauzaji wa vyakula wanavitandaza chini sakafuni (chini, ndiyo!)

Wauzaji wa matunda sometimes (au wapishi) atashika chakula, at the same time anashika pesa, bila kunawa mikono!

Nywele zinatakiwa zifunikwe wakati wa kupika, but wengi hawazingatii.

Usafi ni muhimu sana. This one fact can never be overemphasized!

NB: Uandishi mzuri pia ni sehemu ya usafi (don't forget it!)

mama D
Samahani lakini ila naona upo nje ya mada yeye alitaka kujua huwa unatumia nini kujisafishia .... kama unasema usafi ni pamoja na uandishi na mwandiko wenyewe ndo hivi ....kuna mawili kama si wewe ni tatizo basi mwalimu wako Ana shida mahala ....any way point lakini upo nje ya mada
 
Kweli kabisa. Na mbaya zaidi Tanzania chooni watu wameshahalalisha kuwa ni sehemu chafu, hivyo karibu vyoo vyote ni lazima viwe vichafu. Ndiyo maana kuna kanuni mpaka ya ''ndala za chooni''. Watu hawaamini kuwa choo kinaweza kuwa kisafi. Ulaya unakuta watu wanaingia na bia vyooni.
Kuna mambo ya hawa mabeberu ni mazuri kuyaiga mojawapo ni swala la usafi majumbani mwetu bahati mbaya bado tunashikilia backgrounds zetu despite tunakopita kuna mambo mazuri ya kuiga
 
Sisi kwetu tushazoea majani ya majimbi au ya mkahawa tena omba Mungu asikutane na tule mdudu washawasha anaekaa kwenye jani la kahawa kwa nyuma yaani utakimbia huko shambani na msaada utaomba

moshi moja hii[emoji2]
 
Samahani lakini ila naona upo nje ya mada yeye alitaka kujua huwa unatumia nini kujisafishia .... kama unasema usafi ni pamoja na uandishi na mwandiko wenyewe ndo hivi ....kuna mawili kama si wewe ni tatizo basi mwalimu wako Ana shida mahala ....any way point lakini upo nje ya mada
Emu niache nisije nikakutukana mpuuzi wewe!
 
Watu mko soft sana, kwenye battlefield mwanaume anatumia AK47 magazine moja pekee mtu anatoka clean na sterile zaidi ya Carbon nano.

Seriously mtu unaanzanje kuandika unavyojisafisha haja kubwa?
Operation Ntebe au Sobibo
 
Kweli kabisa. Na mbaya zaidi Tanzania chooni watu wameshahalalisha kuwa ni sehemu chafu, hivyo karibu vyoo vyote ni lazima viwe vichafu. Ndiyo maana kuna kanuni mpaka ya ''ndala za chooni''. Watu hawaamini kuwa choo kinaweza kuwa kisafi. Ulaya unakuta watu wanaingia na bia vyooni.
Hisia ndizo kikwazo hata kama ni pasafi vp.
 
Back
Top Bottom