[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sisi kwetu tushazoea majani ya majimbi au ya mkahawa tena omba Mungu asikutane na yule mdudu washawasha anaekaa kwenye jani la kahawa kwa nyuma yaani utakimbia huko shambani na msaada utaomba
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu hii ya kuchambia ukuta, hizo kuta ni mwendo wa rangi rangi za mavi
Nakumbuka boarding school Watoto nadhani wa form II walikua na tabia ya kipaka mavi kwenye kuta. Unakuta rangi za kutosha za mavu kutani[emoji16][emoji16]
Enzi zangu nikiiba finyango ya nyama nakimbilia toi kuila, nyumba nilizoishi za wazazi wangu hakuna hata moja tuliyokuwa tunaingia na ndala chooni ni mwendo wa peku tuKweli kabisa. Na mbaya zaidi Tanzania chooni watu wameshahalalisha kuwa ni sehemu chafu, hivyo karibu vyoo vyote ni lazima viwe vichafu. Ndiyo maana kuna kanuni mpaka ya ''ndala za chooni''. Watu hawaamini kuwa choo kinaweza kuwa kisafi. Ulaya unakuta watu wanaingia na bia vyooni.
Mie napendaga kunya porini au kwenye mapagare(nyumba ambazo hazijaisha)Dunia nzima inaenda haja kubwa sasa jibu hapa wewe binafsi unatuma njia gani?
1. Gunzi
2. Mchanga
3. Maji mkono mavi
4. Preshawota
5. Pepa
6. Kochespa
🤸Wa mwanamke uko dabo impact niabai togedha
Umenifanya nicheke sana aseeeeWakurya wanatumia ukuta, ukikuta ukuta umechafuka haja ujue Mkurya kafanya yake
Chief usichukulie serious i do the same.Mkuu mbona umefikiria tofauti sana, hizi ni vibe za wikiend baada ya bia mbia tatu na kwenda toi, mtu anatoka na wazo lake
Mkuu mada kama hizi ukitaka kupata michango ya maana, anza kwanza mwenyewe kuyavulia maji nguo.Dunia nzima inaenda haja kubwa sasa jibu hapa wewe binafsi unatuma njia gani?
1. Gunzi
2. Mchanga
3. Maji mkono mavi
4. Preshawota
5. Pepa
6. Kochespa
Safisha kwa maji mpaka unahakikisha umekua msafi, na tumia mkono maalaum ambao hautumii kwa kula chakula kisha osha mikono yako vizuri kuepuka na maradhiDunia nzima inaenda haja kubwa sasa jibu hapa wewe binafsi unatuma njia gani?
1. Gunzi
2. Mchanga
3. Maji mkono mavi
4. Preshawota
5. Pepa
6. Kochespa
[emoji38][emoji2960]Ke wenye kucha ndefu wamekutuma uje kuwapa za chembe nini? Maana huwa siwapatii picha kabisa wanavyojichamba [emoji1787]
TrueKweli kabisa. Na mbaya zaidi Tanzania chooni watu wameshahalalisha kuwa ni sehemu chafu, hivyo karibu vyoo vyote ni lazima viwe vichafu. Ndiyo maana kuna kanuni mpaka ya ''ndala za chooni''. Watu hawaamini kuwa choo kinaweza kuwa kisafi. Ulaya unakuta watu wanaingia na bia vyooni.
[emoji847]Watu mko soft sana, kwenye battlefield mwanaume anatumia AK47 anaweka auto magazine moja pekee mtu anatoka clean na sterile zaidi ya Carbon nano.
Seriously mtu unaanzanje kuandika unavyojisafisha haja kubwa?
mm hamn ata njia moja iyo ulio itajaDunia nzima inaenda haja kubwa sasa jibu hapa wewe binafsi unatuma njia gani?
1. Gunzi
2. Mchanga
3. Maji mkono mavi
4. Preshawota
5. Pepa
6. Kochespa
weka picha tuonePresha wota then toilet paper
Unataka waongelee nini?JF watu wanajadili kuchamba! Nchi ngumu sana hii!
ngoja wakukate na mapanga kwa kuwadhalilishaWakurya wanatumia ukuta, ukikuta ukuta umechafuka haja ujue Mkurya kafanya yake