Braza Kede
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 3,840
- 6,844
Wakuu
Maumivu yameanza taratibu🙆♂️🙆♂️🙆♂️
Nafanyaje wakuu?
Maumivu yameanza taratibu🙆♂️🙆♂️🙆♂️
Nafanyaje wakuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii nchi bwana 🤣🤣🤣dah
Inaonekana kwenye kikao mlienda wachacheHivi hii Case haijaisha bado. Mbona tuliisha maliza.🤣🤣🤣🤣
Haiishi ng'oo, hii ni kama middle east crisisHivi hii Case haijaisha bado. Mbona tuliisha maliza.🤣🤣🤣🤣
mkuu fafanua vizuri una maana gani😪😪na uwe siriaz kdogo plsIpo wazi... Bikra ndio hati miliki.
Kama bikra haipo maana yake unataka kujenga kwenye kiwanja cha mtu
Ingawa tunajaribu kuukataa ukweli ila uhalisia upo hivi mtu anaolewa ameshachezea bolo za kila aina ngumu sana kukuheshimu halafu uatkuta wanalalamika hawakojozwi, utakojozwa vipi wakati wewe ni kahaba mzoefu
kiongozi kuna kesi kumbe? embu tupe dondoo.Hivi hii Case haijaisha bado. Mbona tuliisha maliza.🤣🤣🤣🤣
nchi imefanyaje kiongozi? tia neno.Hii nchi bwana 🤣🤣🤣dah
Inaonekana kwenye kikao mlienda wachache
Waoaji waliisha maliza hiyo kazi na wengine wanaendelea kumaliza ref to the case of Azizk na Hamisa ya mwaka 2025🤣🤣🤣🤣. Ni nyie kataa ndoa ndio mnajiweka kwenye kichaka Cha mabua Shenzii.😏😏Haiishi ng'oo, hii ni kama middle east crisis
Hee🤯Haiishi ng'oo, hii ni kama middle east crisis
Kwanza kabisa sipo kataa ndoa.Waoaji waliisha maliza hiyo kazi na wengine wanaendelea kumaliza ref to the case of Azizk na Hamisa ya mwaka 2025🤣🤣🤣🤣. Ni nyie kataa ndoa ndio mnajiweka kwenye kichaka Cha mabua Shenzii.😏😏
mkuu unamaanisha nini mbn kuna mabinti kibao tu tena wengine wapo humu jF wamesema wanazoBikra Kwa mabinti wa mjini ni nadra mno labda mtu aende huko itabagumba au nkataramba😄
Ndio hii vita ni vizazi na vizaziHee🤯
Hee tumefika huko?KIlamtu na afanye lililo jepesi moyoni mwakeeeee