akatiwanya
JF-Expert Member
- Sep 2, 2024
- 674
- 868
Mzee wa Upako hapepesi, kwenye wachungaji 10 bora wanaoijua bible Duniani yeye yumo, na amewachana live wacristo wenzake kwa kuwaambia Yesu hakuwai kusali Kanisani bali alisali Msikitini na Sinagogi.