aliekatakamba humutuu
JF-Expert Member
- Feb 1, 2024
- 341
- 714
waliooa makurumbembe nyoosheni kidole juu.🤣🤣🤣🤣halafu mseme sisi niwajinga sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi ndoa zitakuwa chacheHaijalishi wanapatikana wapi ila bikra ni ndoa yenyewe
duh eti eeh🤦♂️Ndio maana wanatusumbua hivi!visirani visivyoisha!wake za watu hawa!
doh mkuu una maswali ya kijasiri sana. kongole sanaBikra inasaidia Nini inaleta pesa ama chakula kwa nyumba??ama inapeleka mtu mbinguni kuishi milele?
lahaulah lakwata🙆♂️ sa itakuwaje tunafanyajeHaijalishi wanapatikana wapi ila bikra ni ndoa yenyewe
hapa mwamba alitengezewa njia au
wakuu mbn mnaongea maneno magumu🙆♂️ sa itakuwajeLipo wazi hili ukiona ndani ya ndoa ni vurugu mechi tambua sio wko huyo
Ubavu wako hakunaga maumivu na baada ya mda mtafanana.wakuu mbn mnaongea maneno magumu🙆♂️ sa itakuwaje
Exactly 💯Basi ndoa zitakuwa chache
ndoivo ila kwa sasa hamna namna aiseeDaah! huo ni ukweli unaoumiza..
Wanaume na wavulana tuache kulala na watoto wadogolahaulah lakwata🙆♂️ sa itakuwaje tunafanyaje
😂Ipo wazi... Bikra ndio hati miliki.
Kama bikra haipo maana yake unataka kujenga kwenye kiwanja cha mtu
Pambana na hali yako mkuuwakuu mbn mnaongea maneno magumu🙆♂️ sa itakuwaje
Na zinazidi kuwa chacheExactly 💯
Ni chache kweli kweli