Braza Kede
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 3,840
- 6,844
- Thread starter
- #21
kwaiyo inawezekana jamaa aliendewa mlingotini au?š¤”Azizi ki kama ni kwa akili yake timamu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwaiyo inawezekana jamaa aliendewa mlingotini au?š¤”Azizi ki kama ni kwa akili yake timamu
au tuwaache mrudi kwa walio halali kwenu?š¤£Waoaji waliisha maliza hiyo kazi na wengine wanaendelea kumaliza ref to the case of Azizk na Hamisa ya mwaka 2025š¤£š¤£š¤£š¤£. Ni nyie kataa ndoa ndio mnajiweka kwenye kichaka Cha mabua Shenzii.šš
mkuu busara zako zinatakiwa apa. vipi hawa watu warudishwe kwa wenyewe au?Hahahaha
Siyo kiwanja kwenye viwanja vya watuIpo wazi... Bikra ndio hati miliki.
Kama bikra haipo maana yake unataka kujenga kwenye kiwanja cha mtu
Itaisha vp maisha bd yangalipo.Hivi hii Case haijaisha bado. Mbona tuliisha maliza.š¤£š¤£š¤£š¤£
unamaanisha waowaji wapya wameleta vayolensi au?š¤£Siyo kiwanja kwenye viwanja vya watu
Acha kushabikia umalaya. Hiyo ndoa uliyoitaja tuombe uzima tuone kimbembe, yule dogo ni mshamba na limepumbazwa mpk aibu.Waoaji waliisha maliza hiyo kazi na wengine wanaendelea kumaliza ref to the case of Azizk na Hamisa ya mwaka 2025š¤£š¤£š¤£š¤£. Ni nyie kataa ndoa ndio mnajiweka kwenye kichaka Cha mabua Shenzii.šš
Waswahili sasa hamchelewi na uswahili wenu, Kwahiyo Hastahiki kufanya alichofanya Kwa akili timamu? Kwani kosa ni Ganiššš¤£Kwanza kabisa sipo kataa ndoa.
Azizi ki kama ni kwa akili yake timamu basi jamaa ajengewe mnara wake.
Hamna usafi wa hivyo kujifanya. Mnatafuta walio halali kwenu. Midomo mirefu tuš¤£š¤£au tuwaache mrudi kwa walio halali kwenu?
Wanawake wanavyoshambuliwa utafikiri wanajitoa bikra wenyewe. Wanaume wa staili hii usikute wangekuwa wnawake wangekua wanagawa kama karanga.Wakuu
Maumivu yameanza taratibušāāļøšāāļøšāāļø
Nafanyaje wakuu?
View attachment 3243731
Asubuhi yote hii. Umeamka na ujinga?šš umalaya ulioshabikiwa ni upi hapo? ndoa halali imefungwa. Kama huna akili usiniquoteAcha kushabikia umalaya. Hiyo ndoa uliyoitaja tuombe uzima tuone kimbembe, yule dogo ni mshamba na limepumbazwa mpk aibu.
We mwenyewe umejiita fake akili utatoa wapi. We una akili fake. Hamisa ni malaya, kubali yaishe. Hakuna ndoa pale ule ni ubakaji, uliwaona nduguze yule bwana mdogo? Ndoa ya aina ile we umeiona wapi. Wenye akili hatuwezi kuwa km wewe. Ukitaka kuoa kwanza mchunguze mamake binti, unamwonaje mamaje Hamisa? Hakuna familia pale ni uhuni na mbinu za kishetani.Asubuhi yote hii. Umeamka na ujinga?šš umalaya ulioshabikiwa ni upi hapo? ndoa halali imefungwa. Kama huna akili usiniquote
Mtakatifu nicho utuombee.. now You attacking the personality š¤£š¤£š¤£ too low to engage with..We mwenyewe umejiita fake akili utatoa wapi. We una akili fake. Hamisa ni malaya, kubali yaishe. Hakuna ndoa pale ule ni ubakaji, uliwaona nduguze yule bwana mdogo? Ndoa ya aina ile we umeiona wapi. Wenye akili hatuwezi kuwa km wewe. Ukitaka kuoa kwanza mchunguze mamake binti, unamwonaje mamaje Hamisa? Hakuna familia pale ni uhuni na mbinu za kishetani.
Ha hahahaha,hili suala zito sana Mkuumkuu busara zako zinatakiwa apa. vipi hawa watu warudishwe kwa wenyewe au?
ššunafanania na kataa ndoa mkuuKwanza kabisa sipo kataa ndoa.
Azizi ki kama ni kwa akili yake timamu basi jamaa ajengewe mnara wake.
Fake mbabe sana weweš¤£Asubuhi yote hii. Umeamka na ujinga?šš umalaya ulioshabikiwa ni upi hapo? ndoa halali imefungwa. Kama huna akili usiniquote