Ukikuta hana bikira huyo sio mke wako - Mzee wa Upako

Ukikuta hana bikira huyo sio mke wako - Mzee wa Upako

Waoaji waliisha maliza hiyo kazi na wengine wanaendelea kumaliza ref to the case of Azizk na Hamisa ya mwaka 2025🤣🤣🤣🤣. Ni nyie kataa ndoa ndio mnajiweka kwenye kichaka Cha mabua Shenzii.šŸ˜šŸ˜
au tuwaache mrudi kwa walio halali kwenu?🤣
 
Waoaji waliisha maliza hiyo kazi na wengine wanaendelea kumaliza ref to the case of Azizk na Hamisa ya mwaka 2025🤣🤣🤣🤣. Ni nyie kataa ndoa ndio mnajiweka kwenye kichaka Cha mabua Shenzii.šŸ˜šŸ˜
Acha kushabikia umalaya. Hiyo ndoa uliyoitaja tuombe uzima tuone kimbembe, yule dogo ni mshamba na limepumbazwa mpk aibu.
 
Kwanza kabisa sipo kataa ndoa.

Azizi ki kama ni kwa akili yake timamu basi jamaa ajengewe mnara wake.
Waswahili sasa hamchelewi na uswahili wenu, Kwahiyo Hastahiki kufanya alichofanya Kwa akili timamu? Kwani kosa ni GanišŸ˜šŸ˜šŸ¤£
au tuwaache mrudi kwa walio halali kwenu?
Hamna usafi wa hivyo kujifanya. Mnatafuta walio halali kwenu. Midomo mirefu tu🤣🤣
 
Acha kushabikia umalaya. Hiyo ndoa uliyoitaja tuombe uzima tuone kimbembe, yule dogo ni mshamba na limepumbazwa mpk aibu.
Asubuhi yote hii. Umeamka na ujinga?šŸ˜šŸ˜ umalaya ulioshabikiwa ni upi hapo? ndoa halali imefungwa. Kama huna akili usiniquote
 
Asubuhi yote hii. Umeamka na ujinga?šŸ˜šŸ˜ umalaya ulioshabikiwa ni upi hapo? ndoa halali imefungwa. Kama huna akili usiniquote
We mwenyewe umejiita fake akili utatoa wapi. We una akili fake. Hamisa ni malaya, kubali yaishe. Hakuna ndoa pale ule ni ubakaji, uliwaona nduguze yule bwana mdogo? Ndoa ya aina ile we umeiona wapi. Wenye akili hatuwezi kuwa km wewe. Ukitaka kuoa kwanza mchunguze mamake binti, unamwonaje mamaje Hamisa? Hakuna familia pale ni uhuni na mbinu za kishetani.
 
Hakuna hiyo kitu, maagano ya damu yalimalizwa na Yesu msalabani.
Labda maagano ya kishetani ndio hufanywa kwa zindiko la damu mpaka karne hii.

Kama wewe ni mdhambi, ukafanya toba ya kweli basi dhambi zako zinafutwa na unakua mweupe Kama theluji. Hata huyo alietolewa bikra, kama hakua na ndoa kafanya dhambi ya uzinzi na sio maagano.

Ndoa ya kikristo haifungwi kitandani mkiwa uchi bali madhabahuni mkiwa mmejisitili.
 
1740118376537.png
 
We mwenyewe umejiita fake akili utatoa wapi. We una akili fake. Hamisa ni malaya, kubali yaishe. Hakuna ndoa pale ule ni ubakaji, uliwaona nduguze yule bwana mdogo? Ndoa ya aina ile we umeiona wapi. Wenye akili hatuwezi kuwa km wewe. Ukitaka kuoa kwanza mchunguze mamake binti, unamwonaje mamaje Hamisa? Hakuna familia pale ni uhuni na mbinu za kishetani.
Mtakatifu nicho utuombee.. now You attacking the personality 🤣🤣🤣 too low to engage with..
Sipo hapa kuiduscuss ndoa ya mtu, nilitoa Ushahidi wa kilichosemwa na kilichofanyika.huu mdomo mrefu umetoa wapi wewe bro🤣🤣 huo ushetani unaousema ndo unaresemble kwako vividly.
 
Asubuhi yote hii. Umeamka na ujinga?šŸ˜šŸ˜ umalaya ulioshabikiwa ni upi hapo? ndoa halali imefungwa. Kama huna akili usiniquote
Fake mbabe sana wewe🤣
 
Back
Top Bottom