KIXI
JF-Expert Member
- Mar 3, 2015
- 1,955
- 2,465
Uongo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uongo
Kichaa kabisaKwanza kabisa sipo kataa ndoa.
Azizi ki kama ni kwa akili yake timamu basi jamaa ajengewe mnara wake.
Bikra za mchongo labdamkuu unamaanisha nini mbn kuna mabinti kibao tu tena wengine wapo humu jF wamesema wanazo
kivipi kiongozi?Uongo
Sema akiwahiwa anaponaKichaa kabisa
🙆♂️Sema akiwahiwa anapona
Nna msimamo mkali kama ISS &IDF lakini sipo kataa ndoa.😁😁unafanania na kataa ndoa mkuu
Usinisonye tafadhali😂Waswahili sasa hamchelewi na uswahili wenu, Kwahiyo Hastahiki kufanya alichofanya Kwa akili timamu? Kwani kosa ni Gani😏😏🤣
Umecheka sanaHii nchi bwana 🤣🤣🤣dah
Yule kashatengenezwakwaiyo inawezekana jamaa aliendewa mlingotini au?🤡
Tumechezewa sana kama nchiUmecheka sana
Ulimaliza na nan?Hivi hii Case haijaisha bado. Mbona tuliisha maliza.🤣🤣🤣🤣
Haijalishi wanapatikana wapi ila bikra ni ndoa yenyeweBikra Kwa mabinti wa mjini ni nadra mno labda mtu aende huko itabagumba au nkataramba😄
Ila wanawake nao wanaonewa sometime..Ni kweli bikira ni muhimu,ila kama mwanaume na wewe umerukaruka sioni kama una legitimacy ya kukazia hicho kigezo sana kwenye uoaji.Ipo wazi... Bikra ndio hati miliki.
Kama bikra haipo maana yake unataka kujenga kwenye kiwanja cha mtu
Mimi natania tu ila kiuhalisia napenda wanawake mashindikanaa... Yani wenye uzoefu mkubwa kwenye mapenziIla wanawake nao wanaonewa sometime..Ni kweli bikira ni muhimu,ila kama mwanaume na wewe umerukaruka sioni kama una legitimacy ya kukazia hicho kigezo sana kwenye uoaji.
Daa taratibu Basi kha!
Sio utani mkuu,upo sahihi kabisa.Kila mwanaume angependa mwanamke wake wa maisha amkute ni bikira.Mimi natania tu ila kiuhalisia napenda wanawake mashindikanaa... Yani wenye uzoefu mkubwa kwenye mapenzi
Haya mambo hayana mwongozo... Ningekua sijaoa ningeenda kuoa shindikana mmoja ambae tutapiga sarakasi hadi nyumba inuke chooSio utani mkuu,upo sahihi kabisa.Kila mwanaume angependa mwanamke wake wa maisha amkute ni bikira.
Ila ikiwa vice versa na umempenda mtu na isitoshe wewe mwenyewe ushawasaidia wanawake chungu nzima kushusha kyupi,aah..Hupaswi kunyoosha kidole hata kidogo.