That Gentleman
JF-Expert Member
- Dec 16, 2016
- 2,215
- 3,678
Umesahau niliongea na Magu kuhusu ajira? Inamaana hukuniona kwenye kideo?Mhandisi! Mhandisi! Dodoma kuna SUA?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umesahau niliongea na Magu kuhusu ajira? Inamaana hukuniona kwenye kideo?Mhandisi! Mhandisi! Dodoma kuna SUA?
Mtoa mada hana nidhamu...japo hoja yake inafikirisha.Unatukana mainjinia wote ambao hawana kazi kisha ktk maelezo yako yamebase kwa civil engineers. Mleta uzi unajua kua kuna mechanical,Water resources,airplanes, information and technologies, computers,electrical, telecom,mining,chemical,petroleum engineers?? ao wote wanahusika na ujenzi?? Kengelez ww
Vyeti vya darasani na maisha ya mtaa ni tofautiMods sitaki mbadili title,
Ktk watu ambao huwa wanaanza na idea ya kitu, wanakitathimini, wanatafakari na kupata picha halisi kabla idea hiyo haijafanyiwa kazi na kuwa kitu, basi ni hawa watu wanaoitwa maingineer.
Fikiria daraja la kigamboni, fikiria daraja la ssalenda lile jipya linalopita baharini, fikiria reli ya mwendokasi kuna njia imepasuliwa kati kati ya mlima.
Hawa majamaa wanahamisha mpaka mito wanajenga daraja kisha wanaurudisha mto unaendelea kutililisha maji kama kawaida,
Hivi ktk hali ya kawaida mtu kama huyu akikufuata akakuambia hana ramani ya maisha unamsaidiaje?
Engineer yeyote akikufuata akakuambia hana mchongo wa kufanya na hajui afanye biashara gani mpige makofi.
Nawasilisha.
Kula kulala, mwenye kumudu kulipa daladala uamini watembea kwa miguu hawana akili ya kutafutaMtoa mada hana nidhamu...japo hoja yake inafikirisha.
mleta mada kama ulishafika level ya chuo nadhani wala usingekuwa na mawazo hayo uloyaleta hapa.Mods sitaki mbadili title,
Ktk watu ambao huwa wanaanza na idea ya kitu, wanakitathimini, wanatafakari na kupata picha halisi kabla idea hiyo haijafanyiwa kazi na kuwa kitu, basi ni hawa watu wanaoitwa maingineer.
Fikiria daraja la kigamboni, fikiria daraja la ssalenda lile jipya linalopita baharini, fikiria reli ya mwendokasi kuna njia imepasuliwa kati kati ya mlima.
Hawa majamaa wanahamisha mpaka mito wanajenga daraja kisha wanaurudisha mto unaendelea kutililisha maji kama kawaida,
Hivi ktk hali ya kawaida mtu kama huyu akikufuata akakuambia hana ramani ya maisha unamsaidiaje?
Engineer yeyote akikufuata akakuambia hana mchongo wa kufanya na hajui afanye biashara gani mpige makofi.
Nawasilisha.
....ni kweli mwenye shibe hamjui mwenye njaa...Kula kulala, mwenye kumudu kulipa daladala uamini watembea kwa miguu hawana akili ya kutafuta
Haya ni matusi kwa wahitimu wa hii nchi na kwa vyuo wanavyotoka, neno sahihi kutumika hapo ni 'baadhi'......heshimu taaluma za watu.inshort wahitimu wengi TZ vichwani ni tupu,wachache sana unaweza kukuta kichwani na vitendo yupo 100% sawa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wahandisi ambao ni ma jobless ni wengi ukisema utembeze makofi mkono utavimba
Unoriginal....ni kweli mwenye shibe hamjui mwenye njaa...
mfano huyu hapa chini...👇
Haya ni matusi kwa wahitimu wa hii nchi na kwa vyuo wanavyotoka, neno sahihi kutumika hapo ni 'baadhi'......heshimu taaluma za watu.
Jerryempire : inshort wahitimu wengi TZ vichwani ni tupu,wachache sana unaweza kukuta kichwani na vitendo yupo 100% sawa 👍👍