Ukikutana na Engineer yeyote hana kazi, mchongo wala ramani yoyote ya maisha tafadhali mpige makofi

Ukikutana na Engineer yeyote hana kazi, mchongo wala ramani yoyote ya maisha tafadhali mpige makofi

Unatukana mainjinia wote ambao hawana kazi kisha ktk maelezo yako yamebase kwa civil engineers. Mleta uzi unajua kua kuna mechanical,Water resources,airplanes, information and technologies, computers,electrical, telecom,mining,chemical,petroleum engineers?? ao wote wanahusika na ujenzi?? Kengelez ww
Mtoa mada hana nidhamu...japo hoja yake inafikirisha.
 
Mods sitaki mbadili title,

Ktk watu ambao huwa wanaanza na idea ya kitu, wanakitathimini, wanatafakari na kupata picha halisi kabla idea hiyo haijafanyiwa kazi na kuwa kitu, basi ni hawa watu wanaoitwa maingineer.

Fikiria daraja la kigamboni, fikiria daraja la ssalenda lile jipya linalopita baharini, fikiria reli ya mwendokasi kuna njia imepasuliwa kati kati ya mlima.

Hawa majamaa wanahamisha mpaka mito wanajenga daraja kisha wanaurudisha mto unaendelea kutililisha maji kama kawaida,

Hivi ktk hali ya kawaida mtu kama huyu akikufuata akakuambia hana ramani ya maisha unamsaidiaje?

Engineer yeyote akikufuata akakuambia hana mchongo wa kufanya na hajui afanye biashara gani mpige makofi.

Nawasilisha.
Vyeti vya darasani na maisha ya mtaa ni tofauti
 
Mods sitaki mbadili title,

Ktk watu ambao huwa wanaanza na idea ya kitu, wanakitathimini, wanatafakari na kupata picha halisi kabla idea hiyo haijafanyiwa kazi na kuwa kitu, basi ni hawa watu wanaoitwa maingineer.

Fikiria daraja la kigamboni, fikiria daraja la ssalenda lile jipya linalopita baharini, fikiria reli ya mwendokasi kuna njia imepasuliwa kati kati ya mlima.

Hawa majamaa wanahamisha mpaka mito wanajenga daraja kisha wanaurudisha mto unaendelea kutililisha maji kama kawaida,

Hivi ktk hali ya kawaida mtu kama huyu akikufuata akakuambia hana ramani ya maisha unamsaidiaje?

Engineer yeyote akikufuata akakuambia hana mchongo wa kufanya na hajui afanye biashara gani mpige makofi.

Nawasilisha.
mleta mada kama ulishafika level ya chuo nadhani wala usingekuwa na mawazo hayo uloyaleta hapa.

Nikifikiria maisha ya chuo na jinsi watu walivyotoboa toboa,wengine kwa kupanua mapaja wengine chapo,wengine mlungula wala usingeyaongea hayo.

kuna siku nilikuwa interview room ya kampuni XX na ma HR naskiliza watu wanavyojibu hayo maswali nadhani kama una moyo mwepesi unaweza angua kilio,

inshort wahitimu wengi TZ vichwani ni tupu,wachache sana unaweza kukuta kichwani na vitendo yupo 100% sawa
 
Kula kulala, mwenye kumudu kulipa daladala uamini watembea kwa miguu hawana akili ya kutafuta
....ni kweli mwenye shibe hamjui mwenye njaa...

mfano huyu hapa chini...👇
inshort wahitimu wengi TZ vichwani ni tupu,wachache sana unaweza kukuta kichwani na vitendo yupo 100% sawa
Haya ni matusi kwa wahitimu wa hii nchi na kwa vyuo wanavyotoka, neno sahihi kutumika hapo ni 'baadhi'......heshimu taaluma za watu.
 
Ngoja tumuulize Injinia Matomato,maana yeye yupo kwenye siasa,sijui Uinjinia kaukimbia...
 
....ni kweli mwenye shibe hamjui mwenye njaa...

mfano huyu hapa chini...👇

Haya ni matusi kwa wahitimu wa hii nchi na kwa vyuo wanavyotoka, neno sahihi kutumika hapo ni 'baadhi'......heshimu taaluma za watu.
Unoriginal
 



Ni kweli vile vilima vya mawe Mwanza au Gangilonga Iringa na katika mito ya maji yenye miamba na majabali wanayaangalia tu badala ya kuyatumia kwa ujenzi wa nyumba, majumba na barabara.


Tazama video hii uone wenzetu wanavyotumia rasilimali majabali, miamba na majiwe kwa ujenzi




Watch as he skillfully crafts his old world trade at 86 years old.
 
Jerryempire : inshort wahitimu wengi TZ vichwani ni tupu,wachache sana unaweza kukuta kichwani na vitendo yupo 100% sawa 👍👍


How the cobblestones are made?/Jak vznikají žulové kostky?

 
Halmashauri ya jiji la Mwanza Tanzania mradi wa barabara za mawe, je wahandisi na wananchi wanaweza kukopi aina hizi za barabara za mawe kote Tanzania ?

Vitongoji vya Igogo na Kitangiri jijini Mwanza vilivyojenga barabara za mawe, halmashauri zingine zisisubiri barabara za lami ambazo ni ghali sana pia lami hiyo inaagizwa nje ...mhandisi jiji la Mwanza awasihi watanzania na halmashauri kuchangamkia barabara hizi zinazodumu miaka mingi kupita za lami na malighafi yake ikipatikana ktk maeneo husika ...
 
Back
Top Bottom