Mkweche II
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 4,160
- 5,793
Bado sijapata ajira, nlihitimu mwaka 2019 kwa ngazi
Mkuu ramani zikipatikana tustuane mkuuBado sijapata ajira, nlihitimu mwaka 2019 kwa ngazi ya shahada
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado sijapata ajira, nlihitimu mwaka 2019 kwa ngazi
Mkuu ramani zikipatikana tustuane mkuuBado sijapata ajira, nlihitimu mwaka 2019 kwa ngazi ya shahada
Hakuna Engineer wa hivyo, msitake kudhalilisha kada za watuMods sitaki mbadili title,
Ktk watu ambao huwa wanaanza na idea ya kitu, wanakitathimini, wanatafakari na kupata picha halisi kabla idea hiyo haijafanyiwa kazi na kuwa kitu, basi ni hawa watu wanaoitwa maingineer.
Fikiria daraja la kigamboni, fikiria daraja la ssalenda lile jipya linalopita baharini, fikiria reli ya mwendokasi kuna njia imepasuliwa kati kati ya mlima.
Hawa majamaa wanahamisha mpaka mito wanajenga daraja kisha wanaurudisha mto unaendelea kutililisha maji kama kawaida,
Hivi ktk hali ya kawaida mtu kama huyu akikufuata akakuambia hana ramani ya maisha unamsaidiaje?
Engineer yeyote akikufuata akakuambia hana mchongo wa kufanya na hajui afanye biashara gani mpige makofi.
Nawasilisha.
Wewe unalinganisha vitu viwili tofauti kabisa, elimu na ujuzi wa kujenga daraja vinaendana vipi na elimu/ujuzi wa biashara?!!Hujaelewa point yangu, namaanisha mtu mwenye uwezo wa kujua aweke nguzo za aina gani na daraja lenye uzito flani baharini ili magari yaweze kupita ndio anaweza kushindwa kujua afanye biashara gani kweli??
Hayo ni maneno yakoKwa hiyo walio soma biashara au business ukikutana nao wanalia hawana biashara piga makofi?
Kwahiyo hao ni wahasibu?Hakuna Engineer wa hivyo, msitake kudhalilisha kada za watu
Unachokisema ni kweli lakini changamoto kubwa ni mtaji, Engineer anamkuta hana hata hela ya kuanza kuishi mjini.Mods sitaki mbadili title,
Ktk watu ambao huwa wanaanza na idea ya kitu, wanakitathimini, wanatafakari na kupata picha halisi kabla idea hiyo haijafanyiwa kazi na kuwa kitu, basi ni hawa watu wanaoitwa maingineer.
Fikiria daraja la kigamboni, fikiria daraja la ssalenda lile jipya linalopita baharini, fikiria reli ya mwendokasi kuna njia imepasuliwa kati kati ya mlima.
Hawa majamaa wanahamisha mpaka mito wanajenga daraja kisha wanaurudisha mto unaendelea kutililisha maji kama kawaida,
Hivi ktk hali ya kawaida mtu kama huyu akikufuata akakuambia hana ramani ya maisha unamsaidiaje?
Engineer yeyote akikufuata akakuambia hana mchongo wa kufanya na hajui afanye biashara gani mpige makofi.
Nawasilisha.
Ubunifu umejaa vichwani mwao kutokana na mfumo wa elimu yao. Wanasoma masomo mengi mno mpaka kuhitimu, na yote yakishinikizwa na hesabu(kasoro mawili). Wapo wasio na kazi, ktk jamii maboya hayakosekani.Mods sitaki mbadili title,
Ktk watu ambao huwa wanaanza na idea ya kitu, wanakitathimini, wanatafakari na kupata picha halisi kabla idea hiyo haijafanyiwa kazi na kuwa kitu, basi ni hawa watu wanaoitwa maingineer.
Fikiria daraja la kigamboni, fikiria daraja la ssalenda lile jipya linalopita baharini, fikiria reli ya mwendokasi kuna njia imepasuliwa kati kati ya mlima.
Hawa majamaa wanahamisha mpaka mito wanajenga daraja kisha wanaurudisha mto unaendelea kutililisha maji kama kawaida,
Hivi ktk hali ya kawaida mtu kama huyu akikufuata akakuambia hana ramani ya maisha unamsaidiaje?
Engineer yeyote akikufuata akakuambia hana mchongo wa kufanya na hajui afanye biashara gani mpige makofi.
Nawasilisha.
Samaki mzoefu majini, ukimweka nchi kavu unataka kumuua. Wahandisi wana bongo zilizo tanuka, lakini kuna fani mitaani hazitumiki au gharama kuanzisha inakuwa kubwa. Idadi yao mitaani inaongezeka, ikifikia wakazoeleka na vijana wakaona hakuna faida ya kusomea uhandisi, Tanzania ya viwanda haitawezekana kwa wahandisi wazawa.Hujaelewa point yangu, namaanisha mtu mwenye uwezo wa kujua aweke nguzo za aina gani na daraja lenye uzito flani baharini ili magari yaweze kupita ndio anaweza kushindwa kujua afanye biashara gani kweli??
Nilisoma pure maths KAMA MBADALA wa BAM: !?Una uhakika gani kuwa nilifeli hesabu? Kwa taarifa yako hesabu hazikuwahi kunishinda na Advance nilisoma PURE MATHEMATICS kama mbadala wa BAM, siku nyingine uwe na adabu mkuu.
Kwani vipi boss, kuna ubaya wa mimi kutumia kitabu cha Advanced Maths?Nilisoma pure maths KAMA MBADALA wa BAM: !?
kuna namna biashara ni kipaji/kipawa.Hujaelewa point yangu, namaanisha mtu mwenye uwezo wa kujua aweke nguzo za aina gani na daraja lenye uzito flani baharini ili magari yaweze kupita ndio anaweza kushindwa kujua afanye biashara gani kweli??
Huyo kilaza hajui loloteMkuu mbona Pure Mathematics ni kitabu na sio somo au wakuu mi ndio sielewi...Nadhani somo linaitwa Advanced Mathematics
[emoji16][emoji16][emoji23]Sawa motivational speaker, alisikika akisema jobless fulani.
Wakati wapo hata Biological Engineers. Kuna mechanical engineers, civil engineers I. Kuna kitu kinaitwa motor kwenye field zote nilizotaja hapo. Ila kila field ina maana tofauti kabisa. Hivyo engineering ni Bahari kubwa na pana sana, hasa siku hizi. Acha sisi tuliokuwa tunatumia slide rule kufanya calculations.Hao ndio ninaowazungumzia, mtaani ukimuambia mtu wewe ni mhandisi cha kwanza kufikiria ni ujenzi
Mhandisi! Mhandisi! Dodoma kuna SUA?Nipo hapa Engineer wa maji pia ni Engineer wa vifaa tiba, nimepigia SUA Dodoma.
Nashauri maEngineer wenzangu wachalazwe kabisa.
Ila tuna ajira 🤣Watu mliofeli hesabu mnashida sana